Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buku 7 uyo akili zake kakabith wa2 eti CCM wamejenga dah huwa naona aibu hata kuwa mtanzania kuna wa2 wanatudhalilisha snSema vilivyotengenezwa kwa kodi zetu,unakuwaje mura?
Wamejenga chademaBuku 7 uyo akili zake kakabith wa2 eti CCM wamejenga dah huwa naona aibu hata kuwa mtanzania kuna wa2 wanatudhalilisha sn
Ikikusanywa inakuwa ya JIWE? 🤣🤣 ,we BWEGE na MPUUZI mkubwa kabisa, kama ulikwenda shule utakuwa ulienda kusomea nini? "UJINGA "🤣🤣🤣🤣🤣.Kodi inakuwa yako ikiwa mfukoni mwako pumbaf ww. Ukishafanya malipo inakuwa mali ya Serikali.
Sasa Serikali ya CCM imejitaidi kuitunza na kuitumia kwa usahihi kodi yako kujenga miundombinu wewe unakunja Dera unabweka[emoji1782]
We! Ndio aliyezaa hawa watu wote walioko nchi hii?!
Hahahahaha mbona nyie mnajisifu na reli za mkoloni..MnachekeshaAtapita kila kwa kila ilichotengeneza CCM roho inamuuma hadi anaugua tene
Hii serikali imejaza watendaji/viongozi wapumbavu sana kwa kumpa fomu ya kugombea urais mtu ambaye si raia wa nchi yetu,CCM haifai kuachwa madarakani tena.Mgombea uraisi mbelgiji ambaye ni mkazi wa Dar es salaam ilipo mwendo kasi miaka lakini ambaye hajawahi panda na hajui mwendokasi ni nini hadi asilimuliwe na Dada Rachel msichana wa kichaga toka kwa Mbowe!
Mwendokasi tu Lisu hajui ni nini sembuse uraisi ndio ataujua
Ccm ina hela gani ya kutengenezea barabara, hizo hela ni kodi zetu. Kadanganye wajinga.Atapita kila kwa kila ilichotengeneza CCM roho inamuuma hadi anaugua tene
Kilichotengenezwa na ccm?Atapita kila kwa kila ilichotengeneza CCM roho inamuuma hadi anaugua tene
Hatari sn mkuuAkishuka akale kwa mama ntilie 🤣 🤣