Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #541
Mkuu JERRY , next time, ukichukua maoni ya mtu, it's good ukionyesha na source na link ili wale wenye muda, wakasome the context ya maoni hayo, maana sisi wengine siku hizi tumekuwa makada, ukiweka maoni bila links, watu kuijua context ya maoni hayo, utapelekea wafia chama kujiuliza huyu ni kada wa type gani?!.Pascal Mayalla "Kwa maoni yangu, kwenye kambi nzima ya upinzani Tanzania, tuna watu wawili tu ndio wenye uwezo, wa ability na capabilities za kumkabili JPM na aka feel the heat ya uchaguzi. Hawa ni Zitto Zuberi Kabwe na Tundu Lissu." Mwisho wa kunukuu.
Ni juu yao kufanyia kazi, maana ndio ukweli wenyewe.
Msimamo wako umebadilika kwa speed ya lightHahahahaha, asimame tu, yaani CCM inashinda bila jasho.Huyo Lissu hana personality ya kumfanya awe Rais.
Mkuu JERRY , next time, ukichukua maoni ya mtu, it's good ukionyesha na source na link ili wale wenye muda, wakasome the context ya maoni hayo, maana sisi wengine siku hizi tumekuwa makada, ukiweka maoni bila links, watu kuijua context ya maoni hayo, utapelekea wafia chama kujiuliza huyu ni kada wa type gani?!.
Mkuu Pascal Nimekusoma
Ungefanya kwanza situational analysis.Angalia mikutano ya Mrema ya uchaguzi 1995 na sasa hivi! Upinzani utaanza kulia lia baada ya 28 na kusema Lissu ndio raisi. Lakini tumesikia miaka hata Uchaguzi uliopita walisema hivyo hivyo!!
Kibri+kuendesha nchi bila kodi+kutaka kuwa juu ya sheria huku akilalama watawala hawafuati sheria vina mushikeli.Mkuu Madam Mwajuma , maadam sasa kapitishwa, jee utampa?, au kwa vile wewe ni cha kijani, ni kijani tuu?,
P
Je, ni kweli watawala hawafuati sheria?Kibri+kuendesha nchi bila kodi+kutaka kuwa juu ya sheria huku akilalama watawala hawafuati sheria vina mushikeli.
Kumbe pamoja na ukada wako, unaweza sema kweli. hiyo sentesi ya mwisho ni KWELI.. Kongole kwa kutambua na kukiri hilo hadharaniWanabodi,
Hili ni bandiko la swali tuu, Ili uchaguzi wa 2020 usiwe ni igizo tuu la uchaguzi, Je tumchagize na kushinikiza Tundu Lissu ndiye asimamishwe na upinzani kumkabili John P. Magufuli? kwa sababu mpaka sasa, Tundu Lissu ndie mwanasiasa pekee wa upinzani ambaye so far, ameonyesha ana uwezo wa kumkabili Magufuli kwa vile uwezo wake ni zaidi ya Magufuli?
Mkuu Madam Mwajuma , kama Tundu Lissu ana mushkeli, vipi wanaopanga kumchagua kiongozi mwenye mushkeli, watakuwa ni timamu kweli au nao wana mushkeli?.Kibri+kuendesha nchi bila kodi+kutaka kuwa juu ya sheria huku akilalama watawala hawafuati sheria vina mushikeli.
Ujue mambo ya kuchagua wanasiasa yana sababu nyingi: mapenzi tu yale yasiyo na sababu kwa mgombea, kumchagua tu ili mwingine asishinde, kupima uwezo wake, kuzingatia mahitaji ya nchi kwa wakati huo ama kupima mahitaji binafsi. Wacha wajigaragaze wachague wampendaye ni haki ya kila mtanzania.Mkuu Madam Mwajuma , kama Tundu Lissu ana mushkeli, vipi wanaopanga kumchagua kiongozi mwenye mushkeli, watakuwa ni timamu kweli au nao wana mushkeli?.
