Tundu Lissu na Albert Msando yupi ni mtaalamu zaidi wa Sheria?

Tundu Lissu na Albert Msando yupi ni mtaalamu zaidi wa Sheria?

Wandugu tusiwe kama wajinga vile, wote hawa ni mawakili wasomi wazuri, kikubwa na uzoefu na umaarufu wa TL via ubunge tu
usikurupuke kama umetoka kufumaniwa TL hajawa maarufu wa via ubunge,huyu jamaa hata mkapa anamtambua maana alisumbua sana kwenye mabo ya madini na mazingira na alishawekwa selo na Mkapa, kumbuka statement ya kikwete "Ni heri Slaa awea raisi kuliko Tundu Lisu kuwa mbunge"ujue kuwa hata jamaa alikuwa najua moto wake, maana hateteleki
 
Great Minds discuss ideas
Average Minds discuss Events
Small Minds discuss people
 
Tundu Lissu himself is a LAW, Albert Msando is a LAYMAN.
 
Tundu ni mwanasheria anayekubalika sehemu yoyote mpaka bungeni nikikumbuka sakata la escrow wakati wa kutunga sheria za kuwaadhibu wahusika spika Anna makinda alikuwa anamtegemea sana Tundu Lissu kwenye sheria kesi ya Lema Arusha ya kuvuliwa ubunge na hii ya leo ya mahakama kuu mafanikio yote yanaonyesha uwezo wa Tundu Lissu kwenye sheria.

Mkuu umesahau ya Mhe: Sugu kumtukana Waziri Mkuu. T. Lissu-kesi ilitupiliwa mbali ndani ya nusu saa (sijui pumbavu). Kamsi haina hii kitu!!!
 
Kwanza nitamke mwanzoni kabisa kuwa nami pia ni Wakili.Hivyo,sina upande. Kuhusu hawa wawili,wote ni Mawakili Wasomi mahiri kulingana na mashauri wanayoyawakilisha. Ndiyo maana wanaaminiwa. Hatahivyo, Mawakili hawapaswi kupambanishwa au kulinganishwa kwa namna hii. Kazi ya Wakili Mahakamani ni pamoja na kusaidia kutafsiri sheria ili Mahakama itende haki.

Kutokana na kwamba Mahakama ni chombo huru kimaamuzi, tafsiri ya Wakili Msomi yeyote yaweza kuchukuliwa na Mahakama kama ni sahihi. Hakuna upenyo wa Wakili Msomi kuilazimisha Mahakama kukubaliana naye. Na tafsiri iliyokataliwa katika kesi hii yaweza kukubaliwa katika kesi ile.


Kimsingi, umahiri wa Wakili Msomi hujitokeza katika namna ya uwasilishaji wake wa hoja akichagiza na nyaraka,vifungu vya sheria na kesi zilizokwishaamriwa. Pia, utambuzi wa haraka na kukwepa makosa ya kisheria yanayoweza kujitokeza na kupelekea kuharibiwa kwa ladha ya kesi nzima. Hata saini yaweza kuangamiza kesi nzima.

Itoshe kusema kuwa kiuzoefu na kiubobezi, Wakili Msomi Tundu Antipas Mughwai Lissu ni zaidi ya Wakili Msomi Albert Gabriel Msando. Lakini, wote wanabaki kuwa Mawakili Wasomi wazuri na wa kupigiwa mfano.

Good observation.
 
Watanzania ni watu wajinga sana na ni watu wenye viwango vya chini sana walio wepesi sana kuwa impressed na vitu vidogo vidogo.

Taja mtu sio watanzania ??? Unaweza kuthibitisha hii kauli yako?
 
Phd holder. Ila ozzie ni mwanamke anaeenda hedhi siku saba kwa lugha ya kwetu.
Sipasi hata kukujibu. Hujui hata asili ya neno doctorate... Hujitambui. Watu kama nyie hata ban hampewi. Maana hamtambuliki...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom