Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Karibu sanaHakuna wa kupoteza muda kusikiliza hao vihiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sanaHakuna wa kupoteza muda kusikiliza hao vihiyo
Adui mkubwa angekua panya road tu tusingeona msururu mkubwa wa ulinzi wa rais.kila mtu anajua mwenyewe thamani ya maisha yake.kama wewe thamani yako iko chini kaa utulie.Nimeipenda sana. Unakuwa mkimbizi kwa kuikimbia Tanzania ambayo adui mkubwa ni panya road tu. Hata waliowapokea wapimwe akili.
SwadaktaAdui mkubwa angekua panya road tu tusingeona msururu mkubwa wa ulinzi wa rais.kila mtu anajua mwenyewe thamani ya maisha yake.kama wewe thamani yako iko chini kaa utulie.
Kumbe lema naye ni msomi siyo !?Wewe ndo kichwa kibovu Sana mkuu walengwa walikua wao Mana ndo wasomi na wanasiasa na mabingwa wa mikakati walioweza kuzungumzia ujiwe wa Mwendazake ....mfatilie profesa shivji anasemaje kuhusu wasomi wa nchi hii miaka 6 iliyopita
Siyo watahudhuria kupitia ZOOM MEETING??Hii ndio dondoo niliyoipata kwa siku ya leo , Kwamba hawa Manusura wa Kaburi , wanatajwa kuwemo kwenye Vikao vya Baraza kuu la Chadema vitakavyofanyika 11/5/2022 Nchini Tanzania , maana ya jambo hili ni kwamba wawili hawa hivi sasa wanazo tiketi mikononi mwao kwa ajili ya kuanza safari za kurejea nchini , na kuhudhuria vikao vya chama chao.
Tuendelee kutega sikio hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema .
Hii ndio dondoo niliyoipata kwa siku ya leo , Kwamba hawa Manusura wa Kaburi , wanatajwa kuwemo kwenye Vikao vya Baraza kuu la Chadema vitakavyofanyika 11/5/2022 Nchini Tanzania , maana ya jambo hili ni kwamba wawili hawa hivi sasa wanazo tiketi mikononi mwao kwa ajili ya kuanza safari za kurejea nchini , na kuhudhuria vikao vya chama chao.
Tuendelee kutega sikio hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema .
Je wakija kuna tatizo ?Siyo watahudhuria kupitia ZOOM MEETING??
Unasemaje? Unajua kilichomfanya mama kumfuata Lisu Ubeligiji?SSH kawakaushia,