Tundu Lissu ni clever but not Intelligent person. Ni Kiongozi mwenye papara sana na hana utulivu kabisa

Tundu Lissu ni clever but not Intelligent person. Ni Kiongozi mwenye papara sana na hana utulivu kabisa

Nimemsikiliza Tundu Lissu kwa makini sana!

Nina sympathize naye kwa masaibu aliyopata lakini kwenye hili jambo kakurupuka sana!

Huwezi shinda vita yoyote ya maana bila mkakati wa maana!
(The Art of War by Sun Zu)!

Tundu Lissu angejipa muda kwanza na angefuatilia hiyo case ya Uingereza huku akikusanya ushahidi taratibu.

Angesubiri aone pia kama Judgement ingekuwa in favor ya huyo Whistle Blower wake Michael Clifford then angekuwa kwenye position nzuri ya kufanya well informed decision!

Kaonyesha weakness kubwa sana, sema tu watu wengi ni mediocres wanamsifia tu bila reasoning ya maana!

Sana sana nimemsikia akibeza Mahakama zetu za Profesa Juma!!

Soma Pia:

Ameonyesha tamaa ya kulipwa mapesa mengi na Tigo!! Amedhihirisha pia siyo mzalendo na kumbe ni kweli Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwamba anashirikuana na maadui zetu kukamata Ndege zetu!!

Tundu Lissu ni mkurupukaji sana! Utulivu zero kabisa!

Wewe uliye intelligent na mwenye kusoma the art of war, yako wapi mavitu yako sasa ili japo nawe ukapate kutambulika wamo?
 
Nimemsikiliza Tundu Lissu kwa makini sana!

Nina sympathize naye kwa masaibu aliyopata lakini kwenye hili jambo kakurupuka sana!

Huwezi shinda vita yoyote ya maana bila mkakati wa maana!
(The Art of War by Sun Zu)!

Tundu Lissu angejipa muda kwanza na angefuatilia hiyo case ya Uingereza huku akikusanya ushahidi taratibu.

Angesubiri aone pia kama Judgement ingekuwa in favor ya huyo Whistle Blower wake Michael Clifford then angekuwa kwenye position nzuri ya kufanya well informed decision!

Kaonyesha weakness kubwa sana, sema tu watu wengi ni mediocres wanamsifia tu bila reasoning ya maana!

Sana sana nimemsikia akibeza Mahakama zetu za Profesa Juma!!

Soma Pia:

Ameonyesha tamaa ya kulipwa mapesa mengi na Tigo!! Amedhihirisha pia siyo mzalendo na kumbe ni kweli Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwamba anashirikuana na maadui zetu kukamata Ndege zetu!!

Tundu Lissu ni mkurupukaji sana! Utulivu zero kabisa!
Unaonekana uko kinyume na Lissie na tumeumia kwa pess yake
Swala la mahakama ni kweli hatuna mahakama wabunge wa serekali credinle
 
Tatizo lako na Tundu Lissu ni moja!

Ukurupukaji! Hujasoma hata hoja yangu umeshakurupuka!
Mimi nimembeza Tundu Lissu anavyo approach mambo na hasa jambo kubwa kama hili!

Hapo juu nimesema Nina sympathize naye ktk masaibu yake lakini unanilaumu!

Najua hujui maana ya Sympathize na masaibu na kwa kifupi wewe ni mediocre au kilaza tu!

Inaonekana Lissu yupo sahihi ila aliyekurupuka ni mleta mada!
 
Tatizo lako na Tundu Lissu ni moja!

Ukurupukaji! Hujasoma hata hoja yangu umeshakurupuka!
Mimi nimembeza Tundu Lissu anavyo approach mambo na hasa jambo kubwa kama hili!

Hapo juu nimesema Nina sympathize naye ktk masaibu yake lakini unanilaumu!

