BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Mtu wa lumumba huyo Mkuu. Anataka kubadilika lakini kajaa hofu ya kukatiwa Buku 7.
Hapa umetabiri kinyume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa umetabiri kinyume.
Mtu ukiwa umemiss kupata likes hapa JF wewe andika tu lolote kuhusu Chadema na mgombea wake hakika utapata likes za kutosha ila in reality they mean nothing.
Ukija huku mtaani hali ni tofauti kabisa, hakuna likes bali unakutana na uhalisia wa namna Rais Magufuli alivyojijengea heshima katika jamii yetu.
Mtu ukiwa umemiss kupata likes hapa JF wewe andika tu lolote kuhusu Chadema na mgombea wake hakika utapata likes za kutosha ila in reality they mean nothing.
Ukija huku mtaani hali ni tofauti kabisa, hakuna likes bali unakutana na uhalisia wa namna Rais Magufuli alivyojijengea heshima katika jamii yetu.
Majibu yako tu yanaonyesha chuki uliyo nayo. Wewe ni mmoja ya watu wanaolala wakikesha kuomba Chadema na upinzani wote ufe kisa tu Slaa (sijui wewe ndiye Josephina) aliondoka baada ya kususiwa na mkewe.Magufuli hana hali mbaya bali ushindani umeongezeka kitu ambacho ni afya kwa Taifa letu.
.. na Lisu kasema kama kushindwa ashindwe kihalali sio figisu hapatatoshaUchaguzi wa kistaarabu kivipi na haujafanyika? Ndiyo kampeni sasa hivi na CCM na Magufuli wamepigwa na upepo wa kisulisuli na hawakutegemea kuwa Magufuli anachukiwa kiasi hiki mpaka kanda ya Ziwa ambayo ndiyo ilimwokoa uchaguzi uliopita?
Huu uchaguzi unaweza kuwa ndiyo wenye vurugu kuliko nyingine zote kwa sababu Magufuli anajua kabisa yuko kwenye hali mbaya na hawezi kushinda kwa kura huku wananchi wakiwa wameamua kuwa liwalo na liwe lakini kipindi hiki CCM ifikie mwisho.
Tz tunakwamia hapa wajinga ni wengi na hakuna dalili yakupungua ambao ndio mtaji wa ccmUchaguzi ni uamuzi kuhusu mustakabali wako, familia, majirani, mtaa hadi taifa.
Kura yako inaamua kuhusu maisha ya wote hao.
Hata hivyo, watu wengi ni wajinga wanaofuata mkumbo.
Umasikini mbaya kuliko wote ni ule wa fikra.Tz tunakwamia hapa wajinga ni wengi na hakuna dalili yakupungua ambao ndio mtaji wa ccm
Well said [emoji123]Umasikini mbaya kuliko wote ni ule wa fikra.
Afadhali uwe masikini wa mali ila uwe na fikra/ akili nzuri kwa kuwa utaweza kutafuta mali.
Tatizo ni kubwa zaidi kwa kuwa wengi wanakosa fikra/akili pia mali hawana.
Hapo huwezi tofautisha mtu huyo na mnyama anayewindwa.
Wakuu,
Kampeni za uchaguzi zinaendelea na kwasababu ya mabadiliko makubwa ya kiushawishi ya Tundu Lissu yanayomfanya ajipatie mashabiki kwa kasi ambayo wengi (ikiwemo mimi) hatukutegemea, nimeona niandike machache kwanini anafanikiwa;
1) Lissu alianza vibaya kampeni kwa hotuba zake kujaa hoja za kiharakati ambazo haziongezi kura. Mashambulizi binafsi kwa mgombea wa CCM yalijaa jeuri isiyojenga wala kuongeza kura hivyo kuonekana na umma kama mwanaharakati zaidi ya amri jeshi mkuu mtarajiwa.
