Tetesi: Tundu Lissu na Godbless Lema Kuhudhuria vikao vya Baraza Kuu la CHADEMA

Tetesi: Tundu Lissu na Godbless Lema Kuhudhuria vikao vya Baraza Kuu la CHADEMA

wanazikimbia nukes za Putin maana hakuna anayejua ni hatua gani mpya mwendawazimu Putin ataichukua may 9 baada ya mmarekani kuzidisha uchokozi kule Ukraine
 
Project iliyobuma.
Wakajipeleka ukimbizini wakidhani kutaibuka wimbi kubwa la watu kikimbia nchi; ikawa kinyume!
Wakaweka masharti ya kurudi: rais atoe tamko la kuwatangaza kama wao wafalme ndipo warudi; SSH kawakaushia, wameamua kujirudisha wenyewe kama wanatoka msalani tu.
Simpendi Kikwete, lakini alikuwa sahihi aliposema: za kuambiwa changanya na zako. Hawa jamaa hawana zao za kuchanganya.
Wote wanaopenda na wanaotetea haki huwezi kuwa penda kwani upande wako ni WA dhulma
 
Hawawezi rudi maana kule maisha kwao ni rahisi wanakula na kulipwa pesa za kujikimu
 
Hii ndio dondoo niliyoipata kwa siku ya leo , Kwamba hawa Manusura wa Kaburi , wanatajwa kuwemo kwenye Vikao vya Baraza kuu la Chadema vitakavyofanyika 11/5/2022 Nchini Tanzania , maana ya jambo hili ni kwamba wawili hawa hivi sasa wanazo tiketi mikononi mwao kwa ajili ya kuanza safari za kurejea nchini , na kuhudhuria vikao vya chama chao.

Tuendelee kutega sikio hapahapa JF kwa taarifa zaidi .

Mungu ibariki Chadema .
Je Lissu anarudi na Dereva wake ambaye ni shahidi muhimu?

Umanusura wa kaburi wa Lema ni Upi?

Au waliokuwa wakimdai walikuwa wamemchimbia kaburi?

Mbona hawa watu tuko tunawasikia kila siku wakiwa huko Club House,Maria Spaces na mijadala yao ni ile ile ya kukashifu na kujadili watu na matusi kama kawaida yao?

Hawana jipya zaidi ni kurudi nyumbani kwao walikozaliwa.
Wazungu wako busy na Putin kuliko waswahili hawa.

Umuhimu wa Lissu kwa wazungu haupo kwa sasa

Sababu Bi Msafari anawafuata na kuwalazimisha waje kuchukua kile alichokuwa akikikatalia Magufuli.

Tanzania kwa sasa inataka wanasiasa wanaochallenge mambo huku wakitoa njia mbadala ya utatuzi.

Siasa za Tanzania hii hazihitaji siasa za uanaharakati bali werevu na upambanuaji wa mambo kama alivyowahi kuwa akifanya Dk Slaa.

Kuja Tanzania kuanza kumlalamikia Magufuli ambaye hayupo haitawajenga kisiasa zaidi ya kuwaporomosha zaidi.

Hatujitaji wanasiasa wenye kufanya siasa kimfumo kwa kuangalia maslahi binafsi zaidi ya kuutumikia umma kwa maslahi mapana ya kitaifa.

Hao woote uliowataja ukiongeza na Zitto Kabwe ni aina ya wanasiasa wa kimtandao.

Hao kwa sasa wanafaa kurudi maana wanawezana na hii CCM ~ KINANA ya walamba Asali.

Hata kuibuka kwao waliibuka kisiasa enzi za CCM hiyohiyo,kwa hiyo ni wakati sahihi kwao kurudi.

Woote! Kinana,Lissu,Lema,Zitto,Makamba,Nape na hata Mbowe...adui yao alikuwa JPM na Sasa hayupo.

Waje tu sasa walambishane Asali kama zamani.

Mwenzao Zitto yeye tayari analamba taratibu.
 
Je Lissu anarudi na Dereva wake ambaye ni shahidi muhimu?

Umanusura wa kaburi wa Lema ni Upi?

Au waliokuwa wakimdai walikuwa wamemchimbia kaburi?

Mbona hawa watu tuko tunawasikia kila siku wakiwa huko Club House,Maria Spaces na mijadala yao ni ile ile ya kukashifu na kujadili watu na matusi kama kawaida yao?

