Tundu Lissu nakushauri kuwa makini na genge la Mbowe, unapinga wazi maridhiano uchwara wanaweza kukufanyia figisu

Tundu Lissu nakushauri kuwa makini na genge la Mbowe, unapinga wazi maridhiano uchwara wanaweza kukufanyia figisu

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mbowe na wenzake wote wanaolamba asali wanazunguka Tanzania nzima kuandaa mazingira ya kurudi bungeni. Lakini hii wewe umeishutukia maana 2025 chochote kinaweza kutokea. Wananchi ndio tutaamua. Hata huyo aliyewadanganya kuwapa ubunge anajua vizuri kuwa wananchi tukiamua hawapati alichowaahidi.

Lissu haujapona vizuri angalia usihujumiwe ukapata madhara. Hii ni hujuma kubwa.👇

20230522_050605.jpg
 
Lakini hii wewe umeishutukia maana 2025 chochote kinaweza kutokea.
Mkuu Idugunde , Tanzania tunafuata kanuni za African democracy, mgombea wa CCM ndiye mshindii!, hakuna chochote kingine kinaweza kutokea!,
Wananchi ndio tutaamua . Hata huyo aliyewadanganya kuwapa ubunge anajua vizuri kuwa wananchi tukiamua hawapati alichowaahidi.
Kwenye African democracy, anayeamua sio. mpiga kura, bali muhhesabu kura!
Hili Chadema nimeisha washauri Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!
P
 
Mkuu Idugunde , Tanzania tunafuata kanuni za African democracy, mgombea wa CCM ndiye mshindii!, hakuna chochote kingine kinaweza kutokea!,

Kwenye African democracy, anayeamua sio. mpiga kura, bali muhhesabu kura!
Hili Chadema nimeisha washauri Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!
P
Ok, leo ndio nimekuelewa na hii dhana yako, kumbe unaamini 2025 atakayeshinda atakuwa mgombea mwanamke kwasababu Afrika tunafuata demokrasia yetu, ile ya anayeamua mshindi sio mpiga kura, bali ni muhesabu kura!.

Sijui kwanini huwa tunaenda vituoni kufanya maigizo, wametugeuza makatuni wao!.
 
Ok,leo ndio nimekuelewa na hii dhana yako, kumbe unaamini 2025 atakayeshinda atakuwa mgombea mwanamke kwasababu Afrika tunafuata demokrasia yetu, ile ya anayeamua mshindi sio mpiga kura, bali ni muhesabu kura!.

Sijui kwanini huwa tunaenda vituoni kufanya maigizo, wametugeuza makatuni wao!.
Kiukweli Mkuu denooJ , kiukweli mimi najihesabu ni mmoja wa wana jf wakweli mwenye kutanguliza mbele maslahi ya taifa. Hapa angalia nilishauri nini na lini? Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? kwa kuwasaidia wavivu wa kufollow links, ushauri huu niliutoa November 2015 na nilisema
Wanabodi.

Kwa maoni yangu, uchaguzi wa 2020, utakuwa sio uchaguzi bali utakuwa ni igizo tuu la uchaguzi, sasa badala ya kufanya igizo la uchaguzi , si ni bora tumwache tu Magufuli aendelee mpaka pale tutakaapoona tumetosheka?, na badala yake hizo fedha za uchaguzi zikaelekezwa kwenye maendeleo ?

11. Na kufuatia somo la demokrasia ya Kiafrika, na mfano hai wa matokeo ya urais wa Zanzibar, na kilichofanyika kwenye urais wa JMT, kweli wapinzani makini bado kweli watahitaji kusimamisha mgombea urais wa kushindana na mgombea wa chama dola, CCM, kwa Tume hii hii, na mazingira haya haya ukategemea kuna ushindani?, yaani by now tumeishajua mgombea wa CCM kwa 2020 ni Magufuli, bado kuna chama kiko tayari kumteua mgombea wake kushindana na Magufuli ambaye ni a sitting president, huku kutakuwa ni kugombea urais au kugombea ili kujifurahisha tuu?, ni kama kugombea kisu cha makali kuwili huku mmoja ameshika mpini, wengine kwenye makali kuwili, unategemea nini?, au hata ikitokea Mungu akafanya muujiza, huyo mgombea wa upinzani akashinda kwa muujiza wa Mungu, jee atatangazwa?.