2) Hoja namba moja ndio kiini cha Lissu kujirekebisha na kubadili upepo wa kampeni. Lissu akaanza kuacha kumzungumzia sana mgombea wa CCM na kujikita kwenye shida za watu.
3) Chadema wametafiti na kutambua maeneo ambayo hayajafanyiwa kazi na kujikita huko kuliko kuponda tu miradi ambayo hoja yao imekuwa haieleweki na wananchi wengi. Sasa Lissu anazungumza habari za bei ya Cement, kupandisha mishahara, Fao la kujitoa n.k
4) Lissu ameanza kuheshimu vyombo vya dola na hata leo amewasifia. Hii ni mbinu ya kuwachota kisaikolojia askari na watumishi wengine ili wapate ushirikiano wao kikamilifu. Nafikiri hii itazidi kumuongezea wafuasi maana anajipambanua kama Amri Jeshi mkuu mtarajiwa.
5) Pamoja na ukubwa wa CCM lakini uchaguzi huu wana tatizo kubwa kupangua hoja kwenye maeneo ambayo hawakufanya vizuri. Kwanza wanaonesha hawajui vision ya mgombea wao toka alipoingia madarakani. JPM amefanya kazi nzuri sana lakini kuna maeneo hakufanya vizuri na lazima wajipange kutoa majibu ya wazi maana Chadema wamejikita huko.
6) Kwa ujumla tulitegemea kampeni zitazotawaliwa na CCM kutokana na upinzani kuwa nusu kaputi kwa muda mrefu lakini Lissu amebadili upepo na kufanya tushuhudie moja ya uchaguzi ambao hoja ndio zitazotawala na kutoa fursa kwa wananchi kuamua yupi atawafaa.
7) Pia mnyonge mnyongeni haki yake apewe. JPM anakwenda kuandika historia ya kuendesha uchaguzi kistaarabu bila vurugu tulizoshuhudia chaguzi zilizopita. Kwasababu wengi tunasahau lakini chaguzi zilizopita ziligubikwa na mengi. Pamoja na mapungufu machache lakini kampeni zinakwenda vyema na tuendelee kuomba hali ibaki hivi hadi mwisho.
Hakika Tundu A. Lissu amebadili upepo na kuleta ladha halisi ya kampeni za ushindani kihoja.
Asanteni,
MTAZAMO.
Hata mie nilikuwa naona hivyo mwanzoni lakini sasa inaanza kuona hali inabadIlika kwa kasi, nahisi kuna ujasiri wa kuzungumza umeongezeka kidogo maana wengi wamemgeukia lissu na kuahidi kumpa kuraMtu ukiwa umemiss kupata likes hapa JF wewe andika tu lolote kuhusu Chadema na mgombea wake hakika utapata likes za kutosha ila in reality they mean nothing.
Ukija huku mtaani hali ni tofauti kabisa, hakuna likes bali unakutana na uhalisia wa namna Rais Magufuli alivyojijengea heshima katika jamii yetu.
Uchaguzi wa kistaarabu kivipi na haujafanyika? Ndiyo kampeni sasa hivi na CCM na Magufuli wamepigwa na upepo wa kisulisuli na hawakutegemea kuwa Magufuli anachukiwa kiasi hiki mpaka kanda ya Ziwa ambayo ndiyo ilimwokoa uchaguzi uliopita?
Huu uchaguzi unaweza kuwa ndiyo wenye vurugu kuliko nyingine zote kwa sababu Magufuli anajua kabisa yuko kwenye hali mbaya na hawezi kushinda kwa kura huku wananchi wakiwa wameamua kuwa liwalo na liwe lakini kipindi hiki CCM ifikie mwisho.
Vyombo vya dola sasa rasmi vimepewa commitment ya Raisi Mtarajiwa wa Tanzania 2020- 2025 kuwa hawatapoteza kazi zao wala vyeo vyao
Kwa hili namshauri ndugu Magufuli apaki tu vitu vyake kujiandaa kurudi chato baada ya Uchaguzi
Lissu is another level[emoji119]
ThubutuLissu hana mpinzani 2020.
