Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na mwamko mpya kiushawishi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na mwamko mpya kiushawishi

Wakuu,

Kampeni za uchaguzi zinaendelea na kwasababu ya mabadiliko makubwa ya kiushawishi ya Tundu Lissu yanayomfanya ajipatie mashabiki kwa kasi ambayo wengi (ikiwemo mimi) hatukutegemea, nimeona niandike machache kwanini anafanikiwa;

1) Lissu alianza vibaya kampeni kwa hotuba zake kujaa hoja za kiharakati ambazo haziongezi kura. Mashambulizi binafsi kwa mgombea wa CCM yalijaa jeuri isiyojenga wala kuongeza kura hivyo kuonekana na umma kama mwanaharakati zaidi ya amri jeshi mkuu mtarajiwa.

2) Hoja namba moja ndio kiini cha Lissu kujirekebisha na kubadili upepo wa kampeni. Lissu akaanza kuacha kumzungumzia sana mgombea wa CCM na kujikita kwenye shida za watu.

3) Chadema wametafiti na kutambua maeneo ambayo hayajafanyiwa kazi na kujikita huko kuliko kuponda tu miradi ambayo hoja yao imekuwa haieleweki na wananchi wengi. Sasa Lissu anazungumza habari za bei ya Cement, kupandisha mishahara, Fao la kujitoa n.k

4) Lissu ameanza kuheshimu vyombo vya dola na hata leo amewasifia. Hii ni mbinu ya kuwachota kisaikolojia askari na watumishi wengine ili wapate ushirikiano wao kikamilifu. Nafikiri hii itazidi kumuongezea wafuasi maana anajipambanua kama Amri Jeshi mkuu mtarajiwa.

5) Pamoja na ukubwa wa CCM lakini uchaguzi huu wana tatizo kubwa kupangua hoja kwenye maeneo ambayo hawakufanya vizuri. Kwanza wanaonesha hawajui vision ya mgombea wao toka alipoingia madarakani. JPM amefanya kazi nzuri sana lakini kuna maeneo hakufanya vizuri na lazima wajipange kutoa majibu ya wazi maana Chadema wamejikita huko.

6) Kwa ujumla tulitegemea kampeni zitazotawaliwa na CCM kutokana na upinzani kuwa nusu kaputi kwa muda mrefu lakini Lissu amebadili upepo na kufanya tushuhudie moja ya uchaguzi ambao hoja ndio zitazotawala na kutoa fursa kwa wananchi kuamua yupi atawafaa.

7) Pia mnyonge mnyongeni haki yake apewe. JPM anakwenda kuandika historia ya kuendesha uchaguzi kistaarabu bila vurugu tulizoshuhudia chaguzi zilizopita. Kwasababu wengi tunasahau lakini chaguzi zilizopita ziligubikwa na mengi. Pamoja na mapungufu machache lakini kampeni zinakwenda vyema na tuendelee kuomba hali ibaki hivi hadi mwisho.

Hakika Tundu A. Lissu amebadili upepo na kuleta ladha halisi ya kampeni za ushindani kihoja.

Asanteni,
MTAZAMO.
You are the man, you nailed it Mtazamo, one of the best members of jf
 
Uchaguzi huu ni point kubwa sana kwa serikali kwa jamii ya kimataifa, Inaweza ikawa kweli or siyo kweli ila kuna uwezekano mkubwa sana Tundu ni mtu wa system, give them what they want/democracy. Mwisho wa siku lets fight kwa ajili ya Tz, our beautiful country.
 
Wakuu,

Kampeni za uchaguzi zinaendelea na kwasababu ya mabadiliko makubwa ya kiushawishi ya Tundu Lissu yanayomfanya ajipatie mashabiki kwa kasi ambayo wengi (ikiwemo mimi) hatukutegemea, nimeona niandike machache kwanini anafanikiwa;

1) Lissu alianza vibaya kampeni kwa hotuba zake kujaa hoja za kiharakati ambazo haziongezi kura. Mashambulizi binafsi kwa mgombea wa CCM yalijaa jeuri isiyojenga wala kuongeza kura hivyo kuonekana na umma kama mwanaharakati zaidi ya amri jeshi mkuu mtarajiwa.