P
Mkuu Madam Mwajuma , kwavile watu tumetofautiana uoni, vision, ukitokea wewe una uoni mkubwa, unaona mtu fulani ni janga, lakini kuna watu wa kwenu, wanamshabikia bila kujua ni janga, jee utawaacha tuu wachume janga, au angalau utawaonya na kuwapa angalizo kuwa huyo mnaemshabikia ni janga, mkimchagua ni sawa na mchuma janga, au utawaacha tuu wamchague wampendaye kwasababu ni haki yao ya kidemokrasia kumchagua yoyote wanayempenda hata kama ni janga?, na unajua kabisa mchuma janga hula na wakwao?.Ujue mambo ya kuchagua wanasiasa yana sababu nyingi: mapenzi tu yale yasiyo na sababu kwa mgombea, kumchagua tu ili mwingine asishinde, kupima uwezo wake, kuzingatia mahitaji ya nchi kwa wakati huo ama kupima mahitaji binafsi. Wacha wajigaragaze wachague wampendaye ni haki ya kila mtanzania.
" mchuma janga hula na nduguze"
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali tuu, Ili uchaguzi wa 2020 usiwe ni igizo tuu la uchaguzi, Je tumchagize na kushinikiza Tundu Lissu ndiye asimamishwe na upinzani kumkabili John P. Magufuli? kwa sababu mpaka sasa, Tundu Lissu ndie mwanasiasa pekee wa upinzani ambaye so far, ameonyesha ana uwezo wa kumkabili Magufuli kwa vile uwezo wake ni zaidi ya Magufuli?
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Mkuu Mzamifu, karibu katika makala hii, uangalie jinsi ninavyomsifu Tundu Lissu!. Jee wajua kuwa kuna uwezekano makala hii pia ilichangia kumfanya Tundu Lissu agombee?Nilipenda sana makala na hoja zake zikigusa maeneo mengi. Leo ni upande mmoja tu kusifia.
Nikiona makala yake huwa nasoma tu kichwa naishia.
Kumbe Mayalla ulihusika kuiingiza Chadema mkenge?? Maana tumeona jinsi Lissu alivyoitenda Chadema. Alikuja, akazunguka nchi nzima kumwaga nyongo binafsi kwa kutumia mgongo wa Chadema (badala ya kuiuza Chadema na sera zake) alafu akatimkia zake Ulaya kula bata kwa jasho la wazungu, huku Chadema imebaki chali.Mkuu Mzamifu, karibu katika makala hii, uangalie jinsi ninavyomsifu Tundu Lissu!. Jee wajua kuwa kuna uwezekano makala hii pia ilichangia kumfanya Tundu Lissu agombee?
P
Kuna watu satellites zenu hazina signal kabisa!Kumbe Mayalla ulihusika kuiingiza Chadema mkenge?? Maana tumeona jinsi Lissu alivyoitenda Chadema. Alikuja, akazunguka nchi nzima kumwaga nyongo binafsi kwa kutumia mgongo wa Chadema (badala ya kuiuza Chadema na sera zake) alafu akatimkia zake Ulaya kula bata kwa jasho la wazungu, huku Chadema imebaki chali.
Na kwavile sasa umejinasibu kama kada ya CCM, ni dhahiri kazi uliyopewa kufanya kupitia JamiiForum, uliikamilisha vikamilifu. Hongera sana. Umebaki zawadi yako ya uteuzi.
Mkuu @TOMUNOTIKATI, pole sana kwa kudhani ushauri wangu ni project, watu wenye kazi zao, mko nao humo humo ndani mwenu!.Kumbe Mayalla ulihusika kuiingiza Chadema mkenge?? Maana tumeona jinsi Lissu alivyoitenda Chadema. Alikuja, akazunguka nchi nzima kumwaga nyongo binafsi kwa kutumia mgongo wa Chadema (badala ya kuiuza Chadema na sera zake) alafu akatimkia zake Ulaya kula bata kwa jasho la wazungu, huku Chadema imebaki chali.
