Tundu Lissu ni mchoyo na mbinafsi, politicaly speaking

Tundu Lissu ni mchoyo na mbinafsi, politicaly speaking

hakuna mdau wa heshima wa JF anaweza kubabaika na mtu wa mihemko na kuporomosha matusi kama wewe gentleman 🐒

yaani mtu mwerevu na timamu wa akili ana tukana hivyo, kweli?

nakushuri tu kama mdau wa JF,
ikiwa hoja imekuzidi kiwango cha uzito wa fikra zako , na huna mawazo mapya mbadala,

kaa kimya tu na ujifunze kwa wenye mawazo bora zaidi, kuliko kuporomosha matusi mazito mazito. Unawakwaza wadau, na kujivunjia heshima wewe mwenyewe,

acha hiyo tabia, sawa gentleman?🐒
Ushampikia mumeo?
 
nadhani Tatizo kubwa ni ubinafsi, uchoyo, uchu na ulafu wa madaraka na chuki miongoni mwa upinzani ndiyo haswa kuchocheo cha hayo yote,

hata hivyo,
uzalendo wenye mashaka juu ya vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi umezidisha udhaifu wa upinzani, kiasi kwamba wanaishia kulaumiana wao kwa wao dhidi ya mifumo ya vyama vingine 🐒
Mbinyo wa dola na mazingira mabaya yaliyopo kwa vyama vya upinzani kufanya wajibu wao kikatiba yanawasukuma kuwa km wanavyofanya..wakati mwingine kuwalaumu wao kabla ya kumlaumu anayefanya wawe hivyo si sahihi..wao wana-reciprocate kwa yale wanafanyiwa.
 
Hana uchungu na chadema, na huenda hata kadi yake ya uanachama hajailipia kwa kipindi kirefu sana.

Infact,
Kibaraka ni mchoyo na mbinafsi asiependa kutoa bali kupokea tu, tena kwa kuombaomba kuchangiwa na wadau, kwa maigizo yenye hisia kali za kusisimua, akitia huruma na unyonge kupindukia ili aonewe huruma na watu na aonekane ni mtu wa shida na taabu sana, anaehitaji kusaidiwa sana, kumbe uvivu tu na mazoea mabaya ya kuomba omba.

Mtu wa aina hii hafai kua kiongozi, ni muhimu sana akakataliwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema taifa, na kwakweli hastahili kabisa kuchaguliwa kua mwenyekiti wa Chadema taifa na chama kingine cha siasa.

Ni aibu na mzigo kwa chama cha siasa kua na kiongozi wa aina ya huyu ambae ni mchoyo asieweza kujitegemea, mvivu, mbinafsi na omba omba kama huyu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.🐒


Heri ya mwaka mpya familia.

Mungu Ibariki Tanzania.
Ngumu sana kumchafua lisu maan amenyooka na mwana mapinduzi kabisa.
 
Mbinyo wa dola na mazingira mabaya yaliyopo kwa vyama vya upinzani kufanya wajibu wao kikatiba yanawasukuma kuwa km wanavyofanya..wakati mwingine kuwalaumu wao kabla ya kumlaumu anayefanya wawe hivyo si sahihi..wao wana-reciprocate kwa yale wanafanyiwa.
Gentleman,
kwamba eti CCM itengeneze mazingira mazuri kwa upinzani kufanya wajibu wao wa kikatiba, kwasabb yenyewe ni kanisa sio chama cha siasa, right?

au ni kwa vile yenyewe haitaki mazingira mazuri na haitaki kua imara zaidi au imetosheka?

ni kitu cha ajabu eti chama cha siasa kimoja kinalilia au kulaumu mfumo wa chama kingine.

si watumie mifumo yao kushawishi wananchi wawaunge mkono sasa gentleman 🐒
 
Ngumu sana kumchafua lisu maan amenyooka na mwana mapinduzi kabisa.
Gentleman,
mwaka 2025, ni kuelezana na kuambiana ukweli tu, Kibaraka ni mchoyo na mbinafsi mno kiukweli.
hapendi kutoa bali kupokea tu.

Lakini pia hii ya kuzushiana eti fulani ni mla rushwa na wewe si mla rushwa bila uthibitisho ni useless na completely nonsense 🐒
 
work hard kuyapiromosha gentleman,

najua utakua umeyapanga vizuri hasa ndungu mtukanaji kwenye jukwaa hili muhimu na la heshima 🤣
Hujajibu swali muandiko wa Bata,Je mumeo ushampikia?
 
Hana uchungu na chadema, na huenda hata kadi yake ya uanachama hajailipia kwa kipindi kirefu sana.

Infact, Kibaraka ni mchoyo na mbinafsi asiependa kutoa bali kupokea tu, tena kwa kuombaomba kuchangiwa na wadau, kwa maigizo yenye hisia kali za kusisimua, akitia huruma na unyonge kupindukia ili aonewe huruma na watu na aonekane ni mtu wa shida na taabu sana, anaehitaji kusaidiwa sana, kumbe uvivu tu na mazoea mabaya ya kuomba omba.

