Nadhani kwa nchi za Afrika Mashariki na kati na nchi za maziwa makuu kwa ujumla,hakuna watu wapumbavu kama watanzania.
Yaani mambo yanayoendelea nchini na jinsi ambavyo wanaact huwezi dhani.
Hii nchi inakatisha tamaa kuwa mpinzani.
Aliekwambia Lissu alisulubiwa na awamu ya tano Nani? Huyo alisulubiwa na wenye Chama Chao cha ukoo ambapo kila anaetishia maslahi ya Chama lazime akipate kulingana na dozi yake. Waulize mwenzake nyepesi.