Najua hujui maana ya Sympathize na masaibu na kwa kifupi wewe ni mediocre au kilaza tu!
Uvccm unasympathize, ajabu hii

Unasema lissu siyo mzalendo,
Na Wewe bado ni mediocre ambaye hutaki lisu atuambie sababu za ndege kukamatwa ughaibini

Ukidai kuficha mapungufu ya magufuli na ccm yake ndo uzalendo
 
'Heading' ya mada nadhani inatatiza:' intelligent' versus 'clever' - it is debatable.

Ninakubaliana na mstari wako huo nilio unyanyua hapo juu; lakini huu hauelezei u-''clever au u-'intelligence' wa mhusika.

Mtu intelligent au clever anaweza vile vile kuwa ni mtu wa pupa, mtu asiye kuwa na subira na jambo; kulikalia na kulitafakari kwa kina kabla ya kulitolea uamzi au maelezo.
Je, mtu anaye semwa kuwa na "busara/hekima", ni sawa na ambaye ni 'intelligent', au 'clever; au hiyo ni sifa ya kipekee inayo jitosheleza yenyewe'?

Tundu Lissu; kwa maoni yangu ni 'intelligent', kuliko kuwa 'clever'. Mtu 'clever (mjanja mjanja) anazo sifa, ni 'calculating', mwepesi wa kutumia 'advantage' kwa upande wake.

Kwenye swala hili, Lissu haonyeshi kuwa ni 'clever'.

Mtu mwenye sifa ya kuwa 'intelligent', ni yule anaye 'grasp' mambo mapya haraka na kuyaelewa. Tundu Lissu uwezo huo anao; ila hana subira, na hana ujanja ujanja (cleverness) ya kutumia hali hiyo effectively kwa manufaa yake kama ulivyo eleza kwenye mada yako.

Kama kiongozi mkubwa wa kisiasa, itamlazimu sana hii tabia ya kurukia mambo haraka haraka na kuyatolea msimamo aitafutie njia ya kuifubisha.
Nenda Oxford Dictionary uone kuna tofauti kubwa sana kati ya mtu kuwa Clever na Intelligent!

Clever person is somebody who is quick on learning and understanding but Intelligent person is somebody who is good at learning and reasoning in a logical way!

Clever person anaweza kupata alama A katika masomo ( Division 1 point 7) but anaweza kuwa siyo mtu Intelligent!
Mtu anaweza kupata makarai ( alama C ) katika masomo yake yote na akawa mtu Intelligent sana!
Being intelligent is more than just being a mere Clever!

Hizi Intelligence Bureau zote Duniani haziajiri watu kwasababu ni Clever na wamepata alama A katika masomo yao!
After all ndio maana zinaitwa Intelligence Bureaus!
 
Nimemsikiliza Tundu Lissu kwa makini sana!

Nina sympathize naye kwa masaibu aliyopata lakini kwenye hili jambo kakurupuka sana!

Huwezi shinda vita yoyote ya maana bila mkakati wa maana!
(The Art of War by Sun Zu)!

Tundu Lissu angejipa muda kwanza na angefuatilia hiyo case ya Uingereza huku akikusanya ushahidi taratibu.

Angesubiri aone pia kama Judgement ingekuwa in favor ya huyo Whistle Blower wake Michael Clifford then angekuwa kwenye position nzuri ya kufanya well informed decision!

Kaonyesha weakness kubwa sana, sema tu watu wengi ni mediocres wanamsifia tu bila reasoning ya maana!

Sana sana nimemsikia akibeza Mahakama zetu za Profesa Juma!!

Soma Pia:

Ameonyesha tamaa ya kulipwa mapesa mengi na Tigo!! Amedhihirisha pia siyo mzalendo na kumbe ni kweli Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwamba anashirikuana na maadui zetu kukamata Ndege zetu!!

Tundu Lissu ni mkurupukaji sana! Utulivu zero kabisa!
Mwenzio ni mwanasheria ..Unadhani mikakati atakuambia Kila kitu
 
Kuna relation gani ya serikali kuomba info za Lissu kutoka TiGO na maamuzi ya kushambuliwa (kama based on that info).

