Tundu Lisu kama Duma Boko wa Botwana, na zaidi kama Don Trump!Kila ninapomtazama TAL na aliyoyapitia na anayoyapitia sasa hivi naona miaka si mingi anakuja kuwa President wa Jamhuri hii .
Sina tangible reasons msije kunikaba lakini kuna vitu katika dunia hutokea tu ili kuwaonesha wanadamu kuwa yupo mpangaji wa mambo tofauti na vile tunavyojiaminisha kuwa CCM imeshajichimbia Mizizi hivyo haiwezi ng'oka.
Rais wa TFF au TLS gentleman?🐒Kila ninapomtazama TAL na aliyoyapitia na anayoyapitia sasa hivi naona miaka si mingi anakuja kuwa President wa Jamhuri hii .
Sina tangible reasons msije kunikaba lakini kuna vitu katika dunia hutokea tu ili kuwaonesha wanadamu kuwa yupo mpangaji wa mambo tofauti na vile tunavyojiaminisha kuwa CCM imeshajichimbia Mizizi hivyo haiwezi ng'oka.
OVA
yaani kuna urais wa kupewa kwa kuonewa huruma? aache ujinga kwanza ni msalityi kishamsaliti mbowe anamuita mla rushwaKila ninapomtazama TAL na aliyoyapitia na anayoyapitia sasa hivi naona miaka si mingi anakuja kuwa President wa Jamhuri hii .
Sina tangible reasons msije kunikaba lakini kuna vitu katika dunia hutokea tu ili kuwaonesha wanadamu kuwa yupo mpangaji wa mambo tofauti na vile tunavyojiaminisha kuwa CCM imeshajichimbia Mizizi hivyo haiwezi ng'oka.
OVA
msaliti anawezaje kuwa rais anamshambulia mbowe aliyemuweka kwenye siasa nani atampa uraisSahihi kabisa