Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na mwamko mpya kiushawishi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na mwamko mpya kiushawishi

Hakuna hata kiwanda kimoja walichojenga,viwanda huwa vinajengwa na wawekezaji ambao awamu hii wamepeperuka.Hakuna mwekezaji mjinga wa kuleta mtaji wake Tanzania kwa aina ya Utawala tulionao,kubambikia kodi Accacia,wafanya biashara wengi kufilisiwa na uwepo wa sheria mbovu za uwekezaji.Hivyo Sera ya Tanzania ya viwanda ilikufa kimya kimya baada ya Kaijage kutumbuliwa,aliondoka navyo vile vilivyokwishajengwa!
 
Ila usisahau ushenzi wa kuengua wapinzani hakuna haki kabisa hapo. Pia wizi mkubwa utakuwepo jiwe ameshaapa lazima ashinde hata kama hatumpi kura.

Atangazwe (sio kushinda)
 
Uchaguzi wa kistaarabu kivipi na haujafanyika? Ndiyo kampeni sasa hivi na CCM na Magufuli wamepigwa na upepo wa kisulisuli na hawakutegemea kuwa Magufuli anachukiwa kiasi hiki mpaka kanda ya Ziwa ambayo ndiyo ilimwokoa uchaguzi uliopita?

Huu uchaguzi unaweza kuwa ndiyo wenye vurugu kuliko nyingine zote kwa sababu Magufuli anajua kabisa yuko kwenye hali mbaya na hawezi kushinda kwa kura huku wananchi wakiwa wameamua kuwa liwalo na liwe lakini kipindi hiki CCM ifikie mwisho.
Una maono yameshaanza, huu ukimya WA siku NNE kuna Mambo mabaya yanasukwa na CCM.
 
Miaka 5 hakieleweka kwenye maendeleo ya mtu mmoja mmoja
 
Mtu ukiwa umemiss kupata likes hapa JF wewe andika tu lolote kuhusu Chadema na mgombea wake hakika utapata likes za kutosha ila in reality they mean nothing.

Ukija huku mtaani hali ni tofauti kabisa, hakuna likes bali unakutana na uhalisia wa namna Rais Magufuli alivyojijengea heshima katika jamii yetu.
Haya bwana hujataja CDM nimekulike.
 
Ahsante Mkuu kwa kuliona hili.. Ila nina wasiwasi na huko tuendako maana matukio ya kuwatia watu hofu kama yale ya Soweto huko Arusha watu wabaya wanaweza kuyatengeneza..
Jana nilitahadharisha kuhusu hili la kuwatia wananchi hofu.. Yaliotokea leo huko Nyamongo ni moja kati ya matukio hayo.
 
Back
Top Bottom