Tundu Lissu na Albert Msando yupi ni mtaalamu zaidi wa Sheria?

Tundu Lissu na Albert Msando yupi ni mtaalamu zaidi wa Sheria?

Watanzania ni watu wajinga sana na ni watu wenye viwango vya chini sana walio wepesi sana kuwa impressed na vitu vidogo vidogo.
Tun hulka ya kushabikia vitu flani vidogo vidogo visivyo na maana au umuhimu katika kuboresha maisha.
Na twafanya hivyo bila kujali ushahidi na 'facts'.
Pia hukimbilia sana katika 'kambi' na huitete kambi kwa gharama yoyote na hupinga hata ukweli na kuamini uongo kisa tu ni kambi ile au umetoka kambi ile.
 
Watanzania ni watu wajinga sana na ni watu wenye viwango vya chini sana walio wepesi sana kuwa impressed na vitu vidogo vidogo.

na me nakuunga mkono mkuu....yn cc nahisi tulirogwaga na yule mganga wa kinjektile ngwale
 
Acha ujinga yaani umekosa mtu wakumlinganisha na Lissu unamlinganisha na mtu ambaye hana legacy yoyote ya sheria?

Si bora hata ungemlinganisha na Kibatala??

Shame on you!
 
Back
Top Bottom