Albert msando namkubali sana
Watanzania ni watu wajinga sana na ni watu wenye viwango vya chini sana walio wepesi sana kuwa impressed na vitu vidogo vidogo.
Kwa hili nakuunga mkono
Mmenye nadhani ilikuwa ni mwaka 1999 ule enzi za kina Mgullu G, Mwakipesile, Bwire, Asegelile
Watanzania ni watu wajinga sana na ni watu wenye viwango vya chini sana walio wepesi sana kuwa impressed na vitu vidogo vidogo.
Ok kumbe ni enzi za kina mgullu jembe roger dat.
Mi nafikiri unaposema unamkubali mtu uonyeshe statistics za unayemkubali Vs usiyemkubali. Kwa upande wangu nimeanza kumsikia tundu lissu nimeanza kumsikia mda mrefu. Mf kesi ya Zuma, kesi za Uchaguzi, kesi za uchafuzi wa mazingira Migodin(msoma). Huyo jamaa ndo nimemsikia kesi ya Zitto.
Kesi ya Zuma yupi?
Jacob Zuma. The president of SA.
Tundu ni Mwaasheria anayezichananya sharia, Jana kwenye press conference katangaza kwamba aliuwa anajuwa matokeo ya kesi kabla hata haijafunguliwa.........kwa hiyo alienda mahakamani kufanya nini huku vifaranga vikiripoti toka kortini kwamba jinsi inavyoenda CDM itashinda sababu Msando Kapanik,mara anatokwa na jasho....mara kesi haina msingi waiweka zuio la nini...........Poor lawyer,hamna mtu mjini atampa kesi yake labda Chadomo hadi pale Mtei/Mbowe watakapomtema..............Kam a alijuwa matokeo ya kesi toka mwanzo angeenda mahakamani kutetea maslahi ya CDM kasha kukubaliana na mombi Zitto kutokmjadili...........na sio kubwabwaja kama chiriku.........mwishowe Kichapo cha aibu.
Antipasi is the best manAlbert msando namkubali sana
wote ni mawakili wazuli na mahakamani one must loose that is a principal but shida ni mchanganyiko usioepukika politics vs law..hii ndo ina msumbua lissu kwa sababu alijua kwamba what cdm did to zzk was constitutionally wrong but akaamua komaa kwa court...but all ar good lawyerNdugu wanajamvi naona kupata ueledi wa kutafsir na practice ya sheria kati ya wanasheria hao wawili tajwa hapo juu.
Kwanza nitamke mwanzoni kabisa kuwa nami pia ni Wakili.Hivyo,sina upande. Kuhusu hawa wawili,wote ni Mawakili Wasomi mahiri kulingana na mashauri wanayoyawakilisha. Ndiyo maana wanaaminiwa. Hatahivyo, Mawakili hawapaswi kupambanishwa au kulinganishwa kwa namna hii. Kazi ya Wakili Mahakamani ni pamoja na kusaidia kutafsiri sheria ili Mahakama itende haki.
Kutokana na kwamba Mahakama ni chombo huru kimaamuzi, tafsiri ya Wakili Msomi yeyote yaweza kuchukuliwa na Mahakama kama ni sahihi. Hakuna upenyo wa Wakili Msomi kuilazimisha Mahakama kukubaliana naye. Na tafsiri iliyokataliwa katika kesi hii yaweza kukubaliwa katika kesi ile.
Kimsingi, umahiri wa Wakili Msomi hujitokeza katika namna ya uwasilishaji wake wa hoja akichagiza na nyaraka,vifungu vya sheria na kesi zilizokwishaamriwa. Pia, utambuzi wa haraka na kukwepa makosa ya kisheria yanayoweza kujitokeza na kupelekea kuharibiwa kwa ladha ya kesi nzima. Hata saini yaweza kuangamiza kesi nzima.
Itoshe kusema kuwa kiuzoefu na kiubobezi, Wakili Msomi Tundu Antipas Mughwai Lissu ni zaidi ya Wakili Msomi Albert Gabriel Msando. Lakini, wote wanabaki kuwa Mawakili Wasomi wazuri na wa kupigiwa mfano.
Tundu ni Mwaasheria anayezichananya sharia, Jana kwenye press conference katangaza kwamba aliuwa anajuwa matokeo ya kesi kabla hata haijafunguliwa.........kwa hiyo alienda mahakamani kufanya nini huku vifaranga vikiripoti toka kortini kwamba jinsi inavyoenda CDM itashinda sababu Msando Kapanik,mara anatokwa na jasho....mara kesi haina msingi waiweka zuio la nini...........Poor lawyer,hamna mtu mjini atampa kesi yake labda Chadomo hadi pale Mtei/Mbowe watakapomtema..............Kama alijuwa matokeo ya kesi toka mwanzo angeenda mahakamani kutetea maslahi ya CDM kasha kukubaliana na mombi Zitto kutokmjadili...........na sio kubwabwaja kama chiriku.........mwishowe Kichapo cha aibu.