Tetesi: Tundu Lissu na Godbless Lema Kuhudhuria vikao vya Baraza Kuu la CHADEMA

Tetesi: Tundu Lissu na Godbless Lema Kuhudhuria vikao vya Baraza Kuu la CHADEMA

Project iliyobuma.
Wakajipeleka ukimbizini wakidhani kutaibuka wimbi kubwa la watu kikimbia nchi; ikawa kinyume!
Wakaweka masharti ya kurudi: rais atoe tamko la kuwatangaza kama wao wafalme ndipo warudi; SSH kawakaushia, wameamua kujirudisha wenyewe kama wanatoka msalani tu.
Simpendi Kikwete, lakini alikuwa sahihi aliposema: za kuambiwa changanya na zako. Hawa jamaa hawana zao za kuchanganya.
Haujielewi kabisaaaa
 
Hufai kua tajiri kichwa unastaili uitwe masikini kichwa hujui lolote kuhusu lisu yule kaajiliwa ulaya ni mwandishi wao vitabu kuhusu afrika mashariki alihtaji ajira sio kulishwa hivo unasema na ajira alipata

Yule ni mkimbizi wa kisiasa na pale analipwa kwa ukimbizi wake
 
Hii ndio dondoo niliyoipata kwa siku ya leo , Kwamba hawa Manusura wa Kaburi , wanatajwa kuwemo kwenye Vikao vya Baraza kuu la Chadema vitakavyofanyika 11/5/2022 Nchini Tanzania , maana ya jambo hili ni kwamba wawili hawa hivi sasa wanazo tiketi mikononi mwao kwa ajili ya kuanza safari za kurejea nchini , na kuhudhuria vikao vya chama chao.

Tuendelee kutega sikio hapahapa JF kwa taarifa zaidi .

Mungu ibariki Chadema .

Ukweli ni kwamba, za chini ya kapeti lakini, Wakubwa huko Wamekataa kurenew kibali cha hawa wakimbizi feki kula na kulala bure nchini mwao, wanasema mazingira ya sasa huku kwetu yapo shwari
 
Project iliyobuma.
Wakajipeleka ukimbizini wakidhani kutaibuka wimbi kubwa la watu kikimbia nchi; ikawa kinyume!
Wakaweka masharti ya kurudi: rais atoe tamko la kuwatangaza kama wao wafalme ndipo warudi; SSH kawakaushia, wameamua kujirudisha wenyewe kama wanatoka msalani tu.
Simpendi Kikwete, lakini alikuwa sahihi aliposema: za kuambiwa changanya na zako. Hawa jamaa hawana zao za kuchanganya.
Watu wakimbie Tena wakati kitisho hakipo, mind you hata wewe ungeweza kukumbia kama Hali ingeendelea kuwa kama ilivyokua , Gods timing was perfect
 
Tunasubiri kwa hamu kubwa matokeo ya hivyo vikao. Chadema ni mali ya wananchi...tunataka kauli ya chama kuhusiana na haya yanayoendelea hapa nchini.
Ukimya huu unakera.
Usiondoke JF
 
Ukweli ni kwamba, za chini ya kapeti lakini, Wakubwa huko Wamekataa kurenew kibali cha hawa wakimbizi feki kula na kulala bure nchini mwao, wanasema mazingira ya sasa huku kwetu yapo shwari
Uongo unakusaidia nini ?
 
Ukweli ni kwamba, za chini ya kapeti lakini, Wakubwa huko Wamekataa kurenew kibali cha hawa wakimbizi feki kula na kulala bure nchini mwao, wanasema mazingira ya sasa huku kwetu yapo shwari
Nimeipenda sana. Unakuwa mkimbizi kwa kuikimbia Tanzania ambayo adui mkubwa ni panya road tu. Hata waliowapokea wapimwe akili.
 
Hii ndio dondoo niliyoipata kwa siku ya leo , Kwamba hawa Manusura wa Kaburi , wanatajwa kuwemo kwenye Vikao vya Baraza kuu la Chadema vitakavyofanyika 11/5/2022 Nchini Tanzania , maana ya jambo hili ni kwamba wawili hawa hivi sasa wanazo tiketi mikononi mwao kwa ajili ya kuanza safari za kurejea nchini , na kuhudhuria vikao vya chama chao.

Tuendelee kutega sikio hapahapa JF kwa taarifa zaidi .

Mungu ibariki Chadema .
Mungu ibariki CHADEMA
 
Huwezi kuelewa mpaka uchanganye na zako
Hivi ndugu yangu wewe una utu kweli? Mtu amenusurika kuuawa kama nyati kwa bunduki za kivita halafu unasema hakustahili kuikimbia nchi kwa muda kwa hali ilivyokuwa?

Lengo lako ni abaki nchi ili mmalizie? Hata kama ni wewe usingeweza kuendelea kubaki nchini kwa mazingira yale.

Kuhusu kuhakikishiwa usalama wao hilo sio lazima Rais atangaze kwa umma bali anaweza kutoa maelekezo kwa wakuu wa vyombo vya ulinzi inatosha na wewe na mimi tusijue.
 
Uongo unakusaidia nini ?

Muulize Mbowe uongo ulimsaidia nini alipozunguka nchi nzima kusema Lowassa ni fisadi na kwenye website ya chama kwenye ile The List of Shame na kisha miaka chache baadae akampigia debe awe Rais wa nchi
 
Hivi ndugu yangu wewe una utu kweli? Mtu amenusurika kuuawa kama nyati kwa bunduki za kivita halafu unasema hakustahili kuikimbia nchi kwa muda kwa hali ilivyokuwa?

Lengo lako ni abaki nchi ili mmalizie? Hata kama ni wewe usingeweza kuendelea kubaki nchini kwa mazingira yale.

Kuhusu kuhakikishiwa usalama wao hilo sio lazima Rais atangaze kwa umma bali anaweza kutoa maelekezo kwa wakuu wa vyombo vya ulinzi inatosha na wewe na mimi tusijue.
Huyo hana Utu ana utindio wa ubongo
 
Project iliyobuma.
Wakajipeleka ukimbizini wakidhani kutaibuka wimbi kubwa la watu kikimbia nchi; ikawa kinyume!
Wakaweka masharti ya kurudi: rais atoe tamko la kuwatangaza kama wao wafalme ndipo warudi; SSH kawakaushia, wameamua kujirudisha wenyewe kama wanatoka msalani tu.
Simpendi Kikwete, lakini alikuwa sahihi aliposema: za kuambiwa changanya na zako. Hawa jamaa hawana zao za kuchanganya.
Tujifunze kujadili na kuchangia hoja.Si kukurupuka kwakuwa unachuki binafsi.
 
Hii ndio dondoo niliyoipata kwa siku ya leo , Kwamba hawa Manusura wa Kaburi , wanatajwa kuwemo kwenye Vikao vya Baraza kuu la Chadema vitakavyofanyika 11/5/2022 Nchini Tanzania , maana ya jambo hili ni kwamba wawili hawa hivi sasa wanazo tiketi mikononi mwao kwa ajili ya kuanza safari za kurejea nchini , na kuhudhuria vikao vya chama chao.

Tuendelee kutega sikio hapahapa JF kwa taarifa zaidi .

Mungu ibariki Chadema .
Tupoteze muda kweli kumfikiria tapeli Lema? Bora kidogo Lissu
 
Back
Top Bottom