John atapata taabu sanaAtamaliza kopo zima Kisha atajipiga local anaesthesia, maumivu ya Tundu Lissu ni makali aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
John atapata taabu sanaAtamaliza kopo zima Kisha atajipiga local anaesthesia, maumivu ya Tundu Lissu ni makali aisee
Hakika, umewaza Kama mie [emoji817]%SENTENSI YAKO YA MWISHO IMEHARIBU HOJA NZIMA.
Ndiyo tabia zenu mafisi mkiishiwa hojaanatafuta attention ya kijinga anaishia kupigwa mawe, nashangaa kwann hakuna ata jiwe moja lilimpata kule kilimanjaro! ila mda bado tunao wakati wa kampeni kurusha mawe
Hilo ndio lengo kuu
Naona munanitokeza mmoja mmoja wale muliompiga risasi dodomasasa umpanikishe nan, uyo tutamamalizia sisi wenyewe wananchi, ngja si atakuja kufanya kampeni tutamuonyesha: ya juzi si aliponea halikumpata safari hii hatufanyi makosa tena
Ccm tutamnyamazisha lisu kwa kumpa kesi nzito zaidi kuelekea siku ya uchaguziMtaongea propaganda zote mwaka huu. Huyo ndo Lissu 😂😂😂😂
Subiri Tundu atakaa chini muda sio mrefu vile vyuma vinatakiwa girisi kila wiki sijui itakuwaje maana girisi aliyokuja nayo imeanza kwisha sabau ya kuzunguka sana bila mpangilio. Amezunguka nchi nzima anatafuta saini wenzake wote wamekaa nyumbani alafu mnasema mtu hutu ana akili sana badala ya kusema ni mpumbavu sanaAtamaliza kopo zima Kisha atajipiga local anaesthesia, maumivu ya Tundu Lissu ni makali aisee
Naona munanitokeza mmoja mmoja wale muliompiga risasi dodoma
Aisee hivi mpo serious bado mnataka kumpopoa? Siasa ni hoja mbona kuna adhina ya watu CCM. Mkijibu maneno kwa bunduki ni uendawazimu na ukosefu wa uvumilivu.
Polee mwana Lumumba, kunywa maji kalale tu. Huyo ndo Lissu kama Lissu 😂😂😂😂
Kanywe maji kalale. Lissu atakuua na pressure yako ya kupanda hiyo 😂pole pia maaana pingamizi ndo yashatupiliwa mbali na mawe atakula kama kawa aje tu moshi atakiona
Unazijua economic sanctions wewe???? Endelea tu kuongeaCcm tutamnyamazisha lisu kwa kumpa kesi nzito zaidi kuelekea siku ya uchaguzi
Nimesoma huku machozi yakinilenga lenga.Kwa kweli namuonea huruma sana Rais wangu mpendwa mtetezi wa wanyonge John Joseph Magufuli. Namuonea huruma kwa usumbufu unaompata kwa tatizo ambalo angeweza kulidhibiti mapema. Tundu Lissu ni tatizo kubwa sana kwa Rais wetu. Bisha, pinga na tukana ukweli ndio huo.
KWA NINI LISSU NI TATIZO?
Kiasili watu aina ya Lissu ni SUPEREGO mbaya zaidi mungu kamuongezea very smart brain. Watu wa sampuli hii huwa hawaamini waliowazunguka ni bora zaidi yao hivyo hukuchukulia kama underdog tu. Ukosoaji wote wa Lissu kwa Magufuli ni vile Lissu haamini kama Magufuli ni bora zaidi yake basi humuona tu kama underdog.
1. Usumbufu wa Lissu muulize mama Anna Makinda, atakupa feedback
2. Kikwete alimuelewa Lissu ni aina ya MTU gani na aliwahi kusema ni bora achaguliwe Slaa kuwa Rais lakini Lissu asiwe mbunge, kwa nini?
3. Hata waliompiga risasi ni dhahiri walimuelewa Lissu sema hawakujua njia sahihi ya kupambana nae.
4. Hata NEC sasa inamfuata
5. Angalia mahakama ana kesi sita zote zinamfuata.
6. Angalia hata CHADEMA Leo yote inamfuata anachopanga, bila Lissu unafikiri CHADEMA kingemwekea Magufuli pingamizi?
KOSA ALILOLIFANYA MAGUFULI.
