Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Jeshi la Mtu mmoja, ni Kama Batalioni nzima

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Jeshi la Mtu mmoja, ni Kama Batalioni nzima

Kutokana na kauli yako nitakujibu kwa picha pamoja na maelezo.

Wakati mnawanyang'anya upinzani manispaa za jiji la Dar, mliwaleta hadi kina Ndalichako mkadai ni wakazi na wapiga kura wa Dar, sasa hivi wapo Kasulu huko wanalalamika raia wanakunywa matope na nyie mko kwenye mafuriko.

Wekeni mpira kwa ground muone saa 3 asubuhi tumemaliza kazi

View attachment 1601836
HIyo picha ya Raisi kupiga magoti huielewi kuna miko ukitaka kuwaonyesha unaomba jambo kubwa unapiga magoti ukiwaomba

Hayo maeneo machifu hupigiwa magoti ukienda kuomba kitu ni mila za maeneo husika ila wewe sababu hujui .Watu uwaomba jambo kubwa kule kwa mila zao unapiga goti

Lisu wenu kasaimama wima na mikono kaweka mifukoni alipopita kule halafu ohhh naomba kura!!!!! ASubiri maeneo hayo Magufuli alipiga magoti atapata kura ngapi na yeye Lisu Mbelgiji asiyejua mila na desturi za eneo atapata kura ngapi

Ni kama kilimanjaro ukiona mtu amebabe jani la Isare ujue ni jambo kubwa

WAtu wa kule wamemwelewa
 
Binadamu wa aina ya lissu ni wachache sana duniani mkuu, na mara nyingi mamlaka huo haziwataki kbs tokana na caliber yao ya kusimama upande wa haki na wanaodhulumiwa, wengi wao huo wanaishia kuwa eliminated.
angekuwa msimamia kwenye haki asingemfukuza Zitto CHADEMA
 
Wewe acha porojp Mwenyeliti yuko na harakato zingine za kupambana na wizi wa kura. Tumejipanga aisee
Tatizo makalio mnaopenda vyama vyama mkiambiwa kitu negative tu mnaanza kuwashwa, mkuu kura yangu hata mimi Lissu ntampa ila haimaanishi napenda kila mtu aliyepo CDM, CDM imejaa watu ovyo sawa na vyama vingine vyote, na Lissu ni kwa sababu ana uafadhali kuliko wengine, magufuli ni kimeo number moja.
 
Kwa bandiko hili heshima kwako kaka.
 
IMG-20201016-WA0018.jpg
 
Hawezi maana atabakia kuwa Mwenyekiti wa CCM Mpya, anaweza kuwatimua labda Bashiri na Polepole tu.Viongozi na watumishi wa serikali hawezi maana hatakuwa na mandate tena!
Tuache kuwajaza Watanzania hofu isiyokuwepo.
Sawa mkuu
 
Kutokana na kauli yako nitakujibu kwa picha pamoja na maelezo.

Wakati mnawanyang'anya upinzani manispaa za jiji la Dar, mliwaleta hadi kina Ndalichako mkadai ni wakazi na wapiga kura wa Dar, sasa hivi wapo Kasulu huko wanalalamika raia wanakunywa matope na nyie mko kwenye mafuriko.

Wekeni mpira kwa ground muone saa 3 asubuhi tumemaliza kazi

View attachment 1601836
Huyo tumbo tumbo ni Lugola?Ameshaanza kuvaa yebo yebo mara hii au ni usanii wake?Mbona mapema sana!Hii ni Ibada ya kuabudu nini ambayo Lugola anaonekana ndiyo Mchungaji na jamaa wapo kuungama/kusujudu!
 
Kwa wakristo, tunafahamu na kusoma habari za mtume na nabii mkuu kuliko wote, Yesu Kristo..

Ujio wa Yesu Kristo, zamani zile za utawala wa Kirumi ulikuwa kama utani vile, kama mtoto wa fundi seremala wa mtaa wa nne ule kule waishio masikini..

Alipoanza kuhubiri habari njema za wokovu na uhuru wa binadamu, ubaya na unafiki wa watawal, watu walivutiwa sana na hotuba sake. Hii ikamfanya apate wafuasi wengi waliomfuata huko na huko wakitaka kusikia toka kwake kila wakati..

Kila mji na kijiji alichoingia, watu maelfu kwa maelfu walijitokeza kumsikiliza mafundisho yake, maelekezo yake kwa watu bila matangazo ya TV wala mabango..

Watawala wa serikali ya Kaisari kwa kuiona hatari ya kupoteza NGUVU na MAMLAKA yao ya utawala kwa jinsi watu walivyokuwa influenced na imani na hotuba za Kristo, walianza kutafuta namna ya kuzuia hilo lisitokee..

Kifo ndiyo ilikuwa option ya mwisho baada zingine zote kushindwa kufanya kazi...

Lakini hawakujua kuwa hiyo imeshaamuliwa na kwamba njia yoyote wanayoiwazia na kuiona wao kama kikwazo kwake kuendelea mbele kwake, iligeuka kuwa kichocheo cha hamasa kwa watu..

Cheki tu. Walidhani kifo ndiyo mwisho wake kabisa. Hawakutambua kuwa ndani ya kifo ndimo mlimokuwa ukombozi..

Hakukuwa na mtu wala kitu cha kuzuia kikiwemo kifo ama fedha au bunduki ama mabomu...

Hili la ujio wa Tundu Lissu, nalifananisha na ujio wa Kristo wakati ule.

Ktk namna ambayo hakuna mtu anayeweza kuja kuamini, Tundu Lissu atakuwa Rais wa JMT 100%....!!!
 
Back
Top Bottom