Tundu Lissu nchi imetakasika rudi tuijenge pamoja. Unataka upigiwe magoti?

Tundu Lissu nchi imetakasika rudi tuijenge pamoja. Unataka upigiwe magoti?

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Zamani nilijua ni kwa sababu za kiusalama lakini baada ya kuiona dhamira njema iliyopo awamu hii ya SITA, siioni sababu ya Tundu Lissu kuendelea kuzurula Ubelgiji. Ni utumwa wa kifikra kudhani kwamba kwa jirani yako ni bora kuliko kwako.

Pamoja na sababu zote mimi nimeona nchi imetakasika sana . Mfano mzuri mwangalie Mbowe kwa sasa kajituliza zake kimya ni kwa sababu nchi imetakasika sana.

Nyinyi mnaoongea nae mwambieni arudi.
 
Kwanini usiijenge wewe na baba yako? Yaani Lissu aache mambo ya maana aje ashughulike na nyie mnaogombania jezi za simba kuliko katiba mpya?

Arudi kukaa na nyie apambanie kuona connections za Mange Kimambi?

Kama awamu ya sita ipo vizuri sio mbaya mkijenga nchi wewe, baba yako na bi Hangaya!
 
Aliekwambia Lissu alisulubiwa na awamu ya tano Nani? Huyo alisulubiwa na wenye Chama Chao cha ukoo ambapo kila anaetishia maslahi ya Chama lazime akipate kulingana na dozi yake. Waulize mwenzake nyepesi.
 
Huyo hahitajiki hapa , ameshapitwa na wakati na anatafuta kiki za kisiasa kwa kumshambulia Mwalimu.
Aulize yaliyo mpata Miguna Miguna wa Kenya.
 
Kama haji aseme SITAKUJA,

Asitoe Ahadi hewa zisotimia.

Asijekuwa kama yule muongo muongo tuliemzoea.
 
Aliekwambia lissu alisulubiwa na awamu ya tano Nani? Huyo alisulubiwa na wenye Chama Chao cha ukoo ambapo kila anaetishia maslahi ya Chama lazime akipate kulingana na dozi yake. Waulize kina tumbili na mwenzake nyepesi.

Hapo ndio unaona umetupoteza maboya kiasi kwamba hatujui kuwa dhalimu ndio muhusika. Ni vyema Lisu hakufariki maana mngepotosha ukweli.
 
Simshauri arudi kwenye nchi hii ya makondoo. Kwa aina ya siasa zake na huu ukondoo uliotamalaki hapa nchini, huku viongozi wakiwa hawataki ukosoaji, naona ataishia matatizoni.

Sio kwamba mama ana nia njema, bali anatumia lugha ya kilaghai ili atawale bila bugudha. Na iwapo Lisu atarejea na kuanza siasa zake za kutokukubali ukondoo, ataishia jela tu.
 
Hata wewe lissu sio baba Yako Kwa hiyo ukae kimya wewe sio lisu
 
Aliekwambia lissu alisulubiwa na awamu ya tano Nani? Huyo alisulubiwa na wenye Chama Chao cha ukoo ambapo kila anaetishia maslahi ya Chama lazime akipate kulingana na dozi yake. Waulize kina tumbili na mwenzake nyepesi.
Wewe umeelewa
 
Hata wewe lissu sio baba Yako Kwa hiyo ukae kimya wewe sio lisu
Lissu hana time na nyie wafu tena, mwenzenu anapigwa risasi nyie mnakua busy na shughuli za akina Siamond na Simba na Yanga mfyuuu.... kama mna nguvu ya kugombea jezi kwanini msielekeze hizo nguvu kwenye kujenga nchi? Hovyo sana.
 
Lisu usidanganyike awamu hii hawana jema , ukirudi tu wanaendeleza alipoishia jiwe
 
Lissu hana time na nyie wafu tena, mwenzenu anapigwa risasi nyie mnakua busy na shughuli za akina Siamond na Simba na Yanga mfyuuu.... kama mna nguvu ya kugombea jezi kwanini msielekeze hizo nguvu kwenye kujenga nchi? Hovyo sana.
Wewe utakuwa kindergatten
 
Simshauri arudi kwenye nchi hii ya makondoo. Kwa aina ya siasa zake na huu ukondoo uliotamalaki hapa nchini, huku viongozi wakiwa hawataki ukosoaji, naona ataishia matatizoni.

Sio kwamba mama ana nia njema, bali anatumia lugha ya kilaghai ili atawale bila bugudha. Na iwapo Lisu atarejea na kuanza siasa zake za kutokukubali ukondoo, ataishia jela tu.
Dhalimu wako si kafa?

Wasiwasi wa nini sasa?
 
Kwanini usiijenge wewe na baba yako? Yaani Lissu aache mambo ya maana aje ashughulike na nyie mnaogombania jezi za simba kuliko katiba mpya?

Arudi kukaa na nyie apambanie kuona connections za Mange Kimambi?

Kama awamu ya sita ipo vizuri sio mbaya mkijenga nchi wewe, baba yako na bi Hangaya!
Nadhani kwa nchi za Afrika Mashariki na kati na nchi za maziwa makuu kwa ujumla,hakuna watu wapumbavu kama watanzania.
Yaani mambo yanayoendelea nchini na jinsi ambavyo wanaact huwezi dhani.
Hii nchi inakatisha tamaa kuwa mpinzani.
 
Back
Top Bottom