Kumbe kamtafuta Chakwera Lazarius ili kuujua uzoefu?? Au Chakwera katumwa na UN?? Yote yanawezekana.Chakwera ametumwa na UN kuja kulishawishi hili jinga la hapa kuwa litachakazwa kipigo cha mbwa mwizi kama likicheza na demokrasia. Si unajua malawi walimaliza kwa amani na ustaarabu mkubwa. Wapuuzi wa desturi ni lazima waonywe!