Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu utumwa mamboleo.Am going to brash up my English, because what i read in this article is new for me. TL is genius!!
CC: Britannica, jingalao, wakudadavua and so many fiancé of Chama la majambazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwanza hapo lumumba watakuwa hajaelewa chochote hapoNajaribu kufikiria kwenye hiki chama cha mashetani pale Lumumba nani anaweza kuandika hii Lugha kama TL simpati walahi..
Wao waambie mambo ya kuiba kura,kuteka na kupiga wapinzani risasi..hapo wapo vizuri.
Labda hawasomagi vitabu baada ya kuthibitishwa uwakili wao.Mimi naomba kuuliza kuna tofauti gani kati ya wakili na wakili msomi. ?
Jamaa bado limbukeni la kutupwa.
Niende wapi?
Kama Lissu kasema kuna cha kuongezea au kupunguza.?? Ni NSHALA tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana!Kama Lissu kasema kuna cha kuongezea au kupunguza.?? Ni NSHALA tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂 yupo! Wanasema ameshaongea nae mkuu!Wakimtaja nani (aliyeongea na MERKEL kwenye simu) utamtilia shaka? 😉😉😉