Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Dhalimu wako si kafa?
Wasiwasi wa nini sasa?
Dhalimu ile takataka haitakiwi hata ifufuke bali ife zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhalimu wako si kafa?
Wasiwasi wa nini sasa?
Nadhani kwa nchi za Afrika Mashariki na kati na nchi za maziwa makuu kwa ujumla,hakuna watu wapumbavu kama watanzania.
Yaani mambo yanayoendelea nchini na jinsi ambavyo wanaact huwezi dhani.
Hii nchi inakatisha tamaa kuwa mpinzani.
Kwahiyo wewe unapingana na chama cha CCM wanao sema awamu ya tano ilikuwa ni hatari kwa usalama wa maisha ya watu????Aliekwambia Lissu alisulubiwa na awamu ya tano Nani? Huyo alisulubiwa na wenye Chama Chao cha ukoo ambapo kila anaetishia maslahi ya Chama lazime akipate kulingana na dozi yake. Waulize mwenzake nyepesi.