Mpaka ninapoandika 7000hrs Magufuli ameshafanya kosa la kuruhusu usumbufu. Hebu niambie unafikiri majina ambayo yanamyima usingizi linaloongoza ni jina la nani?. Kuepuka huu usumbufu alipaswa kuhakikisha Lissu atoboi kwa tume, au zile mahakama zenye makesi yake yangetumika kumdhibiti. Amini maandishi yangu, kumuacha Lissu agombee kunainufaisha CHADEMA kwa kiwango kikubwa sana. Hata akinyimwa urais Lissu ataongeza idadi kubwa ya wabunge, Lissu ni kama mganga aliyeletwa kufufua wafu, wapiga kura wengi walikuwa sawa na wafu sasa wanapata hamasa ya uhai kutoka kwa Lissu.
OMBI KWA CHADEMA.
Kwa aina ya siasa ya uhuni zinazofanyika sasa hivi Lissu alipaswa kuwa mwenyekiti, MBOWE ukitaka CHADEMA ikabiliane na siasa za uharamia baada ya uchaguzi mkabidhi uwenyekiti Lissu wewe bakia mlezi wa chama
Bado nina imani tume na Rais, CCM mnanafasi ya kumdhibiti kupitia kampeni.
Kanywe maji kalale. Lissu atakuua na pressure yako ya kupanda hiyo 😂
Wewe jinga, kumdhibiti Lisu ndiyo kumfanyaje!!? Magufuli na CCM ndio wanatakiwa kudhibitiwa tena kwa mapigo ya dhoruba. Maana wamezidi uhuni. Hakuna siasa ya kistaarabu Magufuli na CCM wanajua isipokuwa kuteka,kujeruhi na kupotezwa watuKwa kweli namuonea huruma sana Rais wangu mpendwa mtetezi wa wanyonge John Joseph Magufuli. Namuonea huruma kwa usumbufu unaompata kwa tatizo ambalo angeweza kulidhibiti mapema. Tundu Lissu ni tatizo kubwa sana kwa Rais wetu. Bisha, pinga na tukana ukweli ndio huo.
KWA NINI LISSU NI TATIZO?
Kiasili watu aina ya Lissu ni SUPEREGO mbaya zaidi mungu kamuongezea very smart brain. Watu wa sampuli hii huwa hawaamini waliowazunguka ni bora zaidi yao hivyo hukuchukulia kama underdog tu. Ukosoaji wote wa Lissu kwa Magufuli ni vile Lissu haamini kama Magufuli ni bora zaidi yake basi humuona tu kama underdog.
1. Usumbufu wa Lissu muulize mama Anna Makinda, atakupa feedback
2. Kikwete alimuelewa Lissu ni aina ya MTU gani na aliwahi kusema ni bora achaguliwe Slaa kuwa Rais lakini Lissu asiwe mbunge, kwa nini?
3. Hata waliompiga risasi ni dhahiri walimuelewa Lissu sema hawakujua njia sahihi ya kupambana nae.
4. Hata NEC sasa inamfuata
5. Angalia mahakama ana kesi sita zote zinamfuata.
6. Angalia hata CHADEMA Leo yote inamfuata anachopanga, bila Lissu unafikiri CHADEMA kingemwekea Magufuli pingamizi?
KOSA ALILOLIFANYA MAGUFULI.
Mpaka ninapoandika 7000hrs Magufuli ameshafanya kosa la kuruhusu usumbufu. Hebu niambie unafikiri majina ambayo yanamyima usingizi linaloongoza ni jina la nani?. Kuepuka huu usumbufu alipaswa kuhakikisha Lissu atoboi kwa tume, au zile mahakama zenye makesi yake yangetumika kumdhibiti. Amini maandishi yangu, kumuacha Lissu agombee kunainufaisha CHADEMA kwa kiwango kikubwa sana. Hata akinyimwa urais Lissu ataongeza idadi kubwa ya wabunge, Lissu ni kama mganga aliyeletwa kufufua wafu, wapiga kura wengi walikuwa sawa na wafu sasa wanapata hamasa ya uhai kutoka kwa Lissu.