Na kwavile sasa umejinasibu kama kada ya CCM, ni dhahiri kazi uliyopewa kufanya kupitia JamiiForum, uliikamilisha vikamilifu. Hongera sana. Umebaki zawadi yako ya uteuzi.
[emoji849]Hahahahaha, asimame tu, yaani CCM inashinda bila jasho.Huyo Lissu hana personality ya kumfanya awe Rais.
[emoji15]Nyongeza ya mwaka ya mshahara kwa watumishi wa umma iko kisheria lakini huyu mtukufu wetu ambaye pia ni Dikteta ametoa agizo watumishi wasipewe hiyo nyongeza mpaka itakapofikia 2020 ili waweze kumchagua yeye. Halafu ndo CCM wanasema anazingatia utawala wa sheria.
Enzi hizo mguu wa mkuu ulilambwa sanaaaaaaa[emoji849][emoji15]LISU NI MHAINI AWEKWE KIZUIZINI
Na Thadei Ole Mushi.
Mwalimu wangu alishawahi kunifundisha kwenye history kuwa siku zote unapopanga kufanya MAPINDUZI hakikisha unakubaliana na matokeo haya mawili
1.Ukifanikiwa katika mapinduzi yako watakuita SHUJAA ,MWANAMAPINDUZI, NA KILA JINA LA KISHUJAA.
[HASHTAG]#ILA[/HASHTAG]
2. Ukishindwa kwenye mapinduzi hayo watakuita jina moja tu "MHAINI".
Kinachomtokea TUNDU kwa sasa ni hili jibu la pili huyu anatakiwa awekwe KIZUIZINI kama watanzania wengine waliokwisha kujaribu kusaliti nchi yao na kuwekwa kizuizini.
[HASHTAG]#Anachotakiwa[/HASHTAG] kukithibitisha Lisu ni Udikteta wa Raisi magufuli. Kama kuteua msukuma kuwa kiongozi mahali ndio Udikteta basi atuthibitishie.
[HASHTAG]#Najua[/HASHTAG] wote wanaochaguliwa au Kuteuliwa na Mh Raisi wanapendekezwa na mamlaka za Uteuzi baada ya kufanyiwa vetting. Je Lisu yupo kwenye mamlaka za uteuzi ili aseme mapendekezo ya mamlaka hizo yamepuuzwa na Raisi?
#Je Mh Raisi ndio anayetoa vibali vya wakatoliki kufanya kazi nchini na si Uhamiaji? Kama ni uhamiaji je wakatoliki hawaruhusiwi kufanya kazi hapa nchini? Je hao wamisionari wa kilutheri walioambiwa wakapange foleni kule Uhamiaji walitaka nani awape kibali cha kufanya kazi nchini? Je uhamiaji waliwanyima kibali kwa kuwa ni walutheri?
[HASHTAG]#Nimemsikiliza[/HASHTAG] Fatma Karume wakili wa Lisu akitoa tafsiri ya kosa la Uchochezi kuwa ni kumchochea mtu kufanya uhalifu na yeye haoni kama lisu alimchochea mtu.
[HASHTAG]#Huyu[/HASHTAG] naye akili hazipo sawa haoni aliyechochewa kabisa ila anasahau kuwa Lisu anawaaminisha watanzania kuwa Raisi Magufuli anapendelea kabila lake pamoja na Dini yake. Haoni kuwa anawachochea makabila mengine na dini nyingine?
[HASHTAG]#Mataifa[/HASHTAG] mengi yanaingia matatizoni kwa kauli za kichochezi kama hizi. Je wasukuma na wakatoliki wanaofanya kazi maeneo mengine wabaguliwe? Lisu anataka haya makabila na dini nyingine zifanye nini? Nyumbu hawaoni uchochezi huu wanasahau vita haina macho...
[HASHTAG]#Nitashangaa[/HASHTAG] kama upande wa Jamhuri watamuachia huru kwa kauli hizi. Kama mkimuachia basi mtakuwa kawashinda kuwa kweli analiyoyasema yanafanywa kweli na Raisi.
Ole mushi