Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Anawaza inakuwaje 'msaliti' anapanda mwendokasi halafu hajapigwa mabomu.Ona huyu ngdere anachowaza[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1592944
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anawaza inakuwaje 'msaliti' anapanda mwendokasi halafu hajapigwa mabomu.Ona huyu ngdere anachowaza[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1592944
Wewe ni mnafiki kama mchawi, inawezekana hata hauna data kwenye simu, watu wanampiga picha Lissu mpaka huyo mrembo hapo pembeni anaona aibu halafu wewe unaandika upuuzi wa lumumba hapa, usijipendekeze kwa Chadema we" kiazi.Habari wanajf, kama ilivyo kawaida nimejitolea kuwajuza kila linaloendelea kuhusu chama chetu na kushauri nini kifanyike ili tuweze kufikia malengo tuliyojiwekea.
Nimeshtushwa sana na kushangazwa kwa jinsi ambavyo tunavyorudia mbinu zilezile kama zilizotumiwa na Lowassa 2015
Hii ya mgombea wetu kupanda mwendokasi haijakaa vizuri kwa kuwa wote tunafahamu ni kitu ambacho sio halisia(hajawaho kupanda kabla iweje sasa?)
Hii kwa watu wenye ufahamu tunaweza kuwakwaza kwa kuwa watajua hatupo serious.
Ninaomba chama kishauri na kitekeleze vitu ambavyo vinaweza kuleta tija na kuvuna watu wengi na wapiga kura wengi ila hili la kupanda mwendokasi HAPANA.
Kuna namna nyingi ya kuvuta attention za watu na kujizolea kura za bure kabisa. Mfano; kuna mechi ya somba vs yanga tarehe 18. Hapo anaweza kwenda uwanjani kama shabiki tu wa mpira na akavuna wapiga kura wengi tu kwa kuwa tukio la yeyr kwenda uwanjani ni halisi, sio hili la kupanda daladala/mwendokasi.
Pia bado ninaendelea na kushangazwa na watu wa Dar, kwa kuwa humo kwenye mwendokasi ni kama watu hawana habari vile, hii naweza kusema ni dharau kubwa sana watu wa dar mnayoionyesha na nashauri muache mara moja.
Chini nimeweka picha na video za humo kwenye mwendokasi
View attachment 1592903View attachment 1592904View attachment 1592905
Si alisema maendeleo ni watu siyo vitu, kwanini asingepanda baiskeli?
Vipi leo kwenye hutuba yake na Raisi wa Malawi ataongea kwa kutumia lugha gani? au atatumia ile aliyotumia kudefend thesis ya Phd?Mkuu Lisu ameanza kupata kiwewe
Mkuu kwa siasa hizi za Lisu, huyu tayari ni Lowasa part 2Wewe ni mnafiki kama mchawi, inawezekana hata hauna data kwenye simu, watu wanampiga picha Lissu mpaka huyo mrembo hapo pembeni anaona aibu halafu wewe unaandika upuuzi wa lumumba hapa, usijipendekeze kwa Chadema wewe kiazi.
Haya matusi mtakuwa mmefundishwa huko lumumba, mbona wote mnafanana, wacheni hasira, huyo ndie Lissu mzee wa kutabasamu.Wewe ukajua mamako ndiyo msaliti pekee.. [emoji41][emoji41]
Usiwe na wasiwasi anakwenda Kariakoo na pia mwacheni apumzike kidogo. Kuhusu watu wa Dar ni kweli wamelala sijui ni woga au uvivu manake wanajulikana kwa uvivu. Lakini bado tunawategemea kwani walifanya vizuri sana pale uwanja wa ndege.Habari wanajf, kama ilivyo kawaida nimejitolea kuwajuza kila linaloendelea kuhusu chama chetu na kushauri nini kifanyike ili tuweze kufikia malengo tuliyojiwekea.
Nimeshtushwa sana na kushangazwa kwa jinsi ambavyo tunavyorudia mbinu zilezile kama zilizotumiwa na Lowassa 2015
Hii ya mgombea wetu kupanda mwendokasi haijakaa vizuri kwa kuwa wote tunafahamu ni kitu ambacho sio halisia(hajawaho kupanda kabla iweje sasa?)
Hii kwa watu wenye ufahamu tunaweza kuwakwaza kwa kuwa watajua hatupo serious.