2) Hoja namba moja ndio kiini cha Lissu kujirekebisha na kubadili upepo wa kampeni. Lissu akaanza kuacha kumzungumzia sana mgombea wa CCM na kujikita kwenye shida za watu.

3) Chadema wametafiti na kutambua maeneo ambayo hayajafanyiwa kazi na kujikita huko kuliko kuponda tu miradi ambayo hoja yao imekuwa haieleweki na wananchi wengi. Sasa Lissu anazungumza habari za bei ya Cement, kupandisha mishahara, Fao la kujitoa n.k

4) Lissu ameanza kuheshimu vyombo vya dola na hata leo amewasifia. Hii ni mbinu ya kuwachota kisaikolojia askari na watumishi wengine ili wapate ushirikiano wao kikamilifu. Nafikiri hii itazidi kumuongezea wafuasi maana anajipambanua kama Amri Jeshi mkuu mtarajiwa.

5) Pamoja na ukubwa wa CCM lakini uchaguzi huu wana tatizo kubwa kupangua hoja kwenye maeneo ambayo hawakufanya vizuri. Kwanza wanaonesha hawajui vision ya mgombea wao toka alipoingia madarakani. JPM amefanya kazi nzuri sana lakini kuna maeneo hakufanya vizuri na lazima wajipange kutoa majibu ya wazi maana Chadema wamejikita huko.

6) Kwa ujumla tulitegemea kampeni zitazotawaliwa na CCM kutokana na upinzani kuwa nusu kaputi kwa muda mrefu lakini Lissu amebadili upepo na kufanya tushuhudie moja ya uchaguzi ambao hoja ndio zitazotawala na kutoa fursa kwa wananchi kuamua yupi atawafaa.

7) Pia mnyonge mnyongeni haki yake apewe. JPM anakwenda kuandika historia ya kuendesha uchaguzi kistaarabu bila vurugu tulizoshuhudia chaguzi zilizopita. Kwasababu wengi tunasahau lakini chaguzi zilizopita ziligubikwa na mengi. Pamoja na mapungufu machache lakini kampeni zinakwenda vyema na tuendelee kuomba hali ibaki hivi hadi mwisho.

Hakika Tundu A. Lissu amebadili upepo na kuleta ladha halisi ya kampeni za ushindani kihoja.

Asanteni,
MTAZAMO.
Naona umeanza kuelewa sasa!! karibu kundini!!
 
Endelea kujiaminisha ujinga.
Kitu kimoja anachosahau MTAZAMO ni kwamba bila Mh. Tundu Antiphas Lissu kumshusha Magufuli kutoka umungu hadi ubinadamu, anayeweza kupingwa na kukosolewa kama binadamu wengine hali haingekuwa hivi.

Ni sasa wananchi wengi wamezinduka na kumuona kama binadamu mwenzao na kama Lissu hakuwatoa watu uwoga tangu mapema kampeni hii haingefikia ilipofikia na watu hawangejitokeza kwa wingi kwenye mikutano yake.

Mwanzoni wananchi waliogopa hata kujihusisha na Lissu wakiogopa kushukiwa na vyombo vilivyopaswa kuwalinda lakini vikajisahau na kufikiri ni walinzi wa serikali na si wananchi na hata Bunge ni mfano mojawapo katika vyombo hivyo.

Lugha sahihi ya kinachoitwa busara ya Magufuli ni ujasiri wa Mh. Tundu Antiphas Lissu by grabbing the bull by its horns. Tanzania ni nchi iliyojaa wanafiki na waoga ambao hawako tayari kudai haki zao zinapoporwa na utawala wa kibabe.
 
Mtu ukiwa umemiss kupata likes hapa JF wewe andika tu lolote kuhusu Chadema na mgombea wake hakika utapata likes za kutosha ila in reality they mean nothing.

Ukija huku mtaani hali ni tofauti kabisa, hakuna likes bali unakutana na uhalisia wa namna Rais Magufuli alivyojijengea heshima katika jamii yetu.
Hivi wewe hio mitaa unaishi peke yako?? sisi hatuko mitaani eee??
 
Kitu kimoja anachosahau MTAZAMO ni kwamba bila Mh. Tundu Antiphas Lissu kumshusha Magufuli kutoka umungu hadi ubinadamu, anayeweza kupingwa na kukosolewa kama binadamu wengine hali haingekuwa hivi.

