Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na Lazaro Nyalandu Warejesha fomu za kuomba uteuzi wa kugombea Urais baada kukamilisha kusaka wadhamini

Mwaka huu kura zote za watanzania walioumizwa na ubambikiwaji kesi kwa watu wasio na hatia, Udini na ukabila uliokithili, kuharibiwa vibaya kwa uchumi kulikopelekea mamilioni ya watu na vijana kukosa na kupoteza ajira, kuharibiwa vibaya kwa biashara za mahindi, mbaaazi, korosho na ufuta, kutekwa na kuuawa ovyo kwa watu ni kwa TUNDU ANTIPAS LISSU
 
Hivi ameamua Kurejea kweli Tanzania hiyo Jumatatu ijayo kama alivyosema? Ameshajiridhisha kwa kila Kitu juu ya Ustawi wake mzima wa Kiuhai?
Genta tulikuwa pamoja 2015. Ila mwaka huu tuko tofauti. Kwa mara ya kwanza baada ya kutafakari Tanzania ilipotoka, ilipo na inapoelekea, nimejidhihilishia pasipo shaka kuwa kwa maendeleo ya kweli ya watu, mifumo na vitu, Tanzania hatuna budi kuchukua njia tofauti.

Senegal walijaribu wakaweza, Ivory Coast wamejarbu na upinzani wameweza. Sasa mataifa haya ndo the fastest growing economies in Africa na sio kwa data za kupika.

Mwaka huu Tanzania tufanye kweli. Nipo upande wa Tundu Antipas Lissu kwa sababu sio tu namuunga mkono ila kwa research niliyofanya kwa miaka hii 5 nimejiridhisha kuwa sera za chadema kijamii, kimfumo na kiuchumi ndizo zitaibadirisha kweli kiuchumi nchi yetu.
 
Nyalandu asome alana za nyakati na kisha amuachie Lissu.
CDM ndo isome alama za nyakati imemuachia Nyalandu kwa sasa aendeleze hili game,Lisu na Mbowe warudi bungeni wakaongeze nguvu wakijiandaa na 2025,ila nje ya hapo kama watamsimamisha Lisu akifeli basi tena mchezo wake kisiasa na nguvuyake itakua imeishia hapo.hii ni kwa sababu itabidi Chadema waandae tena mtu mwingine ambae hatofeli,hivyo kumuachia Nyalandu kwa wakati huu ni kama sehemu ya CDM kukamilisha ushiriki wake ambao watakua wanajiandaa kwa ajili ya mwala 2025.
Kuna wakati katika siasa lazima zitumike mfano wa mbinu za kivita,unarudi nyuma ili kumfanya adui yako akufuate na hapo unamuingiza katika mtego,vitani kama utasonga mbele kila siku jua lazima utapigwa,lakini ukijifanya kurudi nyuma utasababisha jeshi la mwenzako kuona kama vile umelega na wao hawatosonga kama walivyosonga mwanzo basi hapo utawapiga vizuri kabisa.
Unajua katika mchezo wa ngumi huwa kuna kutishiwa fulani,sasa kwa wataalamu wa mchezo wa ngumi ukimtisha yeye anakupiga,lakini yule anaetishiwa na akakwepa basi atapigwa,vile vile tena,katika mchezo wa ngumi,ukimuona hasimu wako anarudi nyuma,jiulize kwanini.
 
Nyalandu agoma kumuachia nafasi ya Urais Membe; >>>"Nagombea urais kwasababu nina maono na nina azma kamili ya kuongoza Nchi kama Chama changu kikinipa hiyo fursa" "Niko hapa nagombea urais, sigombei ili kesho nimpishe mtu hizo zitakuwa ni siasa za kizamani sana" alisema Nyalandu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…