Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Habari ndio hiyo[emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji38][emoji38][emoji38]kazi tunayo Mana
Tuna Vita Ukraine na urusi
...kupanda kwa vitu Bei Sana
...Royal tour
....tundulisu vs lema ....ngoja Lisu arudi hauweni tunaweza pata aje aendelee kutufundisha Sheria pengine hata kwenye tv saa mbili usiku tutakaa kusikiliza habari kazi yakurudi usiku kwajili ya bbc na DW inatuchosha
Una uwezo mdogo sana !Project iliyobuma.
Wakajipeleka ukimbizini wakidhani kutaibuka wimbi kubwa la watu kikimbia nchi; ikawa kinyume!
Wakaweka masharti ya kurudi: rais atoe tamko la kuwatangaza kama wao wafalme ndipo warudi; SSH kawakaushia, wameamua kujirudisha wenyewe kama wanatoka msalani tu.
Simpendi Kikwete, lakini alikuwa sahihi aliposema: za kuambiwa changanya na zako. Hawa jamaa hawana zao za kuchanganya.
Better kuliko hao jamaa, ninachanganya na zanguUna uwezo mdogo sana !
Crap... yaani ulichoandika ni uchafuProject iliyobuma.
Wakajipeleka ukimbizini wakidhani kutaibuka wimbi kubwa la watu kikimbia nchi; ikawa kinyume!
Wakaweka masharti ya kurudi: rais atoe tamko la kuwatangaza kama wao wafalme ndipo warudi; SSH kawakaushia, wameamua kujirudisha wenyewe kama wanatoka msalani tu.
Simpendi Kikwete, lakini alikuwa sahihi aliposema: za kuambiwa changanya na zako. Hawa jamaa hawana zao za kuchanganya.
Huwezi kuelewa mpaka uchanganye na zakoCrap... yaani ulichoandika ni uchafu
Mtu akidondoka analia kama shilingiHii ndio dondoo niliyoipata kwa siku ya leo , Kwamba hawa Manusura wa Kaburi , wanatajwa kuwemo kwenye Vikao vya Baraza kuu la Chadema vitakavyofanyika 11/5/2022 Nchini Tanzania , maana ya jambo hili ni kwamba wawili hawa hivi sasa wanazo tiketi mikononi mwao kwa ajili ya kuanza safari za kurejea nchini , na kuhudhuria vikao vya chama chao.
Tuendelee kutega sikio hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema .
KujifurahishaHivi Lema kwa nini alikimbia nchi.?
KumekuchaAmsha Amsha ya Taifa ......