# NI YEYE.
hiyo # 7 sijakupatapata ndugu.Wakuu,
Kampeni za uchaguzi zinaendelea na kwasababu ya mabadiliko makubwa ya kiushawishi ya Tundu Lissu yanayomfanya ajipatie mashabiki kwa kasi ambayo wengi (ikiwemo mimi) hatukutegemea, nimeona niandike machache kwanini anafanikiwa;
1) Lissu alianza vibaya kampeni kwa hotuba zake kujaa hoja za kiharakati ambazo haziongezi kura. Mashambulizi binafsi kwa mgombea wa CCM yalijaa jeuri isiyojenga wala kuongeza kura hivyo kuonekana na umma kama mwanaharakati zaidi ya amri jeshi mkuu mtarajiwa.
2) Hoja namba moja ndio kiini cha Lissu kujirekebisha na kubadili upepo wa kampeni. Lissu akaanza kuacha kumzungumzia sana mgombea wa CCM na kujikita kwenye shida za watu.
3) Chadema wametafiti na kutambua maeneo ambayo hayajafanyiwa kazi na kujikita huko kuliko kuponda tu miradi ambayo hoja yao imekuwa haieleweki na wananchi wengi. Sasa Lissu anazungumza habari za bei ya Cement, kupandisha mishahara, Fao la kujitoa n.k
4) Lissu ameanza kuheshimu vyombo vya dola na hata leo amewasifia. Hii ni mbinu ya kuwachota kisaikolojia askari na watumishi wengine ili wapate ushirikiano wao kikamilifu. Nafikiri hii itazidi kumuongezea wafuasi maana anajipambanua kama Amri Jeshi mkuu mtarajiwa.
5) Pamoja na ukubwa wa CCM lakini uchaguzi huu wana tatizo kubwa kupangua hoja kwenye maeneo ambayo hawakufanya vizuri. Kwanza wanaonesha hawajui vision ya mgombea wao toka alipoingia madarakani. JPM amefanya kazi nzuri sana lakini kuna maeneo hakufanya vizuri na lazima wajipange kutoa majibu ya wazi maana Chadema wamejikita huko.
6) Kwa ujumla tulitegemea kampeni zitazotawaliwa na CCM kutokana na upinzani kuwa nusu kaputi kwa muda mrefu lakini Lissu amebadili upepo na kufanya tushuhudie moja ya uchaguzi ambao hoja ndio zitazotawala na kutoa fursa kwa wananchi kuamua yupi atawafaa.
7) Pia mnyonge mnyongeni haki yake apewe. JPM anakwenda kuandika historia ya kuendesha uchaguzi kistaarabu bila vurugu tulizoshuhudia chaguzi zilizopita. Kwasababu wengi tunasahau lakini chaguzi zilizopita ziligubikwa na mengi. Pamoja na mapungufu machache lakini kampeni zinakwenda vyema na tuendelee kuomba hali ibaki hivi hadi mwisho.
Hakika Tundu A. Lissu amebadili upepo na kuleta ladha halisi ya kampeni za ushindani kihoja.
Asanteni,
MTAZAMO.
Umemueleza ukweli mchungu. Akiri tu kuwa Magu na CCM yake wana hali mbaya kutokana na matendo ya Magufuli na serikali yake ya kutojali utu na maisha ya watu plus hali ngumu ya maisha waliyoisababisha .Huna lolote mtoa mada. Kwa hiyo wewe ulitaka aongee kila kitu siku moja? Au siku ya kwanza?
Mambo ya kuongelea Ni mengi Sana asingeweza kuyaeleza yote. Mambo yanaenda kwa mpango, nabado ataongea mambo mazuri na makubwa huko mbele.
Sema naona unajiandaa kisaikolojia tu. Baada ya kuona mtu wako anawekwa uchi,na Nini kitamfika.