Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah wameona pale kwa Mchina patachafuka ni Yeye mwanzo mwisho.Bonge la idea akitoka kariakoo aende manzese then mlimani city,alikuwa na mpango wa kwenda taifa mechi ya simba na yanga,maccm yakaisogeza mbele
Mlitaka mfanyie nini kodi za watanzania?Mbona akili zenu ni za hovyo namna hii?Atapita kila kwa kila ilichotengeneza ccm roho inamuuma hadi anaugua tene
Hiyo fursa huenda unaitamani na unaweza usiipate maisha yako yote!Bi dada lazima aote usiku,kukaa na 'ghost' Lissu siti moja.
Mlitaka mfanyie nini kodi za watanzania?Mbona akili zenu ni za hovyo namna hii?
Lissu akiwa Rais na CDM ikatekeleza ilani yake,wanaCCM hamtatumia kwasababu imeletwa na CDM?
Mmebakiza akili za kuvukia barabara tu!
Nimekuuliza, mlitaka asitumie miundombinu ambayo hata yeye mwenyewe sehemu ya kodi yake imetumika kuijenga?Akili za wapi hizi?Waliahasisha kuikimbia bajeti ya kitaifa sasa wanajifanya wanajua kumbe hakuna lolote
Mlimuozesha binti yupi was CCM mkapata mahari zilizowaingizia pesa za kununua mwendokasi? Udondocha wako pelekea familia yakoAtapita kila kwa kila ilichotengeneza ccm roho inamuuma hadi anaugua tene
Vidonda vipi mkuu?Lissu anajua kutonesha vidonda balaaa....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ngoja naniliii amalizane na Chakwera usikie Sirro na Mahera watavolipuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hela gani ametoa kodi huyo?Nimekuuliza,mlitaka asitumie miundombinu ambayo hata yeye mwenyewe sehemu ya kodi yake imetumika kuijenga?Akili za wapi hizi?
Acha akutane na raia, sasa unataka ajifungie chumbani?Habari wanajf, kama ilivyo kawaida nimejitolea kuwajuza kila linaloendelea kuhusu chama chetu na kushauri nini kifanyike ili tuweze kufikia malengo tuliyojiwekea.
Nimeshtushwa sana na kushangazwa kwa jinsi ambavyo tunavyorudia mbinu zilezile kama zilizotumiwa na Lowassa 2015
Hii ya mgombea wetu kupanda mwendokasi haijakaa vizuri kwa kuwa wote tunafahamu ni kitu ambacho sio halisia(hajawaho kupanda kabla iweje sasa?)
Hii kwa watu wenye ufahamu tunaweza kuwakwaza kwa kuwa watajua hatupo serious.
Ninaomba chama kishauri na kitekeleze vitu ambavyo vinaweza kuleta tija na kuvuna watu wengi na wapiga kura wengi ila hili la kupanda mwendokasi HAPANA.
Kuna namna nyingi ya kuvuta attention za watu na kujizolea kura za bure kabisa. Mfano; kuna mechi ya somba vs yanga tarehe 18. Hapo anaweza kwenda uwanjani kama shabiki tu wa mpira na akavuna wapiga kura wengi tu kwa kuwa tukio la yeyr kwenda uwanjani ni halisi, sio hili la kupanda daladala/mwendokasi.
Pia bado ninaendelea na kushangazwa na watu wa Dar, kwa kuwa humo kwenye mwendokasi ni kama watu hawana habari vile, hii naweza kusema ni dharau kubwa sana watu wa dar mnayoionyesha na nashauri muache mara moja.
Chini nimeweka picha na video za humo kwenye mwendokasi
View attachment 1592903View attachment 1592904View attachment 1592905
Kodi yake immo nakama kunadeni tutalipa wote hata uleuwanja wandege we mgombea wa polepole nihivyohivyoAtapita kila kwa kila ilichotengeneza ccm roho inamuuma hadi anaugua tene