Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Jeshi la Mtu mmoja, ni Kama Batalioni nzima

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Jeshi la Mtu mmoja, ni Kama Batalioni nzima

Tundu Lissu anawambia wananchi matrilioni wa Lamadi kwamba wanunuzi wakubwa wa pamba ni maCCM na wanainunua kwa mali kauli aka stakabadhi gharani kupitia AMCOS wanaifanyia biashara, wanatajirika ndio wanawaletea wakulima 700/kilo…

Asante Mungu kwa kuwa Lissu
 
Tundu Lissu anawambia wananchi matrilioni wa Lamadi kwamba wanunuzi wakubwa wa pamba ni maCCM na wanainunua kwa mali kauli aka stakabadhi gharani kupitia AMCOS wanaifanyia biashara, wanatajirika ndio wanawaletea wakulima 700/kilo…

Asante Mungu kwa kuwa Lissu
Somo rahisi sana na linaeleweka hata kwa raia mwenye kisomo kidogo.

Hiyo ni dalili moja nzuri kwa kiongozi mzuri. Kuwa na uwezo wa kuyaeleza mambo magumu na kuyafanya yaeleweke kirahisi na watu wengi.
 
Kwenye uchaguzi kuwa jeshi la mtu mmoja huwezi kushinda kura.Teamwork ya kufa mtu inatakiwa.Na chama kinatakiwa kuwa maarufu kuliko mgombea ili kushinda sio mgombea pekee awe mnaarufu kuliko chama

Watu wanaongelea Lisu kuliko CHADEMA kuna shida ya ushindi hapo na zimebaki siku tisa tu za kampeni hilo kosa too late haliwezi sahihishika!!! jiandaeni huyu mtu wenu jeshi la mtu mmoja kuporomoka vibaya kwenye kura
 
Hapa ndipo CHADEMA mnafail, lakini sijui kama hamtambui kuwa mnafail.

CHADEMA , Mnatambua kuwa serikali is just a system na sio mtu mmoja.

Endapo kweli mtachukua Madaraka, sijui hii serikali mtaiendeshaje ikiwa mna mgombea wa urais peke yake ambaye mnaamini yupo imara.
Waliobaki wote ni utopolo tu.
 
Salute kwa mtoa hoja,hii ndiyo hoja ya levels za Great Thinker.

Nguvu ya Mh.Lissu IPO kwa wananchi,haiwezi kushindwa na kitu chochote.Busara kwa watawala ni kusikiliza sauti ya Wananchi kupitia sanduku LA kura na siyo vinginevyo.Kupangilia uchakachuaji ni hatari kwa usalama wa taifa letu LA Tanzania.
 
Watu wanashangaa Mbowe kutokuwepo kampeni za Lissu, sio kitu cha ajabu ile ni strategy. Ukweli ni kua watu wengi wanapata picha mbaya wakimuona Mbowe sababu kuna maneno ya chinichini mara anataka kua mwenyekiti wa milele, mara anapiga sana tungi na wanawake. Lissu kujionyesha kama kajitenga ni strategy nzuri sana.
Wewe acha porojp Mwenyeliti yuko na harakato zingine za kupambana na wizi wa kura. Tumejipanga aisee
 
Salute kwa mtoa hoja,hii ndiyo hoja ya levels za Great Thinker.
Nguvu ya Mh.Lissu IPO kwa wananchi,haiwezi kushindwa na kitu chochote.Busara kwa watawala ni kusikiliza sauti ya Wananchi kupitia sanduku LA kura na siyo vinginevyo.Kupangilia uchakachuaji ni hatari kwa usalama wa taifa letu LA Tanzania.
Tulishaishauri system na kwamba ina mtihani mgumu kukubaliana na matakwa ya wananchi au kuitumbukiza nchi machafukoni.
 
Kwenye uchaguzi kuwa jeshi la mtu mmoja huwezi kushinda kura.Teamwork ya kufa mtu inatakiwa.Na chama kinatakiwa kuwa maarufu kuliko mgombea ili kushinda sio mgombea pekee awe mnaarufu kuliko chama

Watu wanaongelea Lisu kuliko CHADEMA kuna shida ya ushindi hapo na zimebaki siku tisa tu za kampeni hilo kosa too late haliwezi sahihishika!!! jiandaeni huyu mtu wenu jeshi la mtu mmoja kuporomoka vibaya kwenye kura
Kutokana na kauli yako nitakujibu kwa picha pamoja na maelezo.

Wakati mnawanyang'anya upinzani manispaa za jiji la Dar, mliwaleta hadi kina Ndalichako mkadai ni wakazi na wapiga kura wa Dar, sasa hivi wapo Kasulu huko wanalalamika raia wanakunywa matope na nyie mko kwenye mafuriko.

Wekeni mpira kwa ground muone saa 3 asubuhi tumemaliza kazi

IMG_20201014_201210.jpg
 
Sikutegemea mtu aliyevunjwa vunjwa kila mahali kwa bunduki angekuwa na uwezo mkubwa wa kuongea kama Lissu.
Kama bado tunasita kumchagua tujiulize kwanini Mungu hakuruhusu afe.

Tutajuta sana endapo hatutaelewa lugha ya Mungu kupitia uponyaji wa Lissu.
 
Baada ya uchaguzi atafukuza sana watu
Hawezi maana atabakia kuwa Mwenyekiti wa CCM Mpya, anaweza kuwatimua labda Bashiri na Polepole tu.Viongozi na watumishi wa serikali hawezi maana hatakuwa na mandate tena!

Tuache kuwajaza Watanzania hofu isiyokuwepo.
 
Kutokana na kauli yako nitakujibu kwa picha pamoja na maelezo.

Wakati mnawanyang'anya upinzani manispaa za jiji la Dar, mliwaleta hadi kina Ndalichako mkadai ni wakazi na wapiga kura wa Dar, sasa hivi wapo Kasulu huko wanalalamika raia wanakunywa matope na nyie mko kwenye mafuriko.

Wekeni mpira kwa ground muone saa 3 asubuhi tumemaliza kazi

View attachment 1601836
Wewe ni shida[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu mtu hata Mimi nimeogopa aisee ..

Jamaa anatembea mwenyewe ila anakusanya Kijiji


Imagine msafara wa Lissu ana magari 2 au 3 hivi lakini jamaa ni mwiba sana.
Binadamu wa aina ya lissu ni wachache sana duniani mkuu, na mara nyingi mamlaka huo haziwataki kbs tokana na caliber yao ya kusimama upande wa haki na wanaodhulumiwa, wengi wao huo wanaishia kuwa eliminated.
 
Asipite kwa matembezi au? Manake uwezekano wa kutoboa kama uchaguzi utakuwa hutu ni mdogo. Kibaya dunia kwa mara ya kwanza imekaa upande usio wa sisiemu. Kuna hatari kubwa
Pia atauwna, atatesa Sana na Kuna maeneo hatokaa akanyage miaka yote 5. Mfano Kagera.

Kuepusha Shari yote hii huyu jamaa assipite kabisa.
 
Back
Top Bottom