Kwa maoni yangu, 2020 hakutakuwa na uchaguzi wa rais 2020, kutakuwa tuu na igizo tuu la uchaguzi, na kwenye ubunge na udiwani , kwa udikiteta huu, sijui kama kuna mpinzani atatoboa!, uchaguzi wa 2020 itakuwa ni uchaguzi wa CCM only and only CCM!. Uchaguzi mwingine wa rais na uchaguzi wa vyama vingi ni uchaguzi wa 2025 only if ...(Mungu hatafanya yake hapa katikati)

Hayo ni maswali tu nimeanza kujiuliza aloud.

Je, wewe una maoni gani kuhusu hoja zangu hizi?

Paskali
P
 
Mboww na wenzake wote wanaolamba asali wanazunguka Tanzania nzima kuandaa mazingira ya kurudi bungeni. Lakini hii wewe umeishutukia maana 2025 chochote kinaweza kutokea. Wananchi ndio tutaamua . Hata huyo aliyewadanganya kuwapa ubunge anajua vizuri kuwa wananchi tukiamua hawapati alichowaahidi.

Lissu haujapona vizuri angalia usihujumiwe ukapata madhara. Hii ni hujuma kubwa.[emoji116]
View attachment 2630790
Kwani wakati mnapiga risasi Tundu Lissu ili mumuue mliwaza kwamba awe mbunge mwaka 2025? Masaburi alisema kuna wana ccm wanafikir kwa kutumia makalio naanza kumuamini.

Mnafikiri Watanzania wote ni wajinga kama mazuzu mliko huko ccm mnawaza kutawala na kuiba tuu majizi makubwa ninyi.

Kwa taarifa yako Tundu Lissu ana kazi zake za kufanya kabla hajawa mbunge alikuwa anaishi vzuri tuu na afya njema na tupo Watanzania wengi mno tunaishi vizuri sana hatuna haja ya uongozi wowote ila tunahitaji Demokrasia Uhuru na maendeleo ya watu.
 
Kiukweli Mkuu denooJ , kiukweli mimi najihesabu ni mmoja wa wana jf wakweli mwenye kutanguliza mbele maslahi ya taifa. Hapa angalia nilishauri nini na lini? Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? kwa kuwasaidia wavivu wa kufollow links, ushauri huu niliutoa November 2015 na nilisema

P
Inawezekana jamaa zangu watakuwa wameshalielewa hili somo ndio maana siku hizi macho yao yako kwenye ubunge tu, kule kwenye Urais ni kama nao wameshajua kinachofanyika huwa ni maigizo tu.

Kwa hali hii kujitokeza kupiga kura kwenye zile foleni ni sawa na kujidhalilisha tu, hakuna maana kabisa, labda wakachaguliwe hao wanaoutaka ubunge.
 
Mkuu Idugunde , Tanzania tunafuata kanuni za African democracy, mgombea wa CCM ndiye mshindii!, hakuna chochote kingine kinaweza kutokea!,

Kwenye African democracy, anayeamua sio. mpiga kura, bali muhhesabu kura!
Hili Chadema nimeisha washauri Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!
P

Kwa hiyo Zambia iko ulaya hivyo inafuata European Democracy?
Amka brother, acha kuwafunika CCM blanket maana kumekucha!
 
Kwani wakati mnapiga risasi Tundu Lissu ili mumuue mliwaza kwamba awe mbunge mwaka 2025? Masaburi alisema kuna wana ccm wanafikir kwa kutumia makalio naanza kumuamini.
Mnafikiri Watanzania wote ni wajinga kama mazuzu mliko huko ccm mnawaza kutawala na kuiba tuu majizi makubwa ninyi.
Kwa taarifa yako Tundu Lissu ana kazi zake za kufanya kabla hajawa mbunge alikuwa anaishi vzuri tuu na afya njema na tupo Watanzania wengi mno tunaishi vizuri sana hatuna haja ya uongozi wowote ila tunahitaji Demokrasia Uhuru na maendeleo ya watu.
Mbona upo nje ya mada? Nenda uwatolew povu waliompiga rusasi Lisu. Sio mimi.
 
