Yanaitawala Tanganyika na Zanzibar ki mabavu.Maccm majizi
Machadema nayo hayajitambui..ni ma-vibarakaMaccm majizi
Kamanda ifike mahali uwachane na hii mambo.Sasa ni dhahiri Tundu Lissu ni Mcha Mungu.
==========
TUNDU LISSU: Ndugu wananchi wa Tanzania, tumsifu Yesu Kristo, Bwana asifiwe, mwanakondoo ameshinda, Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh. Kesho ni sikukuu ya Noeli kwa wale wote wanaoamini katika dini ya Ukristo.
Kwa wakristo wote, Noeli ni sikukuu ya kuzaliwa kwa mwokozi wetu yesu Kristo aliyetolewa na Mungu kama yanavyosema maneno ya kitabu cha Yohana aya ya tatu mstari wa 16 'Ili kila mtu amuaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele'.
Sikukuu hii inatukumbusha kuhusu moyo wa kutoa na moyo wa kusamehe kwa sababu kama yanavyosema maandiko matakatifu, Yesu Kristo alizaliwa ili wote wanaomuamini wasemehewe. Katika kalenda ya Kikristo hii ndio siku ya furaha na sherehe kuliko nyingine zote lakini Krismas ni zaidi ya siku ya furaha na sherehe.
Ni siku pia ya kuwakumbuka na kuwasaidia wale wote walio na shida na matatizo mbalimbali, Mwinjilisti Ruth aliwahi kusema "Krismas ni krismas kweli tunaposheherekea kwa kuwapa mwanga wa upendo wale wanaouhitaji zaidi" Wapo wengi wanaohitaji mwanga huu wa upendo katika nchi yetu ya Tanzania katika kipindi hiki cha Noeli.
Mwaka 2020 ulikuwa mwaka mgumu na wenye machungu mengi kwa nchi yetu na kwa wananchi wetu, wote tulishuhudia haki yetu ya kuchagua viongozi tunaowataka ikipokwa kwa mtutu wa bunduki na kwa kutumia vyombo vya usimamizi wa uchaguzi na vya serikali visivotenda haki sawasawa, wapo ambao ndugu zao waliuawa au waliojeruhiwa na kulemazwa wakati wa uchaguzi mkuu na hata kabla ya hapo.
Wapo waliokamatwa na kustakiwa au wanaoendelea kushkiliwa magerezani au kwenye vituo vya polisi kwa tuhuma za uongo, uonevu na kwa sababu za kisisasa.
Wapo pia ambao wamefukuzwa kazi, wamebomolewa nyumba au kuharibiwa biashara zao au kunyang'anywa pesa na mali zao kwa madai ya uongo ya ukwepaji kodi au kwa tuhuma zisizo za kweli za uhujumu uchumi au utakatishaji fedha.
Wengine kama mimi mwenyewe wamelazimika kuikimbia nchi yetu kwa sababu ya njama na vitisho vya mauaji dhidi yao. Aidha, wapo kwa mamilioni mengi wanaosononeka kimya kimya kwasababu ya kutokupatiwa ajira au kkwa kutolipwa mishahara au pensheni zao halali au kwa kutotendewa haki zao nyingine mbalimbali.
Kwa wote hawa wenye njaa na kiu ya haki, ujumbe wangu wa Krismas ni uleule alioueleza mwandishi wa riwaya wa kimarekani, Taylor Caldwell, "Hatuko peke yetu, hata usiku unapokuwa wa giza zaidi au upepo wa baridi kali au ulimwengu unapoonekana kutokujali kabisa" Hatuko peke yetu, kwahiyo tusivunjike moyo au kukata tamaa, wiki ijayo katika salamu zangu za mwaka mpya nitawazungumza kwa kirefu kidogo juu ya maswala haya na mengine mengi na juu ya majukumu yetu kwa mwaka ujao kuhusu nchi yetu.
Nawatakieni sikukuu ya Noeli yenye furaha
View attachment 1658577
nani atawasilisha hayo malalamiko yako, Jiwe?!Tutawasaliana na serikali ya ubelgiji. Ujerumani Canada uingereza na Marekani anakohaha kutafuta hadhi ya ukimbizi wasimpe kwa anajishughulisha na siasa za Tanzania wakati anaomba ukimbizi nchi zao
Subiri arudi 2025 ndiyo itakuwa kama amechuja au la?Ashachuja huyu, atulie na bwana wake Amsterdam, zile ongea zake za kejeli na dharua zimekufa kifo cha asili pia.
Tumeshindwa kumchangie tuloye naye hapa hapa ili aimudu lugha yetu ya kwanza rasmi, kabla ya Kiswahili, ndiyo tutaweza kumchangia Lisu?sawa.. mwambie tumepokea salamu.. ila atusalimie kwa French siku ingine.. hajajifunza ya nchi yake mupya? au tutachangishana ajifunze.. 😀
Wenye akili wanachangia hoja, halafu wewe unaleta vibwagizo.Nyie makamanda uchwara na huyo mbelgiji wenu wote kwisha habari yenu.
Mdomo wake umejaa matusi, hana maadali ya kikristo huyo labda kama ametubu. Amemdhalilisha sana Rais wetu, hana tofauti na Lucifer aliyewaaminisha malaika kuwa angepindua utawala wa Mungu.
Mwenye akili hawezi kuwa relevant kwa mwendawazimu.Lissu alikosea sana kudhani kuwa uanaharaki ndiyo uongozi wa kisiasa. Uanaharakati una nafasi yake na uongozi wa kisiasa pia una nafasi yake. Nadhani kosa kubwa ni kwa wale waliomshambulia kwa vile walisababaisha aendelee kuwa relevant wakati tayari alikuwa ana fade out.
Hayo maneno kawaambir wajinga wenzio (CCM inapendwa na watu wajinga - TWAWEZA).Lissu mnafiki sana, jamani huyu si ndio anayetaka tunyimwe hata msaada wa dawa za ukimwi eti kisa kukosa urais!! Ama kweli shetani akizeeka hujifanya malaika!
Wakalimani tunao kibao kwani lisu kingereza alikijulia wapi si Iliboru high school alikosomea HGL? Walimu wa HGL bado wapo hawajafanani atawasilisha hayo malalamiko yako, Jiwe?!
kwa kingreza kipi hicho...kile cha kurudia rudia neno suppose kila sentensi?!?!
Tueleze pia kama 'udikteta' nao ni "uongozi wa kisiasa."Lissu alikosea sana kudhani kuwa uanaharaki ndiyo uongozi wa kisiasa. Uanaharakati una nafasi yake na uongozi wa kisiasa pia una nafasi yake. Nadhani kosa kubwa ni kwa wale waliomshambulia kwa vile walisababaisha aendelee kuwa relevant wakati tayari alikuwa ana fade out.
Mkuu mnataka kuniteka kwa taarifa hii tu jamani ?Kamanda ifike mahali uwachane na hii mambo.
Too late .Wakalimani tunao kibao kwani lisu kingereza alikijulia wapi si Iliboru high school alikosomea HGL? Walimu wa HGL bado wapo hawajafa
We si kuku mdangaji tu, kafie ufipa kwa wenzako huko.Kama huna hoja jilie tu hilo pilau la bure kwa shemeji yako .
Usihukumu usije ukahukumiwaMdomo wake umejaa matusi, hana maadali ya kikristo huyo labda kama ametubu. Amemdhalilisha sana Rais wetu, hana tofauti na Lucifer aliyewaaminisha malaika kuwa angepindua utawala wa Mungu.