Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Ndio maana mi sina chama nitamchagua mtu kutokana na sera za Chama chake!
 
Sikutegemea kwa mtu mzima Kama lisu kumtusi muasisi Wa taifa. Alitakiwa kujenga hoja,na kwa njia ta matusi. Tumesononeka sana sisi watanzania,kauli ya mtusi mwalimu haivumiliki. Ningekuwa mimi ndio mkono Wa dola, ningechukua hatua mathubuti. Si kila kitu kazima useme, pima tumia hâta busara ya kawaida. Tunamheshimu mwl na bado tunampenda. Amani unayoiona si kwa bahati mbaya. Karibu kujizuia kwa baadhi ya mambo. Huwezi hâta kidogo wewe lisu kujilinganisha na mwl. Linda heshima yako na chama chako. Kila kona wanasema umekosea. KAzi njema.

Hujitambui, aliekuambia kwamba Nyerere hakuwahi kukosea ni nani?kama alisema uongo ulitaka asemeje?je ulimsikia Lisu vizuri?
 
Weka na kadi yako ya chama tukujue vizuri ukajifie huko ukweli unakuuma fisadi mkubwa wewe.
 
Nyerere angekuwa mkweli azimio la Arusha lingekuwepo likidhibiti wezi, lakini walipolipiga chini kule zanzibar nyerere aliufyata. that means hajawahi kuwa mkweli, kama unabisha nionyeshe ujamaa ulipo.
 
Sikutegemea kwa mtu mzima Kama lisu kumtusi muasisi Wa taifa. Alitakiwa kujenga hoja,na kwa njia ta matusi. Tumesononeka sana sisi watanzania,kauli ya mtusi mwalimu haivumiliki. Ningekuwa mimi ndio mkono Wa dola, ningechukua hatua mathubuti. Si kila kitu kazima useme, pima tumia hâta busara ya kawaida. Tunamheshimu mwl na bado tunampenda. Amani unayoiona si kwa bahati mbaya. Karibu kujizuia kwa baadhi ya mambo. Huwezi hâta kidogo wewe lisu kujilinganisha na mwl. Linda heshima yako na chama chako. Kila kona wanasema umekosea. KAzi njema.
Hujawahi kuwa Chadema. Wewe , mbona unataka umaarufu wa kijinga ? Ukweli lazima usemwe hata kama ni baada ya miaka 50 .....
 
Sikutegemea kwa mtu mzima Kama lisu kumtusi muasisi Wa taifa. Alitakiwa kujenga hoja,na kwa njia ta matusi. Tumesononeka sana sisi watanzania,kauli ya mtusi mwalimu haivumiliki. Ningekuwa mimi ndio mkono Wa dola, ningechukua hatua mathubuti. Si kila kitu kazima useme, pima tumia hâta busara ya kawaida. Tunamheshimu mwl na bado tunampenda. Amani unayoiona si kwa bahati mbaya. Karibu kujizuia kwa baadhi ya mambo. Huwezi hâta kidogo wewe lisu kujilinganisha na mwl. Linda heshima yako na chama chako. Kila kona wanasema umekosea. KAzi njema.


Wewe ni gamba na hujawahi kuwa CHADEMA. Chadema hakuana watu wenye kujitoa ufahamu wa aina yako.Huna jipya,kachukue buku 2 lumumba.
 
Sikutegemea kwa mtu mzima Kama lisu kumtusi muasisi Wa taifa. Alitakiwa kujenga hoja,na kwa njia ta matusi. Tumesononeka sana sisi watanzania,kauli ya mtusi mwalimu haivumiliki. Ningekuwa mimi ndio mkono Wa dola, ningechukua hatua mathubuti. Si kila kitu kazima useme, pima tumia hâta busara ya kawaida. Tunamheshimu mwl na bado tunampenda. Amani unayoiona si kwa bahati mbaya. Karibu kujizuia kwa baadhi ya mambo. Huwezi hâta kidogo wewe lisu kujilinganisha na mwl. Linda heshima yako na chama chako. Kila kona wanasema umekosea. KAzi njema.

Kama tuna wnachama kama ww inabidi tupitishe fagio la chuma. i wounder how cant you filter even a simple logic like this? Ni tusi kusema umekosea? mwl mwenyewe alisa kuna mambo yakijinga yalifanyika and others due to lack of experince and so on lkn si thani kama aliwahi kuainisha nimambo kani ya kijinga aliyokuwa nayasema inaweza kuwa kuwa nihili. Pia inaweza kuwa alilifanya hili kutokana na mazingira ya wakati husika na si lazima lilikuwa sahihi. Lisu kuweka wazi ni njia nzuri yakung'amua mwalimu alikuwa anmaanishanini aliposema ya kijinga.

Please take your kamusi and search " Kijinga" it maygive you moe lights

Nakutakia safari njema
 
Watoto wa mjini wanasema 'Chapa rapa' you are just a ZERO member...
 