Ni sasa wananchi wengi wamezinduka na kumuona kama binadamu mwenzao na kama Lissu hakuwatoa watu uwoga tangu mapema kampeni hii haingefikia ilipofikia na watu hawangejitokeza kwa wingi kwenye mikutano yake.

Mwanzoni wananchi waliogopa hata kujihusisha na Lissu wakiogopa kushukiwa na vyombo vilivyopaswa kuwalinda lakini vikajisahau na kufikiri ni walinzi wa serikali na si wananchi na hata Bunge ni mfano mojawapo katika vyombo hivyo.

Lugha sahihi ya kinachoitwa busara ya Magufuli ni ujasiri wa Mh. Tundu Antiphas Lissu by grabbing the bull by its horns. Tanzania ni nchi iliyojaa wanafiki na waoga ambao hawako tayari kudai haki zao zinapoporwa na utawala wa kibabe.
Ahsante Mkuu kwa kuliona hili.. Ila nina wasiwasi na huko tuendako maana matukio ya kuwatia watu hofu kama yale ya Soweto huko Arusha watu wabaya wanaweza kuyatengeneza..
 
Wakuu,

Kampeni za uchaguzi zinaendelea na kwasababu ya mabadiliko makubwa ya kiushawishi ya Tundu Lissu yanayomfanya ajipatie mashabiki kwa kasi ambayo wengi (ikiwemo mimi) hatukutegemea, nimeona niandike machache kwanini anafanikiwa;

1) Lissu alianza vibaya kampeni kwa hotuba zake kujaa hoja za kiharakati ambazo haziongezi kura. Mashambulizi binafsi kwa mgombea wa CCM yalijaa jeuri isiyojenga wala kuongeza kura hivyo kuonekana na umma kama mwanaharakati zaidi ya amri jeshi mkuu mtarajiwa.

2) Hoja namba moja ndio kiini cha Lissu kujirekebisha na kubadili upepo wa kampeni. Lissu akaanza kuacha kumzungumzia sana mgombea wa CCM na kujikita kwenye shida za watu.

3) Chadema wametafiti na kutambua maeneo ambayo hayajafanyiwa kazi na kujikita huko kuliko kuponda tu miradi ambayo hoja yao imekuwa haieleweki na wananchi wengi. Sasa Lissu anazungumza habari za bei ya Cement, kupandisha mishahara, Fao la kujitoa n.k

4) Lissu ameanza kuheshimu vyombo vya dola na hata leo amewasifia. Hii ni mbinu ya kuwachota kisaikolojia askari na watumishi wengine ili wapate ushirikiano wao kikamilifu. Nafikiri hii itazidi kumuongezea wafuasi maana anajipambanua kama Amri Jeshi mkuu mtarajiwa.

5) Pamoja na ukubwa wa CCM lakini uchaguzi huu wana tatizo kubwa kupangua hoja kwenye maeneo ambayo hawakufanya vizuri. Kwanza wanaonesha hawajui vision ya mgombea wao toka alipoingia madarakani. JPM amefanya kazi nzuri sana lakini kuna maeneo hakufanya vizuri na lazima wajipange kutoa majibu ya wazi maana Chadema wamejikita huko.

6) Kwa ujumla tulitegemea kampeni zitazotawaliwa na CCM kutokana na upinzani kuwa nusu kaputi kwa muda mrefu lakini Lissu amebadili upepo na kufanya tushuhudie moja ya uchaguzi ambao hoja ndio zitazotawala na kutoa fursa kwa wananchi kuamua yupi atawafaa.

7) Pia mnyonge mnyongeni haki yake apewe. JPM anakwenda kuandika historia ya kuendesha uchaguzi kistaarabu bila vurugu tulizoshuhudia chaguzi zilizopita. Kwasababu wengi tunasahau lakini chaguzi zilizopita ziligubikwa na mengi. Pamoja na mapungufu machache lakini kampeni zinakwenda vyema na tuendelee kuomba hali ibaki hivi hadi mwisho.

Hakika Tundu A. Lissu amebadili upepo na kuleta ladha halisi ya kampeni za ushindani kihoja.

