Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni aina ya binadamu ambao ukiwa nao lazima ufuate anachotaka, usipotaka utasumbuka

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni aina ya binadamu ambao ukiwa nao lazima ufuate anachotaka, usipotaka utasumbuka

Ligaba

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
1,063
Reaction score
2,874
Kwa kweli namuonea huruma sana Rais wangu mpendwa mtetezi wa wanyonge John Joseph Magufuli. Namuonea huruma kwa usumbufu unaompata kwa tatizo ambalo angeweza kulidhibiti mapema. Tundu Lissu ni tatizo kubwa sana kwa Rais wetu. Bisha, pinga na tukana ukweli ndio huo.

KWA NINI LISSU NI TATIZO?
Kiasili watu aina ya Lissu ni SUPEREGO mbaya zaidi Mungu kamuongezea very smart brain. Watu wa sampuli hii huwa hawaamini waliowazunguka ni bora zaidi yao hivyo hukuchukulia kama underdog tu. Ukosoaji wote wa Lissu kwa Magufuli ni vile Lissu haamini kama Magufuli ni bora zaidi yake basi humuona tu kama underdog.

1. Usumbufu wa Lissu muulize mama Anna Makinda, atakupa feedback

2. Kikwete alimuelewa Lissu ni aina ya MTU gani na aliwahi kusema ni bora achaguliwe Slaa kuwa Rais lakini Lissu asiwe mbunge, kwa nini?

3. Hata waliompiga risasi ni dhahiri walimuelewa Lissu sema hawakujua njia sahihi ya kupambana nae.

4. Hata NEC sasa inamfuata

5. Angalia mahakama ana kesi sita zote zinamfuata.

6. Angalia hata CHADEMA Leo yote inamfuata anachopanga, bila Lissu unafikiri CHADEMA kingemwekea Magufuli pingamizi?

KOSA ALILOLIFANYA MAGUFULI.
Mpaka ninapoandika 7000hrs Magufuli ameshafanya kosa la kuruhusu usumbufu. Hebu niambie unafikiri majina ambayo yanamyima usingizi linaloongoza ni jina la nani?. Kuepuka huu usumbufu alipaswa kuhakikisha Lissu atoboi kwa tume, au zile mahakama zenye makesi yake yangetumika kumdhibiti. Amini maandishi yangu, kumuacha Lissu agombee kunainufaisha CHADEMA kwa kiwango kikubwa sana. Hata akinyimwa urais Lissu ataongeza idadi kubwa ya wabunge, Lissu ni kama mganga aliyeletwa kufufua wafu, wapiga kura wengi walikuwa sawa na wafu sasa wanapata hamasa ya uhai kutoka kwa Lissu.

OMBI KWA CHADEMA.
Kwa aina ya siasa ya uhuni zinazofanyika sasa hivi, Lissu alipaswa kuwa mwenyekiti, MBOWE ukitaka CHADEMA ikabiliane na siasa za uharamia baada ya uchaguzi mkabidhi uenyekiti Lissu wewe bakia mlezi wa chama.

Bado nina imani tume na Rais, CCM mna nafasi ya kumdhibiti kupitia kampeni.
 
Expiry date ya mbowe ilishafika,basi tu mbowe anajaribu kuforce king
 
Hapana Mbowe si kwamba amexpire, tatizo ni nature amepitiliza ustaarabu katika vita.
chafma uenyekiti ulikuwa unamfaa heche,lema,böniphace au lissu,hawa watu ni wababe na wanamtosha magufuli
 
Back
Top Bottom