Tundu Lissu nakushauri kuwa makini na genge la Mbowe, unapinga wazi maridhiano uchwara wanaweza kukufanyia figisu

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mbowe na wenzake wote wanaolamba asali wanazunguka Tanzania nzima kuandaa mazingira ya kurudi bungeni. Lakini hii wewe umeishutukia maana 2025 chochote kinaweza kutokea. Wananchi ndio tutaamua. Hata huyo aliyewadanganya kuwapa ubunge anajua vizuri kuwa wananchi tukiamua hawapati alichowaahidi.

Lissu haujapona vizuri angalia usihujumiwe ukapata madhara. Hii ni hujuma kubwa.๐Ÿ‘‡

 
Lakini hii wewe umeishutukia maana 2025 chochote kinaweza kutokea.
Mkuu Idugunde , Tanzania tunafuata kanuni za African democracy, mgombea wa CCM ndiye mshindii!, hakuna chochote kingine kinaweza kutokea!,
Wananchi ndio tutaamua . Hata huyo aliyewadanganya kuwapa ubunge anajua vizuri kuwa wananchi tukiamua hawapati alichowaahidi.
Kwenye African democracy, anayeamua sio. mpiga kura, bali muhhesabu kura!
Hili Chadema nimeisha washauri Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!
P
 
Ok, leo ndio nimekuelewa na hii dhana yako, kumbe unaamini 2025 atakayeshinda atakuwa mgombea mwanamke kwasababu Afrika tunafuata demokrasia yetu, ile ya anayeamua mshindi sio mpiga kura, bali ni muhesabu kura!.

Sijui kwanini huwa tunaenda vituoni kufanya maigizo, wametugeuza makatuni wao!.
 
Kiukweli Mkuu denooJ , kiukweli mimi najihesabu ni mmoja wa wana jf wakweli mwenye kutanguliza mbele maslahi ya taifa. Hapa angalia nilishauri nini na lini? Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? kwa kuwasaidia wavivu wa kufollow links, ushauri huu niliutoa November 2015 na nilisema
P
 
Kwani wakati mnapiga risasi Tundu Lissu ili mumuue mliwaza kwamba awe mbunge mwaka 2025? Masaburi alisema kuna wana ccm wanafikir kwa kutumia makalio naanza kumuamini.

Mnafikiri Watanzania wote ni wajinga kama mazuzu mliko huko ccm mnawaza kutawala na kuiba tuu majizi makubwa ninyi.

Kwa taarifa yako Tundu Lissu ana kazi zake za kufanya kabla hajawa mbunge alikuwa anaishi vzuri tuu na afya njema na tupo Watanzania wengi mno tunaishi vizuri sana hatuna haja ya uongozi wowote ila tunahitaji Demokrasia Uhuru na maendeleo ya watu.
 
Inawezekana jamaa zangu watakuwa wameshalielewa hili somo ndio maana siku hizi macho yao yako kwenye ubunge tu, kule kwenye Urais ni kama nao wameshajua kinachofanyika huwa ni maigizo tu.

Kwa hali hii kujitokeza kupiga kura kwenye zile foleni ni sawa na kujidhalilisha tu, hakuna maana kabisa, labda wakachaguliwe hao wanaoutaka ubunge.
 

Kwa hiyo Zambia iko ulaya hivyo inafuata European Democracy?
Amka brother, acha kuwafunika CCM blanket maana kumekucha!
 
Mbona upo nje ya mada? Nenda uwatolew povu waliompiga rusasi Lisu. Sio mimi.
 
Umeshahu 2010 wahesabu kura tuliwalazimisha kutangaza wqbunge tuliowachagua? Au unajitoa fahamu?
 
Picha limefika patamu sana...
Ngoja tuone..
 
Wale wanaelewana vizuri kila ukionacho kiko planned !! Sisi wenye uwezo wa kuona yaliyofichika tumeshaujua mchezo unaochezwa !! Fomesheni inayotumiwa ni wewe Ngโ€™ata mimi ntapuliza !!
 
Mbona upo nje ya mada? Nenda uwatolew povu waliompiga rusasi Lisu. Sio mimi.
Mada gani ya maana ccm mnaweza kuwa nayo zaidi ya kuwaza madaraka na mauaji kwa wapinzani wenu nguruwe weusi ninyi.
 
Mpuuzi wewe
 
Kwa hiyo hako ka picha ndiyo kamewapa maneno ya kuongea sasa!? Huenda mkazunguka nako hadi 2025 hadi 2030.
Vitu vingine huwa muwe mnatumia akili, hata kama ni Makamu Mwenyekiti taifa, tambua mazingira huwa yanatofautiana.

Kingine hizo ni fani za watu, hivyo hauwezi kuona logic kama haikuhusu.
MImi nikiliangalia hilo jukwaa sioni hatari yoyote ile, pamoja na kuonekana jepesi bado naona viwanga na tahadhari vimezingatiwa. Halina tofauti na k7simama juu ya meza, kama jukwaa lingekua ni hatari unadhani angeshindwa kusimama juu ya gari na kuhutubia?
 
Watamalizia kazi waliyoanza na 30 maana mbow hashindwi kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