Ninaomba chama kishauri na kitekeleze vitu ambavyo vinaweza kuleta tija na kuvuna watu wengi na wapiga kura wengi ila hili la kupanda mwendokasi HAPANA.
Kuna namna nyingi ya kuvuta attention za watu na kujizolea kura za bure kabisa. Mfano; kuna mechi ya somba vs yanga tarehe 18. Hapo anaweza kwenda uwanjani kama shabiki tu wa mpira na akavuna wapiga kura wengi tu kwa kuwa tukio la yeyr kwenda uwanjani ni halisi, sio hili la kupanda daladala/mwendokasi.
Pia bado ninaendelea na kushangazwa na watu wa Dar, kwa kuwa humo kwenye mwendokasi ni kama watu hawana habari vile, hii naweza kusema ni dharau kubwa sana watu wa dar mnayoionyesha na nashauri muache mara moja.
Chini nimeweka picha na video za humo kwenye mwendokasi
View attachment 1592903View attachment 1592904View attachment 1592905
Hiyo ya kupanda mabasi imemshusha hadhi hasa na ujue siasa marufuku ndani ya mabasi kwa SHeria za SUMATRA huruhusiwi kuhubiri dini au siasa ndani ya usafiri wa umma.Bonge la idea akitoka kariakoo aende manzese then mlimani city,alikuwa na mpango wa kwenda taifa mechi ya simba na yanga,maccm yakaisogeza mbele
Mtanzania yoyote mwenye mapenzi mema kwa nchi yake hawezi mkubaliHuyu mtu huyu, sjawahi kumkubali na stokuja kumkubali hata nibakie peke yangu ktk msimamo huo kisiasa
Anajiona ni yeye pekee mwelewa na msomi kuliko wote Tz,
Anajiona anajua kila kitu licha ya kushindwa kutoa mwelekeo wa kuishinda korona, makelele meeengi kuhusu MIGA yasiyo na ukweli wowote!
Makelele meeengi kuhusu uhusiano wa nchi yetu na mataifa mengine huku Magufuli akiendelea kupokea mabalozi wa nchi mbalimbali
Makelele meeengi kuhusu ujenzi wa nchi yetu unaohusisha vitu, huku akitumia Barabara zilezile anazozikataa zisijengwe!!
Makelele meeengi hayana hata maana yoyote
Na cha kumuumiza zaidi''' anashindwa vibaya huyu baba!!!
JPM, Hana wa kumzuia nafasi yake!!
Unaruhusiwa kujidanganya, it's your decision, jiliwaze tu hamna jinsi.Mkuu kwa siasa hizi za Lisu, huyu tayari ni Lowasa part 2
Mkuu! Mfuatilie uone atatumia luga gani! Lakini pamoja na hayo, Lisu hawi rais hata apande gutaVipi leo kwenye hutuba yake na Raisi wa Malawi ataongea kwa kutumia lugha gani? au atatumia ile aliyotumia kudefend thesis ya Phd?
Mkuu, Lisu ni debe tupuUnaruhusiwa kujidanganya, it's your decision, jiliwaze tu hamna jinsi.
We endelea kuimba tu.. ukiweza na kiuno ukate kabisa.Mkuu, Lisu ni debe tupu
Sasa hapo kamkera nani mkuu?Ila Lissu Anajua Kuwa Kera Sanaa Watu, Ameenda Kariakoo Kununua TV [emoji2][emoji2][emoji2]
Watu wa DAR Lisu hawamtaki ule msafara wa Airport waliletwa watu toka mikoaniUsiwe na wasiwasi anakwenda Kariakoo na pia mwacheni apumzike kidogo. Kuhusu watu wa Dar ni kweli wamelala sijui ni woga au uvivu manake wanajulikana kwa uvivu. Lakini bado tunawategemea kwani walifanya vizuri sana pale uwanja wa ndege.
Usije ukavunja simu umenunuliwa na Polepole hiyo, wacheni hasira.Hiyo ni sim ndo inaleta ujinga nayo nitaiadhibu tarehe 28, mimi naandika vizuri yenyewe inabadilisha maneno.
Naiambia sitaki ujinga ujinga.
Mungu huyuhuyu mliemkejeli wakati wa maombi kipindi cha corona?