Nyerere ni mnafik tu. Mbona aliendelea kuutetea Muungano hata alipokwisha ng'atuka? hiyi ilikuwa Serikali ya nani mjomba'ke?
Hatuwezi kuendelea kutukuza jina la mtu aliekua mrongo,mnafiki na fitna khasa kwenye barabara zetu au majengo ya Serikali!
Huu ni wakti muafaka wa Serikali kuamua kuweka wazi Archives za Ikulu/declassification of some materials...ili Wananchi wajionee ukweli takriban woote kukhusu unyama wa yule mnafiki,mzandiki,haramia Nyerere!? Daah!
Kuendelea kutukuza majina ya Wanasiasa/Viongozi wa sampuli ya Nyerere ni kebehi na matusi makubwa mno kwa Wananchi/Watanzania..ambao waliishi kwa mateso makubwa,dhuluma,vitisho na nidhamu ya woga...chini ya utawala wa kimabavu wa yule haramia Nyerere!? Yaani inasikitisha!
Ahsanta.