Asanteni,
MTAZAMO.
Hakika nimeshuhudia fikra yakinifu kutoka kwa mtu makini mwenye hakika ya anachokiandika, Ingekuwa vizuri Kama ungekuwa Fanani wa hadhira chache isiyokuwa na uhakika katika mtazamo.
 
Siyo rahisi kama unavyodhani. Wapiga kura wengi huwa hawaendi mikutanoni. Subiri matokeo tarehe 30/10/2020 uone.
Endeleeni kuishi na akili za mwaka 47. Vijijini huko hawataki kabisa kumsikia magufuli. Ameharibu kupindukia biashara za mazao za wakulima na sasa wanasumbuliwa na umaskini uliopindukia. Si tumbaku, si kahawa, si chai, si korosho, si pamba si mbaazi wala si mahindi
 
Umemueleza ukweli mchungu. Akiri tu kuwa Magu na CCM yake wana hali mbaya kutokana na matendo ya Magufuli na serikali yake ya kutojali utu na maisha ya watu plus hali ngumu ya maisha waliyoisababisha .

Hoja kwamba Lissu mwanzoni alikuwa hana sera zaidi ya kumshambulia Magu, si ya kweli, bali anatafuta sababu tu ya kuwafanya watu waamini kuwa hakuumuunga mkono kwasababu hiyo na sasa Lissu kabadilika kumbe amegundua Lissu hakamatiki au kuna mambo alikuwa hawajui sasa Lissu kamfunulia mfano la kikokotoo baada ya 2020 kitavyokuwa.
Mtazamo Ana chuki na CDM,
Lissu mwenyewe alituahidi kuwa "mwaka huu ni mwaka wa kusema na atasema mengi,anayo mengi sana ya kusema"
Kwa hiyo asingeweza kuongea mambo yote siku ya kwanza.
Sasa ameanza kuongea,na bado Ana mengi ya kuongea.
Huyu jamaa kaona Moto wa Lissu unakole kila siku,na atashinda Sasa jamaa analisubiri Basi la Mageuzi kwenye kituo Cha mbele Sana,anaona aibu kipandia hapo alipo.
 
Mkuu
Hivi mbona sijasikia hoja ya viwanda kutoka kwa ccm. Viwanda vyoooote walivyovijenga kwa miaka 5 hawataki hata kuvisemea kuwa wataviboresha? Siyo haki kabisa.
[/QUOTE Mkuu viwanda vipi hivyo watakavyovisemea kwa wananchi? Walikuwa wakifanya maigizo na leo hii wameumbuka na hawana hata mfano wa kiwanda active kilichoanzishwa ndani ya miaka 5 hii hivyo wawe wapole hukumu ya 28 oct kama watasalimika.
 
Uchaguzi wa kistaarabu sababu keshabanwa na wakuu wa dunia kwamba chumba chake kinasafishwa the Hague achague moja the Hague au Chato, maana wamechoka kuhudumia wakimbizi sababu ya watawala waliokosa malezi Bora utotoni.
 
7) Pia mnyonge mnyongeni haki yake apewe. JPM anakwenda kuandika historia ya kuendesha uchaguzi kistaarabu bila vurugu tulizoshuhudia chaguzi zilizopita. Kwasababu wengi tunasahau lakini chaguzi zilizopita ziligubikwa na mengi. Pamoja na mapungufu machache lakini kampeni zinakwenda vyema na tuendelee kuomba hali ibaki hivi hadi mwisho.
Acha utani wewe... yaani kwako unaona JPM kwa hili anastahili kupongezwa?!

Yaani unampongeza mzazi kumwandikisha mtoto shule wakati ni WAJIBU wake kufanya hivyo?!

Yaani "mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni" kwa mwalimu kuingia darasani kufundisha au daktari kumtibu mgonjwa wakati ni WAJIBU wao?!

Yaani "mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni" kwa serikali kulipa mishahara ya watumishi wa umma wakati ni WAJIBU wake kufanya hivyo?

Yaani JPM apongozwe kuendesha uchaguzi eti "Kistaarabu" wakati ni WAJIBU wa serikali kuhakikisha HAWATUMII vyombo vya dola kufanya uhuni?