Seriously watanzania mnaitaji kunyooshwa the reasoning of you people is way below developed nations.

Magufuli alikuwa soft anahitajika mtu wa kuwapa life perspective, mnaishi kwenye dunia moja ambayo mambo ni rahisi sana.

..TIGO wamevunja sheria kwa kumdukua Tundu Lissu, hilo halina ubishi.

..sasa namna ya kuwaunganisha waliodukua na shambulizi dhidi ya Lissu ni kikwazo ambacho mawakili wake watapaswa wakivuke.

..Natarajia mahakama itaweza kuwatambua wahanga wengine waliodukuliwa na TIGO. Je, TIGO ilihusika kuwadukua Ben Saanane, Azory Gwanda, Benard Membe, na wengine? Na udukuaji wa TIGO ulifanyika kwa muda gani?
 
Nimemsikiliza Tundu Lissu kwa makini sana!

Nina sympathize naye kwa masaibu aliyopata lakini kwenye hili jambo kakurupuka sana!

Huwezi shinda vita yoyote ya maana bila mkakati wa maana!
(The Art of War by Sun Zu)!

Tundu Lissu angejipa muda kwanza na angefuatilia hiyo case ya Uingereza huku akikusanya ushahidi taratibu.

Angesubiri aone pia kama Judgement ingekuwa in favor ya huyo Whistle Blower wake Michael Clifford then angekuwa kwenye position nzuri ya kufanya well informed decision!

Kaonyesha weakness kubwa sana, sema tu watu wengi ni mediocres wanamsifia tu bila reasoning ya maana!

Sana sana nimemsikia akibeza Mahakama zetu za Profesa Juma!!

Soma Pia:

Ameonyesha tamaa ya kulipwa mapesa mengi na Tigo!! Amedhihirisha pia siyo mzalendo na kumbe ni kweli Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwamba anashirikuana na maadui zetu kukamata Ndege zetu!!

Tundu Lissu ni mkurupukaji sana! Utulivu zero kabisa!
Wewe nae utakuwa una husika na jaribio la kutaka kumfuta Tundu Lissu.
 
Tatizo lako na Tundu Lissu ni moja!

Ukurupukaji! Hujasoma hata hoja yangu umeshakurupuka!
Mimi nimembeza Tundu Lissu anavyo approach mambo na hasa jambo kubwa kama hili!

Hapo juu nimesema Nina sympathize naye ktk masaibu yake lakini unanilaumu!

Najua hujui maana ya Sympathize na masaibu na kwa kifupi wewe ni mediocre au kilaza tu!
Kuna technics za kupresent jambo linapokuwa hot kujenga tention ili kupata hapari nyingine zaidi ili kukusaidia katika uchunguzi wako. Hapo kamkurupusha ngiri kwenye shimo lake lazima ahahe. Unajua jambo lolote zito kama hili la lisu usipo lifanyia kazi kwsa mda mrefu ktk mifumo inayokubalika unaruhusu, Bush process of ku take Action. Mpaka sasa Lisu hajaliweka hili swala kisheria kwasababu hana shahidi hata mmoja ambaye anaweza kumwambia moja kwa moja aliye kupiga Risasi ni huyu kwahiyo analipeleka kisiasa, huku akiwavutia kasi watu anao wahisi au kutonywa kuwa ndiyo hao walio fanya hilo tukio wajikamatishe wenyewe na wahusika nao ni wajanja sana. Wanajua kabisa nia ya Lisu ni nini.
 
Nimemsikiliza Tundu Lissu kwa makini sana!

Nina sympathize naye kwa masaibu aliyopata lakini kwenye hili jambo kakurupuka sana!

Huwezi shinda vita yoyote ya maana bila mkakati wa maana!
(The Art of War by Sun Zu)!

Tundu Lissu angejipa muda kwanza na angefuatilia hiyo case ya Uingereza huku akikusanya ushahidi taratibu.

