Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni aina ya binadamu ambao ukiwa nao lazima ufuate anachotaka, usipotaka utasumbuka

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni aina ya binadamu ambao ukiwa nao lazima ufuate anachotaka, usipotaka utasumbuka

Mi nangoja kampeni kwa maana mpaka sasa hivi nje ya ku attack kwa njia ya kukukasirisha ambayo ni moja ya mbinu mpizani wako mahakamni sio jipya.
Ukimya Jpm utam contain Lisu
Akitaka abugi jpm aje kwenye style za Lisu asubh tu anaoshwa

Hii ndio mbinu kama za soka tu kama timu pinzani inamiliki mpira zaidi kwa mfumo wa wachezaji wao cheza butua piga moja halafu mbio kuelelea kwao pasi moja ya pili piga beswla. Ujerumani style.

Lisu ni mwerevu anajua niki mu attack ata attack pia nammaliza.
Sasa ukimya wa jpm na ccm hautawaacha salama.
Ni kama draft tu ukiona unapewa kete kula ujue unaenda kuuawa.

Nijualo atakuwa na kesi za uchaguzi by Novemba nyingi lkn pia yeye za uchochezi na kuendelea na fani yake ya kuwa mahakamani.

Ni mtazamo tu msirushe ngumi
 
anatafuta attention ya kijinga anaishia kupigwa mawe, nashangaa kwann hakuna ata jiwe moja lilimpata kule kilimanjaro! ila mda bado tunao wakati wa kampeni kurusha mawe
Ndiyo tabia zenu mafisi mkiishiwa hoja
Tulien mpigwe miti halafu hadi jogoo atawapiga miti mwaka Huu mtanyooka tuu
tapatalk_1598453737957.jpeg
 
sasa umpanikishe nan, uyo tutamamalizia sisi wenyewe wananchi, ngja si atakuja kufanya kampeni tutamuonyesha: ya juzi si aliponea halikumpata safari hii hatufanyi makosa tena
Naona munanitokeza mmoja mmoja wale muliompiga risasi dodoma
 
S
Atamaliza kopo zima Kisha atajipiga local anaesthesia, maumivu ya Tundu Lissu ni makali aisee
Subiri Tundu atakaa chini muda sio mrefu vile vyuma vinatakiwa girisi kila wiki sijui itakuwaje maana girisi aliyokuja nayo imeanza kwisha sabau ya kuzunguka sana bila mpangilio. Amezunguka nchi nzima anatafuta saini wenzake wote wamekaa nyumbani alafu mnasema mtu hutu ana akili sana badala ya kusema ni mpumbavu sana
 
Aisee hivi mpo serious bado mnataka kumpopoa? Siasa ni hoja mbona kuna adhina ya watu CCM. Mkijibu maneno kwa bunduki ni uendawazimu na ukosefu wa uvumilivu.

dogo anazingua tushasema hatumtaki, sasa inabidi tutumie mawe kwenye kampeni ya juzi tulimkosa
 
Kwa kweli namuonea huruma sana Rais wangu mpendwa mtetezi wa wanyonge John Joseph Magufuli. Namuonea huruma kwa usumbufu unaompata kwa tatizo ambalo angeweza kulidhibiti mapema. Tundu Lissu ni tatizo kubwa sana kwa Rais wetu. Bisha, pinga na tukana ukweli ndio huo.

KWA NINI LISSU NI TATIZO?
Kiasili watu aina ya Lissu ni SUPEREGO mbaya zaidi mungu kamuongezea very smart brain. Watu wa sampuli hii huwa hawaamini waliowazunguka ni bora zaidi yao hivyo hukuchukulia kama underdog tu. Ukosoaji wote wa Lissu kwa Magufuli ni vile Lissu haamini kama Magufuli ni bora zaidi yake basi humuona tu kama underdog.

1. Usumbufu wa Lissu muulize mama Anna Makinda, atakupa feedback

2. Kikwete alimuelewa Lissu ni aina ya MTU gani na aliwahi kusema ni bora achaguliwe Slaa kuwa Rais lakini Lissu asiwe mbunge, kwa nini?