OMBI KWA CHADEMA.
Kwa aina ya siasa ya uhuni zinazofanyika sasa hivi Lissu alipaswa kuwa mwenyekiti, MBOWE ukitaka CHADEMA ikabiliane na siasa za uharamia baada ya uchaguzi mkabidhi uwenyekiti Lissu wewe bakia mlezi wa chama
Bado nina imani tume na Rais, CCM mnanafasi ya kumdhibiti kupitia kampeni.
Kumbe nia yenu ni kumdhibiti siyo kupambana nae kwa hoja ?Kwa kweli namuonea huruma sana Rais wangu mpendwa mtetezi wa wanyonge John Joseph Magufuli. Namuonea huruma kwa usumbufu unaompata kwa tatizo ambalo angeweza kulidhibiti mapema. Tundu Lissu ni tatizo kubwa sana kwa Rais wetu. Bisha, pinga na tukana ukweli ndio huo.
KWA NINI LISSU NI TATIZO?
Kiasili watu aina ya Lissu ni SUPEREGO mbaya zaidi mungu kamuongezea very smart brain. Watu wa sampuli hii huwa hawaamini waliowazunguka ni bora zaidi yao hivyo hukuchukulia kama underdog tu. Ukosoaji wote wa Lissu kwa Magufuli ni vile Lissu haamini kama Magufuli ni bora zaidi yake basi humuona tu kama underdog.
1. Usumbufu wa Lissu muulize mama Anna Makinda, atakupa feedback
2. Kikwete alimuelewa Lissu ni aina ya MTU gani na aliwahi kusema ni bora achaguliwe Slaa kuwa Rais lakini Lissu asiwe mbunge, kwa nini?
3. Hata waliompiga risasi ni dhahiri walimuelewa Lissu sema hawakujua njia sahihi ya kupambana nae.
4. Hata NEC sasa inamfuata
5. Angalia mahakama ana kesi sita zote zinamfuata.
6. Angalia hata CHADEMA Leo yote inamfuata anachopanga, bila Lissu unafikiri CHADEMA kingemwekea Magufuli pingamizi?
KOSA ALILOLIFANYA MAGUFULI.
Mpaka ninapoandika 7000hrs Magufuli ameshafanya kosa la kuruhusu usumbufu. Hebu niambie unafikiri majina ambayo yanamyima usingizi linaloongoza ni jina la nani?. Kuepuka huu usumbufu alipaswa kuhakikisha Lissu atoboi kwa tume, au zile mahakama zenye makesi yake yangetumika kumdhibiti. Amini maandishi yangu, kumuacha Lissu agombee kunainufaisha CHADEMA kwa kiwango kikubwa sana. Hata akinyimwa urais Lissu ataongeza idadi kubwa ya wabunge, Lissu ni kama mganga aliyeletwa kufufua wafu, wapiga kura wengi walikuwa sawa na wafu sasa wanapata hamasa ya uhai kutoka kwa Lissu.
OMBI KWA CHADEMA.
Kwa aina ya siasa ya uhuni zinazofanyika sasa hivi Lissu alipaswa kuwa mwenyekiti, MBOWE ukitaka CHADEMA ikabiliane na siasa za uharamia baada ya uchaguzi mkabidhi uwenyekiti Lissu wewe bakia mlezi wa chama
Bado nina imani tume na Rais, CCM mnanafasi ya kumdhibiti kupitia kampeni.
Hahaha kumbe ukubwa wa sindano una matter, ccm kwa sasa wanasikia maumivu.
Huwa wanajidai hawasikii ila naona wako mguu sawa kwa sasa, tulii, Lisu sio mchezo.
Me hata waseme Magu kesho asepe nitaenda hadi kutambika,udikteta tuKwanini wamdhibiti wakati na wao ni wagombea tu yaani mgombea unaanza kumdhibiti mwenzako badala kutangaza sera zako kwetu wananchi ili tuweze kuwapima na kuamuwa nani atuongoze. Subirini muziki kampeni zikianza ndo mtafahamu kuwa watu wachoka huu udicteta