Hawana jipya zaidi ni kurudi nyumbani kwao walikozaliwa.
Wazungu wako busy na Putin kuliko waswahili hawa.

Umuhimu wa Lissu kwa wazungu haupo kwa sasa

Sababu Bi Msafari anawafuata na kuwalazimisha waje kuchukua kile alichokuwa akikikatalia Magufuli.

Tanzania kwa sasa inataka wanasiasa wanaochallenge mambo huku wakitoa njia mbadala ya utatuzi.

Siasa za Tanzania hii hazihitaji siasa za uanaharakati bali werevu na upambanuaji wa mambo kama alivyowahi kuwa akifanya Dk Slaa.

Kuja Tanzania kuanza kumlalamikia Magufuli ambaye hayupo haitawajenga kisiasa zaidi ya kuwaporomosha zaidi.

Hatujitaji wanasiasa wenye kufanya siasa kimfumo kwa kuangalia maslahi binafsi zaidi ya kuutumikia umma kwa maslahi mapana ya kitaifa.

Hao woote uliowataja ukiongeza na Zitto Kabwe ni aina ya wanasiasa wa kimtandao.

Hao kwa sasa wanafaa kurudi maana wanawezana na hii CCM ~ KINANA ya walamba Asali.

Hata kuibuka kwao waliibuka kisiasa enzi za CCM hiyohiyo,kwa hiyo ni wakati sahihi kwao kurudi.

Woote! Kinana,Lissu,Lema,Zitto,Makamba,Nape na hata Mbowe...adui yao alikuwa JPM na Sasa hayupo.

Waje tu sasa walambishane Asali kama zamani.

Mwenzao Zitto yeye tayari analamba taratibu.
Unalia nini ?
 
Project iliyobuma.
Wakajipeleka ukimbizini wakidhani kutaibuka wimbi kubwa la watu kikimbia nchi; ikawa kinyume!
Wakaweka masharti ya kurudi: rais atoe tamko la kuwatangaza kama wao wafalme ndipo warudi; SSH kawakaushia, wameamua kujirudisha wenyewe kama wanatoka msalani tu.
Simpendi Kikwete, lakini alikuwa sahihi aliposema: za kuambiwa changanya na zako. Hawa jamaa hawana zao za kuchanganya.
Wewe ndo kichwa kibovu Sana mkuu walengwa walikua wao Mana ndo wasomi na wanasiasa na mabingwa wa mikakati walioweza kuzungumzia ujiwe wa Mwendazake ....mfatilie profesa shivji anasemaje kuhusu wasomi wa nchi hii miaka 6 iliyopita
 
Hawawezi rudi maana kule maisha kwao ni rahisi wanakula na kulipwa pesa za kujikimu
Hufai kua tajiri kichwa unastaili uitwe masikini kichwa hujui lolote kuhusu lisu yule kaajiliwa ulaya ni mwandishi wao vitabu kuhusu afrika mashariki alihtaji ajira sio kulishwa hivo unasema na ajira alipata
 
Hii ndio dondoo niliyoipata kwa siku ya leo , Kwamba hawa Manusura wa Kaburi , wanatajwa kuwemo kwenye Vikao vya Baraza kuu la Chadema vitakavyofanyika 11/5/2022 Nchini Tanzania , maana ya jambo hili ni kwamba wawili hawa hivi sasa wanazo tiketi mikononi mwao kwa ajili ya kuanza safari za kurejea nchini , na kuhudhuria vikao vya chama chao.

Tuendelee kutega sikio hapahapa JF kwa taarifa zaidi .

Mungu ibariki Chadema .
Labda video conference nayo ni mikutano.
 
Upigwe risasi 16 na wewe siku moja, halafu urudi hapa kuandika utumbo wako...
Project iliyobuma.
Wakajipeleka ukimbizini wakidhani kutaibuka wimbi kubwa la watu kikimbia nchi; ikawa kinyume!
Wakaweka masharti ya kurudi: rais atoe tamko la kuwatangaza kama wao wafalme ndipo warudi; SSH kawakaushia, wameamua kujirudisha wenyewe kama wanatoka msalani tu.
Simpendi Kikwete, lakini alikuwa sahihi aliposema: za kuambiwa changanya na zako. Hawa jamaa hawana zao za kuchanganya.
 
Back
Top Bottom