Yaani "Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni" kisa tu Mshindani yule yule Mhuni ambae pia ndie mwenye nguvu ya dola na kufanya uhuni for almost 5 years in a row ili kuwavunja nguvu washindani wake lakini siku ya kupanda uliongoni "anajifanya muungwana" ndo ndo unataka apongezwe kwa "uungwana fake" aliofanya dakika za mwisho wakati ameshafanya uhuni wa kutisha dhidi ya mahasimu wenzake kabla ya kupanda ulingoni?

Uchaguzi ni MCHAKATO, na mchakato huu hauanzi na kuishia kwenye kipindi cha kampeni!!

Pamoja na uhuni mwingine, pia amefanya UHUNI Tanzania mzima kupitia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili kuhakikisha Upinzani hawana uongozi ngazi za chini halafu bila aibu unasema eti JPM apongezwe?! Kwa lipi?!

Yaani kwa akili yako kuwepo kwa hicho unachoita uchaguzi wa "kistaarabu" unaona ni favor kwa upinzani kutoka kwa JPM, au?!
 
Ccm awakujipanga kwa hoja sababu wakizuiwa wapinzani wasiongee 5 yrs wangewaacha waongee wangejua jinsi ya kupangua hoja.
Ccm walijipanga na flyover, sgr, bwawa, mabeberu, corona, ndege hizi hoja haziuziki vijijini kumwambia mtu wa kijijini aelewe flyover, sgr, ndege Ni lzm uwe na projecta plus dictionary ili wakuelewe, thus tumeona Hadi vijijini eti wanawahidi ndege, sgr. Awajui kipi waongee kulingana na mahitaji ya eneo husika.
Cdm kampeni meneja wao wako vizuri Sana this time wanagusa hoja za wananchi husika, plus njaa na mateso ya miaka hii 5 ccm imesaidia Sana kuwapigia kampeni upinzani. Hata waunga juhudi waliingizwa kingi na jiwe kwamba atawarudisha bungeni wanajutia maamuzi yao.
Kama tu Kanda ya ziwa ngome yao ccm umepelekewa Moto hatari wa gesi vipi Kanda walizozibagua au walizozulumu mazao yao. Mwaka huu ccm itashinda dodoma na tabora pekee, mikoa yote inayopakana na nchi jirani ccm haiuziki
 
Ccm awakujipanga kwa hoja sababu wakizuiwa wapinzani wasiongee 5 yrs wangewaacha waongee wangejua jinsi ya kupangua hoja.
Ccm walijipanga na flyover, sgr, bwawa, mabeberu, corona, ndege hizi hoja haziuziki vijijini kumwambia mtu wa kijijini aelewe flyover, sgr, ndege Ni lzm uwe na projecta plus dictionary ili wakuelewe, thus tumeona Hadi vijijini eti wanawahidi ndege, sgr. Awajui kipi waongee kulingana na mahitaji ya eneo husika.
Cdm kampeni meneja wao wako vizuri Sana this time wanagusa hoja za wananchi husika, plus njaa na mateso ya miaka hii 5 ccm imesaidia Sana kuwapigia kampeni upinzani. Hata waunga juhudi waliingizwa kingi na jiwe kwamba atawarudisha bungeni wanajutia maamuzi yao.
Kama tu Kanda ya ziwa ngome yao ccm umepelekewa Moto hatari wa gesi vipi Kanda walizozibagua au walizozulumu mazao yao. Mwaka huu ccm itashinda dodoma na tabora pekee, mikoa yote inayopakana na nchi jirani ccm haiuziki
Mpaka sasa ni kama hawakuandaa majibu ya mapungufu yao. Ni vyema PhDs za akina Dr Bashiru zifanye kazi sasa maana Chadema wamepata hoja za kujidai na ambazo zinagusa wananchi moja kwa moja.
 
Hivi mbona sijasikia hoja ya viwanda kutoka kwa ccm. Viwanda vyoooote walivyovijenga kwa miaka 5 hawataki hata kuvisemea kuwa wataviboresha? Siyo haki kabisa.
Mkuu acha kuboresha tu... Huwezi kuongelea kitu ambacho hakipo.

Hii nchi miradi ya kwenye maandishi ni mingi kuliko uhalisia wake.
 
Uchaguzi upi wa kistaharabu wakati mmewaengua wagombea?
 
Back
Top Bottom