Mtu wa aina hii hafai kua kiongozi, ni muhimu sana akakataliwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema taifa, na kwakweli hastahili kabisa kuchaguliwa kua mwenyekiti wa Chadema taifa na chama kingine cha siasa.

Ni aibu na mzigo kwa chama cha siasa kua na kiongozi wa aina ya huyu ambae ni mchoyo asieweza kujitegemea, mvivu, mbinafsi na omba omba kama huyu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.🐒

Heri ya mwaka mpya familia.

Mungu Ibariki Tanzania.
Gentleman man omba omba na fisadi yupi ni bora?
 
Hana uchungu na chadema, na huenda hata kadi yake ya uanachama hajailipia kwa kipindi kirefu sana.

Infact, Kibaraka ni mchoyo na mbinafsi asiependa kutoa bali kupokea tu, tena kwa kuombaomba kuchangiwa na wadau, kwa maigizo yenye hisia kali za kusisimua, akitia huruma na unyonge kupindukia ili aonewe huruma na watu na aonekane ni mtu wa shida na taabu sana, anaehitaji kusaidiwa sana, kumbe uvivu tu na mazoea mabaya ya kuomba omba.

Mtu wa aina hii hafai kua kiongozi, ni muhimu sana akakataliwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema taifa, na kwakweli hastahili kabisa kuchaguliwa kua mwenyekiti wa Chadema taifa na chama kingine cha siasa.

Ni aibu na mzigo kwa chama cha siasa kua na kiongozi wa aina ya huyu ambae ni mchoyo asieweza kujitegemea, mvivu, mbinafsi na omba omba kama huyu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.🐒

Heri ya mwaka mpya familia.

Mungu Ibariki Tanzania.
Wewe ni mjinga na wala uchafu wako huu hautabadilisha chochote mama lako kuondoshwa kwa aibu. Baba Yako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Jinga na shetani wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Wewe ni mjinga na wala uchafu wako huu hautabadilisha chochote mama lako kuondoshwa kwa aibu. Baba Yako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Jinga na shetani wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
s🤣 sasa mjanja mbona una makasiriko na mihemko tu 🤣

yaani umeamua kua dicteta hadi kwa Mungu?🤣

Jikite kwenye hoja bila mihemko gentleman 🐒
 
Hana uchungu na chadema, na huenda hata kadi yake ya uanachama hajailipia kwa kipindi kirefu sana.

Infact, Kibaraka ni mchoyo na mbinafsi asiependa kutoa bali kupokea tu, tena kwa kuombaomba kuchangiwa na wadau, kwa maigizo yenye hisia kali za kusisimua, akitia huruma na unyonge kupindukia ili aonewe huruma na watu na aonekane ni mtu wa shida na taabu sana, anaehitaji kusaidiwa sana, kumbe uvivu tu na mazoea mabaya ya kuomba omba.

Mtu wa aina hii hafai kua kiongozi, ni muhimu sana akakataliwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema taifa, na kwakweli hastahili kabisa kuchaguliwa kua mwenyekiti wa Chadema taifa na chama kingine cha siasa.

Ni aibu na mzigo kwa chama cha siasa kua na kiongozi wa aina ya huyu ambae ni mchoyo asieweza kujitegemea, mvivu, mbinafsi na omba omba kama huyu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.🐒

Heri ya mwaka mpya familia.

Mungu Ibariki Tanzania.
WIVUUUUUU TU
 
Hana uchungu na chadema, na huenda hata kadi yake ya uanachama hajailipia kwa kipindi kirefu sana.

Infact, Kibaraka ni mchoyo na mbinafsi asiependa kutoa bali kupokea tu, tena kwa kuombaomba kuchangiwa na wadau, kwa maigizo yenye hisia kali za kusisimua, akitia huruma na unyonge kupindukia ili aonewe huruma na watu na aonekane ni mtu wa shida na taabu sana, anaehitaji kusaidiwa sana, kumbe uvivu tu na mazoea mabaya ya kuomba omba.

Mtu wa aina hii hafai kua kiongozi, ni muhimu sana akakataliwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema taifa, na kwakweli hastahili kabisa kuchaguliwa kua mwenyekiti wa Chadema taifa na chama kingine cha siasa.

Ni aibu na mzigo kwa chama cha siasa kua na kiongozi wa aina ya huyu ambae ni mchoyo asieweza kujitegemea, mvivu, mbinafsi na omba omba kama huyu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.🐒

Heri ya mwaka mpya familia.

Mungu Ibariki Tanzania.
Wewe ndiye mwenye uchungu na chadema?
 
Wewe ndiye mwenye uchungu na chadema?
wajumbe wa mkutano mkuu chadema taifa, ndiyo hasa wenye uchungu kwa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kutaka kuvuruga na kukipa sifa na sura mbaya chama chao kwa jamii,

wanadai kumaliza kazi Jan,22,2025 :pedroP:
 
wajumbe wa mkutano mkuu chadema taifa, ndiyo hasa wenye uchungu kwa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kutaka kuvuruga na kukipa sifa na sura mbaya chama chao kwa jamii,

wanadai kumaliza kazi Jan,22,2025 :pedroP:
Wewe ndiye mwenye uchungu na chadema
 
Back
Top Bottom