Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni aina ya binadamu ambao ukiwa nao lazima ufuate anachotaka, usipotaka utasumbuka

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni aina ya binadamu ambao ukiwa nao lazima ufuate anachotaka, usipotaka utasumbuka

Kwa kweli namuonea huruma sana Rais wangu mpendwa mtetezi wa wanyonge John Joseph Magufuli. Namuonea huruma kwa usumbufu unaompata kwa tatizo ambalo angeweza kulidhibiti mapema. Tundu Lissu ni tatizo kubwa sana kwa Rais wetu. Bisha, pinga na tukana ukweli ndio huo.

KWA NINI LISSU NI TATIZO?
Kiasili watu aina ya Lissu ni SUPEREGO mbaya zaidi Mungu kamuongezea very smart brain. Watu wa sampuli hii huwa hawaamini waliowazunguka ni bora zaidi yao hivyo hukuchukulia kama underdog tu. Ukosoaji wote wa Lissu kwa Magufuli ni vile Lissu haamini kama Magufuli ni bora zaidi yake basi humuona tu kama underdog.

1. Usumbufu wa Lissu muulize mama Anna Makinda, atakupa feedback

2. Kikwete alimuelewa Lissu ni aina ya MTU gani na aliwahi kusema ni bora achaguliwe Slaa kuwa Rais lakini Lissu asiwe mbunge, kwa nini?

3. Hata waliompiga risasi ni dhahiri walimuelewa Lissu sema hawakujua njia sahihi ya kupambana nae.

4. Hata NEC sasa inamfuata

5. Angalia mahakama ana kesi sita zote zinamfuata.

6. Angalia hata CHADEMA Leo yote inamfuata anachopanga, bila Lissu unafikiri CHADEMA kingemwekea Magufuli pingamizi?

KOSA ALILOLIFANYA MAGUFULI.
Mpaka ninapoandika 7000hrs Magufuli ameshafanya kosa la kuruhusu usumbufu. Hebu niambie unafikiri majina ambayo yanamyima usingizi linaloongoza ni jina la nani?. Kuepuka huu usumbufu alipaswa kuhakikisha Lissu atoboi kwa tume, au zile mahakama zenye makesi yake yangetumika kumdhibiti. Amini maandishi yangu, kumuacha Lissu agombee kunainufaisha CHADEMA kwa kiwango kikubwa sana. Hata akinyimwa urais Lissu ataongeza idadi kubwa ya wabunge, Lissu ni kama mganga aliyeletwa kufufua wafu, wapiga kura wengi walikuwa sawa na wafu sasa wanapata hamasa ya uhai kutoka kwa Lissu.

OMBI KWA CHADEMA.
Kwa aina ya siasa ya uhuni zinazofanyika sasa hivi, Lissu alipaswa kuwa mwenyekiti, MBOWE ukitaka CHADEMA ikabiliane na siasa za uharamia baada ya uchaguzi mkabidhi uenyekiti Lissu wewe bakia mlezi wa chama.

Bado nina imani tume na Rais, CCM mna nafasi ya kumdhibiti kupitia kampeni.
Huyu jamaa hata simweleagi. Kule nimejaribu kumtafakari kwa Namna nyingine kabisa ya Kiroho( devine powers)
 
Namuona Lissu kama mtu aliyeamua kuonesha kama hizi sheria au taratibu za tume ni kwa kila mtu au chama au ni kwa baadhi ya watu!!

Hapa ndio uhuru wa Tume utaonekana. Je Tume itafuata taratibu ilizoziweka yenyewe. Itamuita Rais ambaye ndio mteuzi wa nafasi zao?? Isipofuata itaonekana wazi hakuna level playing field. Hakuna haki. Kuna upendeleo. Lissu kaamua kushindwa but “leaving with a bang”!! Atarekebisha au ataathiri siasa za nchi kutoka sasa kwenda mbele!! Mgombea wa uRais CCM hakuwahi kupimwa kiasi hiki.

Tarehe 27/09 ni siku ngumu sana kwa taasisi na watu wanaoshighulika na uchaguzi!!
Lissu kitendo cha kumwekea pingazmizi Rais kwa kukiuka sheria na kanuni za uchaguzi ambazo aliIsaini yeye mwenyewe.

Ameonesha kiwango kidogo cha umakini pamoja na Lundo la wapiga makofi wake ubavu mwake.
 
Kwa kweli namuonea huruma sana Rais wangu mpendwa mtetezi wa wanyonge John Joseph Magufuli. Namuonea huruma kwa usumbufu unaompata kwa tatizo ambalo angeweza kulidhibiti mapema. Tundu Lissu ni tatizo kubwa sana kwa Rais wetu. Bisha, pinga na tukana ukweli ndio huo.

KWA NINI LISSU NI TATIZO?
Kiasili watu aina ya Lissu ni SUPEREGO mbaya zaidi Mungu kamuongezea very smart brain. Watu wa sampuli hii huwa hawaamini waliowazunguka ni bora zaidi yao hivyo hukuchukulia kama underdog tu. Ukosoaji wote wa Lissu kwa Magufuli ni vile Lissu haamini kama Magufuli ni bora zaidi yake basi humuona tu kama underdog.

1. Usumbufu wa Lissu muulize mama Anna Makinda, atakupa feedback

2. Kikwete alimuelewa Lissu ni aina ya MTU gani na aliwahi kusema ni bora achaguliwe Slaa kuwa Rais lakini Lissu asiwe mbunge, kwa nini?

3. Hata waliompiga risasi ni dhahiri walimuelewa Lissu sema hawakujua njia sahihi ya kupambana nae.

4. Hata NEC sasa inamfuata

5. Angalia mahakama ana kesi sita zote zinamfuata.

6. Angalia hata CHADEMA Leo yote inamfuata anachopanga, bila Lissu unafikiri CHADEMA kingemwekea Magufuli pingamizi?

KOSA ALILOLIFANYA MAGUFULI.
Mpaka ninapoandika 7000hrs Magufuli ameshafanya kosa la kuruhusu usumbufu. Hebu niambie unafikiri majina ambayo yanamyima usingizi linaloongoza ni jina la nani?. Kuepuka huu usumbufu alipaswa kuhakikisha Lissu atoboi kwa tume, au zile mahakama zenye makesi yake yangetumika kumdhibiti. Amini maandishi yangu, kumuacha Lissu agombee kunainufaisha CHADEMA kwa kiwango kikubwa sana. Hata akinyimwa urais Lissu ataongeza idadi kubwa ya wabunge, Lissu ni kama mganga aliyeletwa kufufua wafu, wapiga kura wengi walikuwa sawa na wafu sasa wanapata hamasa ya uhai kutoka kwa Lissu.

OMBI KWA CHADEMA.
Kwa aina ya siasa ya uhuni zinazofanyika sasa hivi, Lissu alipaswa kuwa mwenyekiti, MBOWE ukitaka CHADEMA ikabiliane na siasa za uharamia baada ya uchaguzi mkabidhi uenyekiti Lissu wewe bakia mlezi wa chama.

Bado nina imani tume na Rais, CCM mna nafasi ya kumdhibiti kupitia kampeni.
Hehehee
 
Haaaaa haaaa .we voters want to hear 👂🏾 the way your presidential runner is prepared to sort out our issues and not Magufuli , Magufuli ,Magufuli through out your mourning sessions ,otherwise set yourselves psychologically to celebrate 🎉 what you deserve. Period .
 
Back
Top Bottom