Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni aina ya binadamu ambao ukiwa nao lazima ufuate anachotaka, usipotaka utasumbuka

We ndio wale wale,we mwenyew unehadidhiwa tu.
 
Ila Lisu anatusumbua sana wanaccm, sijui tutumie njia ipi kumdhibiti huyu jamaa.
 
Mtaongea propaganda zote mwaka huu. Huyo ndo Lissu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
anatafuta attention ya kijinga anaishia kupigwa mawe, nashangaa kwann hakuna ata jiwe moja lilimpata kule kilimanjaro! ila mda bado tunao wakati wa kampeni kurusha mawe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ si kwa kupanic huko!!! Huyo ndo Lissu kama Lissu
 
anatafuta attention ya kijinga anaishia kupigwa mawe, nashangaa kwann hakuna ata jiwe moja lilimpata kule kilimanjaro! ila mda bado tunao wakati wa kampeni kurusha mawe
Mulimpiga risasi mungu kawapamoja nae
 
Hivi mdaharo wa wagombea urais kwa lugha ya kiingereza ni lini?
 
Hiyo lugha ya "wamdhibiti" inaonesha jinsi watz tulivyo watu wa hovyo. Uchaguzi gani watu wanaona sawa kudhibitiana kwa kutumia dola na vyombo kama tume maslahi ya walio msdarakani ?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ si kwa kupanic huko!!! Huyo ndo Lissu kama Lissu

sasa umpanikishe nan, uyo tutamamalizia sisi wenyewe wananchi, ngja si atakuja kufanya kampeni tutamuonyesha: ya juzi si aliponea halikumpata safari hii hatufanyi makosa tena
 
Haaa, yani bado unawashauri wamdhibiti wakati tayari Kuna Kesi zinaenda kufunguliwa the hague dhidi ya Magufuli, Ibrahim Juma, Ndugai na Simon Sirro? Kesi za Uhalifu dhidi ya binadamu, Unataka umzamishe kabisa Magufuli? mbona Huna huruma aisee
 
Ujinga na woga wa ccm kwa mtu mmoja tu Lissu. Hamjiamini na hamwezi bila dola. Wengi walioko ccm ni watu dhaifu sana wenye kupenda mdebwedo. Wapinzani ni wapiganaji. CDM hoyeee.
 
Kumdhibiti kwenye kampeni tusibiri kwanza, ngoja tuone ni kwa namna gani John atavuka mapingamizi aliyowekea. Atatumia Dola au Tume kuvuka?
Pressure inapanda, Pressure inashuka, patamu hapa!
Waliomsikiliza TL.pingamizi ni lipi?
 
sasa umpanikishe nan, uyo tutamamalizia sisi wenyewe wananchi, ngja si atakuja kufanya kampeni tutamuonyesha: ya juzi si aliponea halikumpata safari hii hatufanyi makosa tena
Polee mwana Lumumba, kunywa maji kalale tu. Huyo ndo Lissu kama Lissu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
sasa umpanikishe nan, uyo tutamamalizia sisi wenyewe wananchi, ngja si atakuja kufanya kampeni tutamuonyesha: ya juzi si aliponea halikumpata safari hii hatufanyi makosa tena
Aisee hivi mpo serious bado mnataka kumpopoa? Siasa ni hoja mbona kuna adhina ya watu CCM. Mkijibu maneno kwa bunduki ni uendawazimu na ukosefu wa uvumilivu.
 
Kumdhibiti kwenye kampeni tusibiri kwanza, ngoja tuone ni kwa namna gani John atavuka mapingamizi aliyowekea. Atatumia Dola au Tume kuvuka?
Pressure inapanda, Pressure inashuka, patamu hapa!
Nasubiria kuona jinsi John atakavyokuwa akimjibu Lisu watakapokuwa uso kwa uso.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…