mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kesho magufuli atapanda boda boda. Hashindwi yulee[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naipongeza serikali ya tanzaniaSerikali ngapi Duniani wanakula kodi za wananchi na hawajengi lolote kwaajili ya Taifa?
Hivi unaona Jealous gan kuipongeza Serikali ya CCM kwa matumizi mazuri ya kodi zetu kujenga miundombinu kama hii???
Serikali Chama gan!Serikali imetumia kodi kujenga
Serikali ni kubwa zaidi ya chama labda useme chama cha serikali ya TanzaniaSerikali Chama gan!
We mgumu kuelewa. Nikuache tu!Serikali ni kubwa zaidi ya chama labda useme chama cha serikali ya tanzania
Mbona anakopi yaliyowahi kufanya na lowasa.Lowassa pia alipanda madaladala.Lissu anajua kutonesha vidonda balaaa.🤣🤣🤣. Ngoja naniliii amalizane na Chakwera usikie Sirro na Mahera watavolipuka🤣🤣🤣
Utasikia Mwendokasi imesimamishwa kufanya kazi kwa siku 7 kutokana na matengenezo kwny barabara za mwendokasi.
Mbona umeandika kinyonge sana relaxHuyu mtu huyu, sjawahi kumkubali na stokuja kumkubali hata nibakie peke yangu ktk msimamo huo kisiasa
Anajiona ni yeye pekee mwelewa na msomi kuliko wote Tz
Anajiona anajua kila kitu licha ya kushindwa kutoa mwelekeo wa kuishinda korona, makelele meeengi kuhusu MIGA yasiyo na ukweli wowote!
Makelele meeengi kuhusu uhusiano wa nchi yetu na mataifa mengine huku Magufuli akiendelea kupokea mabalozi wa nchi mbalimbali
Makelele meeengi kuhusu ujenzi wa nchi yetu unaohusisha vitu, huku akitumia Barabara zilezile anazozikataa zisijengwe!
Makelele meeengi hayana hata maana yoyote
Na cha kumuumiza zaidi''' anashindwa vibaya huyu baba!
JPM, Hana wa kumzuia nafasi yake!!
Si alisema maendeleo ni watu siyo vitu, kwanini asingepanda baiskeli?
Hiyo ni kazi ya Chama na Serikali yoyote iliyoko na itakayokuwa madarakani. Kufanya maendeleo kwa wananchi sio hisani bali ni lazima kwa sababu ni kodi za wananchi na mikopo ambayo italipwa nao.Atapita kila kwa kila ilichotengeneza CCM roho inamuuma hadi anaugua tene
Bonge la idea akitoka Kariakoo aende Manzese then Mlimani City, alikuwa na mpango wa kwenda taifa mechi ya Simba na Yanga, maccm yakaisogeza mbele
Akielewea hilo swali unitag huyu hajui hata financial statement huyoNenda kalete financial statement ya ccm ikionyesha kiasi cha pesa ilichotoa kugharamia huo mradi.