Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunasubiri kwa hamu kubwa matokeo ya hivyo vikao. Chadema ni mali ya wananchi...tunataka kauli ya chama kuhusiana na haya yanayoendelea hapa nchini.na kuhudhuria vikao vya chama chao.
Haujielewi kabisaaaaProject iliyobuma.
Wakajipeleka ukimbizini wakidhani kutaibuka wimbi kubwa la watu kikimbia nchi; ikawa kinyume!
Wakaweka masharti ya kurudi: rais atoe tamko la kuwatangaza kama wao wafalme ndipo warudi; SSH kawakaushia, wameamua kujirudisha wenyewe kama wanatoka msalani tu.
Simpendi Kikwete, lakini alikuwa sahihi aliposema: za kuambiwa changanya na zako. Hawa jamaa hawana zao za kuchanganya.
Hufai kua tajiri kichwa unastaili uitwe masikini kichwa hujui lolote kuhusu lisu yule kaajiliwa ulaya ni mwandishi wao vitabu kuhusu afrika mashariki alihtaji ajira sio kulishwa hivo unasema na ajira alipata
Hii ndio dondoo niliyoipata kwa siku ya leo , Kwamba hawa Manusura wa Kaburi , wanatajwa kuwemo kwenye Vikao vya Baraza kuu la Chadema vitakavyofanyika 11/5/2022 Nchini Tanzania , maana ya jambo hili ni kwamba wawili hawa hivi sasa wanazo tiketi mikononi mwao kwa ajili ya kuanza safari za kurejea nchini , na kuhudhuria vikao vya chama chao.
Tuendelee kutega sikio hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema .
Watu wakimbie Tena wakati kitisho hakipo, mind you hata wewe ungeweza kukumbia kama Hali ingeendelea kuwa kama ilivyokua , Gods timing was perfectProject iliyobuma.
Wakajipeleka ukimbizini wakidhani kutaibuka wimbi kubwa la watu kikimbia nchi; ikawa kinyume!
Wakaweka masharti ya kurudi: rais atoe tamko la kuwatangaza kama wao wafalme ndipo warudi; SSH kawakaushia, wameamua kujirudisha wenyewe kama wanatoka msalani tu.
Simpendi Kikwete, lakini alikuwa sahihi aliposema: za kuambiwa changanya na zako. Hawa jamaa hawana zao za kuchanganya.
Usiondoke JFTunasubiri kwa hamu kubwa matokeo ya hivyo vikao. Chadema ni mali ya wananchi...tunataka kauli ya chama kuhusiana na haya yanayoendelea hapa nchini.
Ukimya huu unakera.
Uongo unakusaidia nini ?Ukweli ni kwamba, za chini ya kapeti lakini, Wakubwa huko Wamekataa kurenew kibali cha hawa wakimbizi feki kula na kulala bure nchini mwao, wanasema mazingira ya sasa huku kwetu yapo shwari
Nimeipenda sana. Unakuwa mkimbizi kwa kuikimbia Tanzania ambayo adui mkubwa ni panya road tu. Hata waliowapokea wapimwe akili.Ukweli ni kwamba, za chini ya kapeti lakini, Wakubwa huko Wamekataa kurenew kibali cha hawa wakimbizi feki kula na kulala bure nchini mwao, wanasema mazingira ya sasa huku kwetu yapo shwari
Mungu ibariki CHADEMAHii ndio dondoo niliyoipata kwa siku ya leo , Kwamba hawa Manusura wa Kaburi , wanatajwa kuwemo kwenye Vikao vya Baraza kuu la Chadema vitakavyofanyika 11/5/2022 Nchini Tanzania , maana ya jambo hili ni kwamba wawili hawa hivi sasa wanazo tiketi mikononi mwao kwa ajili ya kuanza safari za kurejea nchini , na kuhudhuria vikao vya chama chao.
Tuendelee kutega sikio hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema .
Hivi ndugu yangu wewe una utu kweli? Mtu amenusurika kuuawa kama nyati kwa bunduki za kivita halafu unasema hakustahili kuikimbia nchi kwa muda kwa hali ilivyokuwa?Huwezi kuelewa mpaka uchanganye na zako
Uongo unakusaidia nini ?
Huyo hana Utu ana utindio wa ubongoHivi ndugu yangu wewe una utu kweli? Mtu amenusurika kuuawa kama nyati kwa bunduki za kivita halafu unasema hakustahili kuikimbia nchi kwa muda kwa hali ilivyokuwa?
Lengo lako ni abaki nchi ili mmalizie? Hata kama ni wewe usingeweza kuendelea kubaki nchini kwa mazingira yale.
Kuhusu kuhakikishiwa usalama wao hilo sio lazima Rais atangaze kwa umma bali anaweza kutoa maelekezo kwa wakuu wa vyombo vya ulinzi inatosha na wewe na mimi tusijue.
Tujifunze kujadili na kuchangia hoja.Si kukurupuka kwakuwa unachuki binafsi.Project iliyobuma.
Wakajipeleka ukimbizini wakidhani kutaibuka wimbi kubwa la watu kikimbia nchi; ikawa kinyume!
Wakaweka masharti ya kurudi: rais atoe tamko la kuwatangaza kama wao wafalme ndipo warudi; SSH kawakaushia, wameamua kujirudisha wenyewe kama wanatoka msalani tu.
Simpendi Kikwete, lakini alikuwa sahihi aliposema: za kuambiwa changanya na zako. Hawa jamaa hawana zao za kuchanganya.
Jibu maswali kama unayaweza!Unalia nini ?
Tupoteze muda kweli kumfikiria tapeli Lema? Bora kidogo LissuHii ndio dondoo niliyoipata kwa siku ya leo , Kwamba hawa Manusura wa Kaburi , wanatajwa kuwemo kwenye Vikao vya Baraza kuu la Chadema vitakavyofanyika 11/5/2022 Nchini Tanzania , maana ya jambo hili ni kwamba wawili hawa hivi sasa wanazo tiketi mikononi mwao kwa ajili ya kuanza safari za kurejea nchini , na kuhudhuria vikao vya chama chao.
Tuendelee kutega sikio hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema .