LISU NI MHAINI AWEKWE KIZUIZINI
Na Thadei Ole Mushi.
Mwalimu wangu alishawahi kunifundisha kwenye history kuwa siku zote unapopanga kufanya MAPINDUZI hakikisha unakubaliana na matokeo haya mawili
1.Ukifanikiwa katika mapinduzi yako watakuita SHUJAA ,MWANAMAPINDUZI, NA KILA JINA LA KISHUJAA.
[HASHTAG]#ILA[/HASHTAG]
2. Ukishindwa kwenye mapinduzi hayo watakuita jina moja tu "MHAINI".
Kinachomtokea TUNDU kwa sasa ni hili jibu la pili huyu anatakiwa awekwe KIZUIZINI kama watanzania wengine waliokwisha kujaribu kusaliti nchi yao na kuwekwa kizuizini.
[HASHTAG]#Anachotakiwa[/HASHTAG] kukithibitisha Lisu ni Udikteta wa Raisi magufuli. Kama kuteua msukuma kuwa kiongozi mahali ndio Udikteta basi atuthibitishie.
[HASHTAG]#Najua[/HASHTAG] wote wanaochaguliwa au Kuteuliwa na Mh Raisi wanapendekezwa na mamlaka za Uteuzi baada ya kufanyiwa vetting. Je Lisu yupo kwenye mamlaka za uteuzi ili aseme mapendekezo ya mamlaka hizo yamepuuzwa na Raisi?
#Je Mh Raisi ndio anayetoa vibali vya wakatoliki kufanya kazi nchini na si Uhamiaji? Kama ni uhamiaji je wakatoliki hawaruhusiwi kufanya kazi hapa nchini? Je hao wamisionari wa kilutheri walioambiwa wakapange foleni kule Uhamiaji walitaka nani awape kibali cha kufanya kazi nchini? Je uhamiaji waliwanyima kibali kwa kuwa ni walutheri?
[HASHTAG]#Nimemsikiliza[/HASHTAG] Fatma Karume wakili wa Lisu akitoa tafsiri ya kosa la Uchochezi kuwa ni kumchochea mtu kufanya uhalifu na yeye haoni kama lisu alimchochea mtu.
[HASHTAG]#Huyu[/HASHTAG] naye akili hazipo sawa haoni aliyechochewa kabisa ila anasahau kuwa Lisu anawaaminisha watanzania kuwa Raisi Magufuli anapendelea kabila lake pamoja na Dini yake. Haoni kuwa anawachochea makabila mengine na dini nyingine?
[HASHTAG]#Mataifa[/HASHTAG] mengi yanaingia matatizoni kwa kauli za kichochezi kama hizi. Je wasukuma na wakatoliki wanaofanya kazi maeneo mengine wabaguliwe? Lisu anataka haya makabila na dini nyingine zifanye nini? Nyumbu hawaoni uchochezi huu wanasahau vita haina macho...
[HASHTAG]#Nitashangaa[/HASHTAG] kama upande wa Jamhuri watamuachia huru kwa kauli hizi. Kama mkimuachia basi mtakuwa kawashinda kuwa kweli analiyoyasema yanafanywa kweli na Raisi.
Ole mushi