Angesubiri aone pia kama Judgement ingekuwa in favor ya huyo Whistle Blower wake Michael Clifford then angekuwa kwenye position nzuri ya kufanya well informed decision!

Kaonyesha weakness kubwa sana, sema tu watu wengi ni mediocres wanamsifia tu bila reasoning ya maana!

Sana sana nimemsikia akibeza Mahakama zetu za Profesa Juma!!

Soma Pia:

Ameonyesha tamaa ya kulipwa mapesa mengi na Tigo!! Amedhihirisha pia siyo mzalendo na kumbe ni kweli Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwamba anashirikuana na maadui zetu kukamata Ndege zetu!!

Tundu Lissu ni mkurupukaji sana! Utulivu zero kabisa!

Mwacheni afungue kesi. Punguzeni unafiki. Ameshambuliwa na hakuna uchunguzi umefanyika. Kaamua kufungua kesi mnaanza kulalamika.
 
Tatizo lako na Tundu Lissu ni moja!

Ukurupukaji! Hujasoma hata hoja yangu umeshakurupuka!
Mimi nimembeza Tundu Lissu anavyo approach mambo na hasa jambo kubwa kama hili!

Hapo juu nimesema Nina sympathize naye ktk masaibu yake lakini unanilaumu!

Najua hujui maana ya Sympathize na masaibu na kwa kifupi wewe ni mediocre au kilaza tu!

Siku ukipigwa risasi ya mguuni moja tu, hutaongea huu ujinga. Mnataka Lissu akake kimya wakati amepata prima facie evidence ya kiwanja waliomshambulia.
 
..TIGO wamevunja sheria kwa kumdukua Tundu Lissu, hilo halina ubishi.

..sasa namna ya kuwaunganisha waliodukua na shambulizi dhidi ya Lissu ni kikwazo ambacho mawakili wake watapaswa wakivuke.

..Natarajia mahakama itaweza kuwatambua wahanga wengine waliodukuliwa na TIGO. Je, TIGO ilihusika kuwadukua Ben Saanane, Azory Gwanda, Benard Membe, na wengine? Na udukuaji wa TIGO ulifanyika kwa muda gani?
Kampuni ya simu haiwezi kumdukua mtu hizo info zipo kwenye data base zao (kote duniani).

Serikali ikitaka hizo info uwezi zuia, kuna rules of engagement na sheria za nchi usika ambazo lazima wawe adhered too.

Msingi wa lawama zenu kwa TiGO is because Lissu told you so. Halikadhalika hakuna kampuni ya simu itatoa info za mteja wake bila ya shinikizo la serikali using specific laws.

Lissu angekuwa mteja wa Voda, Airtel, Halotel, TTCL or any other suppliers; serikali ingewafuata na ku-demand info ya track zake in the name of national security hakuna wakukataa given the law.

Lissu was too emotional kwenye speech yake, but not realistic.
 
Kampuni ya simu haiwezi kumdukua mtu hizo info zipo kwenye data base zao (kote duniani).

Serikali ikitaka hizo info uwezi zuia, kuna rules of engagement na sheria za nchi usika ambazo lazima wawe adhered too.

Msingi wa lawama zenu kwa TiGO is because Lissu told you so. Halikadhalika hakuna kampuni ya simu itatoa info za mteja wake bila ya shinikizo la serikali using specific laws.

Lissu angekuwa mteja wa Voda, Airtel, Halotel, TTCL or any other suppliers; serikali ingewafuata na ku-demand info ya track zake in the name of national security hakuna wakukataa given the law.

Lissu was too emotional kwenye speech yake, but not realistic.

Wewe hakuna unalojua. Tangu ushindwe kujua tofauti ya AU Chairperson na AU Commission Chairperson huwa nakuona Kama mjuaji asiyejua kitu.

Kisheria, ili serikali ivhukue taarifa za mteja ni lazima iombe kibali mahakamani.
 
Back
Top Bottom