Tundu Lissu na Albert Msando yupi ni mtaalamu zaidi wa Sheria?

Wandugu tusiwe kama wajinga vile, wote hawa ni mawakili wasomi wazuri, kikubwa na uzoefu na umaarufu wa TL via ubunge tu
usikurupuke kama umetoka kufumaniwa TL hajawa maarufu wa via ubunge,huyu jamaa hata mkapa anamtambua maana alisumbua sana kwenye mabo ya madini na mazingira na alishawekwa selo na Mkapa, kumbuka statement ya kikwete "Ni heri Slaa awea raisi kuliko Tundu Lisu kuwa mbunge"ujue kuwa hata jamaa alikuwa najua moto wake, maana hateteleki
 
Great Minds discuss ideas
Average Minds discuss Events
Small Minds discuss people
 
Tundu Lissu himself is a LAW, Albert Msando is a LAYMAN.
 

Mkuu umesahau ya Mhe: Sugu kumtukana Waziri Mkuu. T. Lissu-kesi ilitupiliwa mbali ndani ya nusu saa (sijui pumbavu). Kamsi haina hii kitu!!!
 

Good observation.
 
Watanzania ni watu wajinga sana na ni watu wenye viwango vya chini sana walio wepesi sana kuwa impressed na vitu vidogo vidogo.

Taja mtu sio watanzania ??? Unaweza kuthibitisha hii kauli yako?
 
Phd holder. Ila ozzie ni mwanamke anaeenda hedhi siku saba kwa lugha ya kwetu.
Sipasi hata kukujibu. Hujui hata asili ya neno doctorate... Hujitambui. Watu kama nyie hata ban hampewi. Maana hamtambuliki...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…