Tundu Lissu na Albert Msando yupi ni mtaalamu zaidi wa Sheria?

Tundu Lissu na Albert Msando yupi ni mtaalamu zaidi wa Sheria?

Albert msando namkubali sana

Mi nafikiri unaposema unamkubali mtu uonyeshe statistics za unayemkubali Vs usiyemkubali. Kwa upande wangu nimeanza kumsikia tundu lissu nimeanza kumsikia mda mrefu. Mf kesi ya Zuma, kesi za Uchaguzi, kesi za uchafuzi wa mazingira Migodin(msoma). Huyo jamaa ndo nimemsikia kesi ya Zitto.
 
Are u among of great thinker. Ni vema ukachangia mada kuliko kuandika kila kinachokuja kichwani .
 
huwezi kupata jibu kwenye kesi ya juzi maana walikuwa wanatetea 'situations' mbili tofauti kiasi sio 'fair' ku'compare'!
 
Watanzania ni watu wajinga sana na ni watu wenye viwango vya chini sana walio wepesi sana kuwa impressed na vitu vidogo vidogo.

mheshimiwa umenitukana hata mimi ambaye sihusiki kwa lolote juu ya ubishani huu!! ungekuwa na akili ungejua ubaya wa generalization,hongera bwana mzungu.
 
Watanzania ni watu wajinga sana na ni watu wenye viwango vya chini sana walio wepesi sana kuwa impressed na vitu vidogo vidogo.

hakika taifa hili lina wapumbavu wengi sana na ndo maana wanasiasa wanatumia upumbavu wa watanzania vizuri sana
 
Mi nafikiri unaposema unamkubali mtu uonyeshe statistics za unayemkubali Vs usiyemkubali. Kwa upande wangu nimeanza kumsikia tundu lissu nimeanza kumsikia mda mrefu. Mf kesi ya Zuma, kesi za Uchaguzi, kesi za uchafuzi wa mazingira Migodin(msoma). Huyo jamaa ndo nimemsikia kesi ya Zitto.

Kesi ya Zuma yupi?
 
Jacob Zuma. The president of SA.

You know I do not have any idea about the particular case, and you are giving such a dead response,give details please.
thanks in advance
 
Ungelikuwa umemuoa dada yangu, ningelimwambia akunyime kwa mwezi mzima. Yaani ni aibu kuwa na shemeji kama wewe. Heri usikilize huu wimbo tu, uburudike maana naona unaota.......


Tundu ni Mwaasheria anayezichananya sharia, Jana kwenye press conference katangaza kwamba aliuwa anajuwa matokeo ya kesi kabla hata haijafunguliwa.........kwa hiyo alienda mahakamani kufanya nini huku vifaranga vikiripoti toka kortini kwamba jinsi inavyoenda CDM itashinda sababu Msando Kapanik,mara anatokwa na jasho....mara kesi haina msingi waiweka zuio la nini...........Poor lawyer,hamna mtu mjini atampa kesi yake labda Chadomo hadi pale Mtei/Mbowe watakapomtema..............Kam a alijuwa matokeo ya kesi toka mwanzo angeenda mahakamani kutetea maslahi ya CDM kasha kukubaliana na mombi Zitto kutokmjadili...........na sio kubwabwaja kama chiriku.........mwishowe Kichapo cha aibu.
 
Last edited by a moderator:
wewe ulieanzisha mada hii hujajipanga.na hizo ndo tunaita siasa.sheria sio bongo fleva.
 
Ndugu wanajamvi naona kupata ueledi wa kutafsir na practice ya sheria kati ya wanasheria hao wawili tajwa hapo juu.
wote ni mawakili wazuli na mahakamani one must loose that is a principal but shida ni mchanganyiko usioepukika politics vs law..hii ndo ina msumbua lissu kwa sababu alijua kwamba what cdm did to zzk was constitutionally wrong but akaamua komaa kwa court...but all ar good lawyer
 
Kwanza nitamke mwanzoni kabisa kuwa nami pia ni Wakili.Hivyo,sina upande. Kuhusu hawa wawili,wote ni Mawakili Wasomi mahiri kulingana na mashauri wanayoyawakilisha. Ndiyo maana wanaaminiwa. Hatahivyo, Mawakili hawapaswi kupambanishwa au kulinganishwa kwa namna hii. Kazi ya Wakili Mahakamani ni pamoja na kusaidia kutafsiri sheria ili Mahakama itende haki.

Kutokana na kwamba Mahakama ni chombo huru kimaamuzi, tafsiri ya Wakili Msomi yeyote yaweza kuchukuliwa na Mahakama kama ni sahihi. Hakuna upenyo wa Wakili Msomi kuilazimisha Mahakama kukubaliana naye. Na tafsiri iliyokataliwa katika kesi hii yaweza kukubaliwa katika kesi ile.


Kimsingi, umahiri wa Wakili Msomi hujitokeza katika namna ya uwasilishaji wake wa hoja akichagiza na nyaraka,vifungu vya sheria na kesi zilizokwishaamriwa. Pia, utambuzi wa haraka na kukwepa makosa ya kisheria yanayoweza kujitokeza na kupelekea kuharibiwa kwa ladha ya kesi nzima. Hata saini yaweza kuangamiza kesi nzima.

Itoshe kusema kuwa kiuzoefu na kiubobezi, Wakili Msomi Tundu Antipas Mughwai Lissu ni zaidi ya Wakili Msomi Albert Gabriel Msando. Lakini, wote wanabaki kuwa Mawakili Wasomi wazuri na wa kupigiwa mfano.

Kudos!
 
Tundu ni Mwaasheria anayezichananya sharia, Jana kwenye press conference katangaza kwamba aliuwa anajuwa matokeo ya kesi kabla hata haijafunguliwa.........kwa hiyo alienda mahakamani kufanya nini huku vifaranga vikiripoti toka kortini kwamba jinsi inavyoenda CDM itashinda sababu Msando Kapanik,mara anatokwa na jasho....mara kesi haina msingi waiweka zuio la nini...........Poor lawyer,hamna mtu mjini atampa kesi yake labda Chadomo hadi pale Mtei/Mbowe watakapomtema..............Kama alijuwa matokeo ya kesi toka mwanzo angeenda mahakamani kutetea maslahi ya CDM kasha kukubaliana na mombi Zitto kutokmjadili...........na sio kubwabwaja kama chiriku.........mwishowe Kichapo cha aibu.

lissu ni activist kama hellen Kidjo..sio wakili mzuri..anasema zitto ni mbuge wa mahakama coz kashindwa kesi kwake mahakama kutenda haki ni pale anaposhinda...ni mzuri katika kutafuta maandishi na quotqtions..but c mzuri katika legal reasoning at all..anaongea mengi but most of them ni immaterial
 
Back
Top Bottom