3. Hata waliompiga risasi ni dhahiri walimuelewa Lissu sema hawakujua njia sahihi ya kupambana nae.

4. Hata NEC sasa inamfuata

5. Angalia mahakama ana kesi sita zote zinamfuata.

6. Angalia hata CHADEMA Leo yote inamfuata anachopanga, bila Lissu unafikiri CHADEMA kingemwekea Magufuli pingamizi?

KOSA ALILOLIFANYA MAGUFULI.
Mpaka ninapoandika 7000hrs Magufuli ameshafanya kosa la kuruhusu usumbufu. Hebu niambie unafikiri majina ambayo yanamyima usingizi linaloongoza ni jina la nani?. Kuepuka huu usumbufu alipaswa kuhakikisha Lissu atoboi kwa tume, au zile mahakama zenye makesi yake yangetumika kumdhibiti. Amini maandishi yangu, kumuacha Lissu agombee kunainufaisha CHADEMA kwa kiwango kikubwa sana. Hata akinyimwa urais Lissu ataongeza idadi kubwa ya wabunge, Lissu ni kama mganga aliyeletwa kufufua wafu, wapiga kura wengi walikuwa sawa na wafu sasa wanapata hamasa ya uhai kutoka kwa Lissu.

OMBI KWA CHADEMA.
Kwa aina ya siasa ya uhuni zinazofanyika sasa hivi Lissu alipaswa kuwa mwenyekiti, MBOWE ukitaka CHADEMA ikabiliane na siasa za uharamia baada ya uchaguzi mkabidhi uwenyekiti Lissu wewe bakia mlezi wa chama

Bado nina imani tume na Rais, CCM mnanafasi ya kumdhibiti kupitia kampeni.
Nimesoma huku machozi yakinilenga lenga.

Go go go lissu2020!
 
Kwa kweli namuonea huruma sana Rais wangu mpendwa mtetezi wa wanyonge John Joseph Magufuli. Namuonea huruma kwa usumbufu unaompata kwa tatizo ambalo angeweza kulidhibiti mapema. Tundu Lissu ni tatizo kubwa sana kwa Rais wetu. Bisha, pinga na tukana ukweli ndio huo.

KWA NINI LISSU NI TATIZO?
Kiasili watu aina ya Lissu ni SUPEREGO mbaya zaidi mungu kamuongezea very smart brain. Watu wa sampuli hii huwa hawaamini waliowazunguka ni bora zaidi yao hivyo hukuchukulia kama underdog tu. Ukosoaji wote wa Lissu kwa Magufuli ni vile Lissu haamini kama Magufuli ni bora zaidi yake basi humuona tu kama underdog.

1. Usumbufu wa Lissu muulize mama Anna Makinda, atakupa feedback

2. Kikwete alimuelewa Lissu ni aina ya MTU gani na aliwahi kusema ni bora achaguliwe Slaa kuwa Rais lakini Lissu asiwe mbunge, kwa nini?

3. Hata waliompiga risasi ni dhahiri walimuelewa Lissu sema hawakujua njia sahihi ya kupambana nae.

4. Hata NEC sasa inamfuata

5. Angalia mahakama ana kesi sita zote zinamfuata.

6. Angalia hata CHADEMA Leo yote inamfuata anachopanga, bila Lissu unafikiri CHADEMA kingemwekea Magufuli pingamizi?

KOSA ALILOLIFANYA MAGUFULI.
Mpaka ninapoandika 7000hrs Magufuli ameshafanya kosa la kuruhusu usumbufu. Hebu niambie unafikiri majina ambayo yanamyima usingizi linaloongoza ni jina la nani?. Kuepuka huu usumbufu alipaswa kuhakikisha Lissu atoboi kwa tume, au zile mahakama zenye makesi yake yangetumika kumdhibiti. Amini maandishi yangu, kumuacha Lissu agombee kunainufaisha CHADEMA kwa kiwango kikubwa sana. Hata akinyimwa urais Lissu ataongeza idadi kubwa ya wabunge, Lissu ni kama mganga aliyeletwa kufufua wafu, wapiga kura wengi walikuwa sawa na wafu sasa wanapata hamasa ya uhai kutoka kwa Lissu.

OMBI KWA CHADEMA.
Kwa aina ya siasa ya uhuni zinazofanyika sasa hivi Lissu alipaswa kuwa mwenyekiti, MBOWE ukitaka CHADEMA ikabiliane na siasa za uharamia baada ya uchaguzi mkabidhi uwenyekiti Lissu wewe bakia mlezi wa chama

Bado nina imani tume na Rais, CCM mnanafasi ya kumdhibiti kupitia kampeni.
Wewe jinga, kumdhibiti Lisu ndiyo kumfanyaje!!? Magufuli na CCM ndio wanatakiwa kudhibitiwa tena kwa mapigo ya dhoruba. Maana wamezidi uhuni. Hakuna siasa ya kistaarabu Magufuli na CCM wanajua isipokuwa kuteka,kujeruhi na kupotezwa watu
Yaani Ni uhuni mtupu. Ilipofikia CCM yaMagufuli inatakiwa itokomezwe na kufutiliwa mbali kabla haijatuletea Watanzania madhara makubwa.
 