Huna lolote wewe Gamba ujawai kuwa chadema kwanza chadema hawana watu wenye akili ya hovyo kama yako wewe utakuwa gamba tu.
 
Sikutegemea kwa mtu mzima Kama lisu kumtusi muasisi Wa taifa. Alitakiwa kujenga hoja,na kwa njia ta matusi. Tumesononeka sana sisi watanzania,kauli ya mtusi mwalimu haivumiliki. Ningekuwa mimi ndio mkono Wa dola, ningechukua hatua mathubuti. Si kila kitu kazima useme, pima tumia hâta busara ya kawaida. Tunamheshimu mwl na bado tunampenda. Amani unayoiona si kwa bahati mbaya. Karibu kujizuia kwa baadhi ya mambo. Huwezi hâta kidogo wewe lisu kujilinganisha na mwl. Linda heshima yako na chama chako. Kila kona wanasema umekosea. KAzi njema.

Ni taifa au Taifa?
 
Watu wengine wa.puu.zi kweli. Alishasema Mzee Warioba "msimtumie Nyerere kama hirizi". Wenye Baba wametulia wewe ilunapiga propaganda za kishenzishenzi hapa!
 
Sikutegemea kwa mtu mzima Kama lisu kumtusi muasisi Wa taifa. Alitakiwa kujenga hoja,na kwa njia ta matusi. Tumesononeka sana sisi watanzania,kauli ya mtusi mwalimu haivumiliki. Ningekuwa mimi ndio mkono Wa dola, ningechukua hatua mathubuti. Si kila kitu kazima useme, pima tumia h0‰9ta busara ya kawaida. Tunamheshimu mwl na bado tunampenda. Amani unayoiona si kwa bahati mbaya. Karibu kujizuia kwa baadhi ya mambo. Huwezi h0‰9ta kidogo wewe lisu kujilinganisha na mwl. Linda heshima yako na chama chako. Kila kona wanasema umekosea. KAzi njema.
hee? Ukweli umekuwa matusi?
 
Pole ndugu angalia hata buku saba wenzio hawajaja kukusaidia hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo mjinga nambari moja! Any way unaweza kutuwekea hapa hayo matusi unayodai Mwl katukanwa?

Na je mwalimu wako ulipokuwa drs la tatu hakukufundisha tusi ni neno la aina gani au nawe uliingia darasani na kutoka kama ilivyo kwa mwigulu.Pole sana ndugu wala siwezi kusema kwaheri kwasababu najua hujawahi kuwa shabiki,mpenzi au mwanachama na hakuna yeyote utakaye mshawishi akubaliane na wewe hata akiwa gamba mwenzio.

BACK TANGANYIKA
 
Mkuu Ndaku laiti ungelijua ungelikaa kimya,wa buku saba za Lumumba wako kwenye uzi wa yaliyojiri bungeni leo,na kuhusu Nyerere faizafox haingii kukutetea potelea mbali lumumba wakimkasirikia
 
Cdhani kama ushabiki wa matusi na kejeli kweli utatufikisha pale tunapohitaji cha msingi n kujadili hoja humu napo naona kunataka kugeuka sehemu ya mipasho wakati c mahala pake hapa,
Lissu kakosea huo ndio ukweli lazima tukosoane kama tunataka kweli kuendelea mbele kwanza huwezi kudhihaki marehemu vitabu vya dini vinatuongoza kwenye hili ivi kejeli na matusi haya familia yake wanapokeaje???
Mm cna mwelekeo wa chama chochote ila n mwanaharakati ila kwa hili nakosa hamasa ya kuamini vyama vya siasa vina hoja za msingi au wanaangalia fursa tuu kupitia mabunge na mikutano tuu ba inawezekana vichwani na mioyoni mwao wana siri wanazojua wenyewe,
Ukweli lazima uelezwe hoja c matusi na kejeli n kujipanga na kueleza kitu ambacho unaona kinamashiko ya maana.

Tusilete siasa kama za kuku kakatwa kichwa humu lazima kupanga hoja na kushawishi.
 
Mbona povu linawatoka yy kachukia na ameamua kutoka hajawambia nyie mtoke nn kinawauma acheni ushamba mafalasi nyieee
 
Mkuu sitaki kupinga au kukubaliana na hoja yako mimi ninakusudia hapo kwenye Red
sijui amani hiyo ni kwa kina nani? Maana mimi natembea na Mkongojo kwani nimewekewa
chuma kwenye mguu wangu baada ya vipigo vya polisi, si hivyo tu kuna ndugu yangu ambaye
alikuwa mjamzito pale Mtwara mjini alipigwa risasi na polisi na akapoteza maisha sijui ni
amani gani unaizungumzia?

Wewe ulifikiri amani inajileta yenyewe? Hizo risasi ndo zimerudisha amani na watu sasa wanaendelea na shughuli zao!
 
Back
Top Bottom