Mkuu Idugunde , Tanzania tunafuata kanuni za African democracy, mgombea wa CCM ndiye mshindii!, hakuna chochote kingine kinaweza kutokea!,

Kwenye African democracy, anayeamua sio. mpiga kura, bali muhhesabu kura!
Hili Chadema nimeisha washauri Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!
P
Umeshahu 2010 wahesabu kura tuliwalazimisha kutangaza wqbunge tuliowachagua? Au unajitoa fahamu?
 
Picha limefika patamu sana...
Ngoja tuone..
 
Mboww na wenzake wote wanaolamba asali wanazunguka Tanzania nzima kuandaa mazingira ya kurudi bungeni. Lakini hii wewe umeishutukia maana 2025 chochote kinaweza kutokea. Wananchi ndio tutaamua . Hata huyo aliyewadanganya kuwapa ubunge anajua vizuri kuwa wananchi tukiamua hawapati alichowaahidi.

Lissu haujapona vizuri angalia usihujumiwe ukapata madhara. Hii ni hujuma kubwa.👇
View attachment 2630790
Wale wanaelewana vizuri kila ukionacho kiko planned !! Sisi wenye uwezo wa kuona yaliyofichika tumeshaujua mchezo unaochezwa !! Fomesheni inayotumiwa ni wewe Ng’ata mimi ntapuliza !!
 
Mbona upo nje ya mada? Nenda uwatolew povu waliompiga rusasi Lisu. Sio mimi.
Mada gani ya maana ccm mnaweza kuwa nayo zaidi ya kuwaza madaraka na mauaji kwa wapinzani wenu nguruwe weusi ninyi.
 
Taarifa ikufikie kwamba mwaka 2020 kwenye ofisi za ccm pale mkwajuni kura zilipigwa cku mbili kabla. Ushahidi nilishudia na niliongea na madogo walioshiri waliahidiwa 5000 kwq kila mtu na hawajapewa mpaka leo. Zoezi lilifanyika hivyo nchi nzima vituo vilifunguliwa saa 9 usiku n palikuwepo watumishi maalum walioingi na kura. Zilizokwisha pigwa. Ushahidi maafisa wa seriKli toka halmashauri
Endelea kunengua
Mpuuzi wewe
 
Mbowe na wenzake wote wanaolamba asali wanazunguka Tanzania nzima kuandaa mazingira ya kurudi bungeni. Lakini hii wewe umeishutukia maana 2025 chochote kinaweza kutokea. Wananchi ndio tutaamua. Hata huyo aliyewadanganya kuwapa ubunge anajua vizuri kuwa wananchi tukiamua hawapati alichowaahidi.

Lissu haujapona vizuri angalia usihujumiwe ukapata madhara. Hii ni hujuma kubwa.👇

View attachment 2630790
Kwa hiyo hako ka picha ndiyo kamewapa maneno ya kuongea sasa!? Huenda mkazunguka nako hadi 2025 hadi 2030.
Vitu vingine huwa muwe mnatumia akili, hata kama ni Makamu Mwenyekiti taifa, tambua mazingira huwa yanatofautiana.

Kingine hizo ni fani za watu, hivyo hauwezi kuona logic kama haikuhusu.
MImi nikiliangalia hilo jukwaa sioni hatari yoyote ile, pamoja na kuonekana jepesi bado naona viwanga na tahadhari vimezingatiwa. Halina tofauti na k7simama juu ya meza, kama jukwaa lingekua ni hatari unadhani angeshindwa kusimama juu ya gari na kuhutubia?
 
Mbowe na wenzake wote wanaolamba asali wanazunguka Tanzania nzima kuandaa mazingira ya kurudi bungeni. Lakini hii wewe umeishutukia maana 2025 chochote kinaweza kutokea. Wananchi ndio tutaamua. Hata huyo aliyewadanganya kuwapa ubunge anajua vizuri kuwa wananchi tukiamua hawapati alichowaahidi.

Lissu haujapona vizuri angalia usihujumiwe ukapata madhara. Hii ni hujuma kubwa.👇

View attachment 2630790
Watamalizia kazi waliyoanza na 30 maana mbow hashindwi kitu
 
Back
Top Bottom