Kwa kweli namuonea huruma sana Rais wangu mpendwa mtetezi wa wanyonge John Joseph Magufuli. Namuonea huruma kwa usumbufu unaompata kwa tatizo ambalo angeweza kulidhibiti mapema. Tundu Lissu ni tatizo kubwa sana kwa Rais wetu. Bisha, pinga na tukana ukweli ndio huo.

KWA NINI LISSU NI TATIZO?
Kiasili watu aina ya Lissu ni SUPEREGO mbaya zaidi mungu kamuongezea very smart brain. Watu wa sampuli hii huwa hawaamini waliowazunguka ni bora zaidi yao hivyo hukuchukulia kama underdog tu. Ukosoaji wote wa Lissu kwa Magufuli ni vile Lissu haamini kama Magufuli ni bora zaidi yake basi humuona tu kama underdog.

1. Usumbufu wa Lissu muulize mama Anna Makinda, atakupa feedback

2. Kikwete alimuelewa Lissu ni aina ya MTU gani na aliwahi kusema ni bora achaguliwe Slaa kuwa Rais lakini Lissu asiwe mbunge, kwa nini?

3. Hata waliompiga risasi ni dhahiri walimuelewa Lissu sema hawakujua njia sahihi ya kupambana nae.

4. Hata NEC sasa inamfuata

5. Angalia mahakama ana kesi sita zote zinamfuata.

6. Angalia hata CHADEMA Leo yote inamfuata anachopanga, bila Lissu unafikiri CHADEMA kingemwekea Magufuli pingamizi?

KOSA ALILOLIFANYA MAGUFULI.
Mpaka ninapoandika 7000hrs Magufuli ameshafanya kosa la kuruhusu usumbufu. Hebu niambie unafikiri majina ambayo yanamyima usingizi linaloongoza ni jina la nani?. Kuepuka huu usumbufu alipaswa kuhakikisha Lissu atoboi kwa tume, au zile mahakama zenye makesi yake yangetumika kumdhibiti. Amini maandishi yangu, kumuacha Lissu agombee kunainufaisha CHADEMA kwa kiwango kikubwa sana. Hata akinyimwa urais Lissu ataongeza idadi kubwa ya wabunge, Lissu ni kama mganga aliyeletwa kufufua wafu, wapiga kura wengi walikuwa sawa na wafu sasa wanapata hamasa ya uhai kutoka kwa Lissu.

OMBI KWA CHADEMA.
Kwa aina ya siasa ya uhuni zinazofanyika sasa hivi Lissu alipaswa kuwa mwenyekiti, MBOWE ukitaka CHADEMA ikabiliane na siasa za uharamia baada ya uchaguzi mkabidhi uwenyekiti Lissu wewe bakia mlezi wa chama

Bado nina imani tume na Rais, CCM mnanafasi ya kumdhibiti kupitia kampeni.
Kumbe nia yenu ni kumdhibiti siyo kupambana nae kwa hoja ?
 
Hahaha kumbe ukubwa wa sindano una matter, ccm kwa sasa wanasikia maumivu.

Huwa wanajidai hawasikii ila naona wako mguu sawa kwa sasa, tulii, Lisu sio mchezo.
Kwanini wamdhibiti wakati na wao ni wagombea tu yaani mgombea unaanza kumdhibiti mwenzako badala kutangaza sera zako kwetu wananchi ili tuweze kuwapima na kuamuwa nani atuongoze. Subirini muziki kampeni zikianza ndo mtafahamu kuwa watu wachoka huu udicteta
Me hata waseme Magu kesho asepe nitaenda hadi kutambika,udikteta tu
 
Namuona Lissu kama mtu aliyeamua kuonesha kama hizi sheria au taratibu za tume ni kwa kila mtu au chama au ni kwa baadhi ya watu!!

Hapa ndio uhuru wa Tume utaonekana. Je Tume itafuata taratibu ilizoziweka yenyewe. Itamuita Rais ambaye ndio mteuzi wa nafasi zao?? Isipofuata itaonekana wazi hakuna level playing field. Hakuna haki. Kuna upendeleo. Lissu kaamua kushindwa but “leaving with a bang”!! Atarekebisha au ataathiri siasa za nchi kutoka sasa kwenda mbele!! Mgombea wa uRais CCM hakuwahi kupimwa kiasi hiki.

Tarehe 27/09 ni siku ngumu sana kwa taasisi na watu wanaoshighulika na uchaguzi!!
 
Back
Top Bottom