Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ndani ya Mwendokasi kuelekea Kariakoo

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ndani ya Mwendokasi kuelekea Kariakoo

Atapita kila kwa kila ilichotengeneza ccm roho inamuuma hadi anaugua tene
27% ya mshahara wangu inakatwa kodi, niknunua luku nakatwa kodi, nikilipia bill ya maji nalipa kodi, huo mwendo kasi wenyewe nauli yake kuna kodi, ukinunua maji unalipa kodi , ukinywa bia kuna kodi, Kwa hiyo kila Mtazania analipa kodi ndiyo zinazo kusanywa na serikali ( siyo CCM ) kujenga shule , vituo vya afya , kununua ndege na umeme. Mimi na wewe tunapaswa kuhoji ubora wa hivyo vitu vinavyo fanywa na serikali kwa fedha zatu. Inawezekana hufanyi kazi na unanuliwa vitu vyote ndio maana uanaona CCM imekufanyia hisani ya vitu vyote
 
Dar waoga wengi na wanafiki ila wanampenda sana subiri tarehe 28 ,ujue dar wengi wameajiriwa,huyo muhutu alitujaza uoga tunaogopa kuonyesha hisia zetu kulinda vibarua ila lissu anakubalika
Dar ina watu takribani milioni 6 na wafanyakazi wanaweza wasizidi laki na nusu,
Je hao milioni 5.85 wote wanaogopa nani?
Acha uongo wako.
 
Ahaaaa ahaaaa, ikifika wakati wa kura mnasema wapiga kura hawako mijini bali wako vijijini ambako ndio ccm inashindia. Ila wakati wa kiki inakuwa kinyume chake!
Mkuu Lisu anakuangusha sana! Angalau nliona una misimamo flani ila hizi harakati za Lisu zina tofauti gani na zile za Lowasa?
 
Pole sana, nakwambia utajiliwaza sana; najitahidi kupandisha video hapa inanigomea, but ujumbe utaupata tu...leo leo.
Ndugu nipo hapa kariakoo watu wanamshangaa tu. Lisu ni wa kawaida sana
 
Serikali imetumia kodi kujenga
Serikali ngapi Duniani wanakula kodi za wananchi na hawajengi lolote kwaajili ya Taifa?

Hivi unaona Jealous gan kuipongeza Serikali ya CCM kwa matumizi mazuri ya kodi zetu kujenga miundombinu kama hii???
 
Ndugu nipo hapa kariakoo watu wanamshangaa tu. Lisu ni wa kawaida sana
Nikuwekee kwanza hii picha uache kelele zako, walinzi wake jasho linawatoka.
OU9ul1rpZscbKyh8.jpg
 
Dar ina watu takribani milioni 6 na wafanyakazi wanaweza wasizidi laki na nusu,
Je hao milioni 5.85 wote wanaogopa nani?
Acha uongo wako.
Baada ya wizara na mashirika ya umma makao makuu kuhamia Dodoma Dar es salaamu waajiri serikalini hawafiki hata elfu 20 sababu wengi waliobaki ni walimu wa shule za misingi ,sekondari na vyuo, polisi na wanajeshi.Ni idadi ndogo mno ya waajiriwa serikalini waliobaki DAR
 
Sasa huoni kama watu wanamshmgaa tu hapo? Hata akifika Lipumba hapo itakuwa hivi hivi
Nimekwambia wewe sindano yako ni video, tulia utaipata, kwa Lissu hakuna kujiliwaza.
 
We ni BONGOLALA kweli, hiyo ni KODI yetu.Sijapatata kuona poor seasoning kama yako.

Shame shame on you![emoji1787][emoji1787]
Kodi inakuwa yako ikiwa mfukoni mwako pumbaf ww. Ukishafanya malipo inakuwa mali ya Serikali.

Sasa Serikali ya CCM imejitaidi kuitunza na kuitumia kwa usahihi kodi yako kujenga miundombinu wewe unakunja Dera unabweka[emoji1782]
 
MKuu hawa CCM ni matajiri sana, kila kitu wanafanya kwa hela zao.
Mimi nazani watusaidie kulipa deni la taifa basi kama ni matajiri hivi.
Nilidhan utasema Deni lako binafsi, maana ndilo hilo laeza kufanya ujitundike.

Anyways, Deni linaendelea kupunguzwa na uchumi wetu unavumilika/kopesheka
 
Mkuu Lisu anakuangusha sana! Angalau nliona una misimamo flani ila hizi harakati za Lisu zina tofauti gani na zile za Lowasa
Sioni lolote la ajabu hapo, maana kazuiwa kufanya kampeni, hivyo si vibaya akiingia sehemu za public maana kura ni za hao hao kuliko kujifungia ndani.
 
Back
Top Bottom