Tundu Lissu ni mchoyo na mbinafsi, politicaly speaking

Ushampikia mumeo?
 
Mbinyo wa dola na mazingira mabaya yaliyopo kwa vyama vya upinzani kufanya wajibu wao kikatiba yanawasukuma kuwa km wanavyofanya..wakati mwingine kuwalaumu wao kabla ya kumlaumu anayefanya wawe hivyo si sahihi..wao wana-reciprocate kwa yale wanafanyiwa.
 
Ngumu sana kumchafua lisu maan amenyooka na mwana mapinduzi kabisa.
 
Gentleman,
kwamba eti CCM itengeneze mazingira mazuri kwa upinzani kufanya wajibu wao wa kikatiba, kwasabb yenyewe ni kanisa sio chama cha siasa, right?

au ni kwa vile yenyewe haitaki mazingira mazuri na haitaki kua imara zaidi au imetosheka?

ni kitu cha ajabu eti chama cha siasa kimoja kinalilia au kulaumu mfumo wa chama kingine.

si watumie mifumo yao kushawishi wananchi wawaunge mkono sasa gentleman πŸ’
 
Ngumu sana kumchafua lisu maan amenyooka na mwana mapinduzi kabisa.
Gentleman,
mwaka 2025, ni kuelezana na kuambiana ukweli tu, Kibaraka ni mchoyo na mbinafsi mno kiukweli.
hapendi kutoa bali kupokea tu.

Lakini pia hii ya kuzushiana eti fulani ni mla rushwa na wewe si mla rushwa bila uthibitisho ni useless na completely nonsense πŸ’
 
Ushampikia mumeo?
work hard kuyapiromosha gentleman,

najua utakua umeyapanga vizuri hasa ndungu mtukanaji kwenye jukwaa hili muhimu na la heshima 🀣
 
work hard kuyapiromosha gentleman,

najua utakua umeyapanga vizuri hasa ndungu mtukanaji kwenye jukwaa hili muhimu na la heshima 🀣
Hujajibu swali muandiko wa Bata,Je mumeo ushampikia?
 
Gentleman man omba omba na fisadi yupi ni bora?
 
Wewe ni mjinga na wala uchafu wako huu hautabadilisha chochote mama lako kuondoshwa kwa aibu. Baba Yako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Jinga na shetani wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Wewe ni mjinga na wala uchafu wako huu hautabadilisha chochote mama lako kuondoshwa kwa aibu. Baba Yako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Jinga na shetani wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
s🀣 sasa mjanja mbona una makasiriko na mihemko tu 🀣

yaani umeamua kua dicteta hadi kwa Mungu?🀣

Jikite kwenye hoja bila mihemko gentleman πŸ’
 
WIVUUUUUU TU
 
Wewe ndiye mwenye uchungu na chadema?
 
Wewe ndiye mwenye uchungu na chadema?
wajumbe wa mkutano mkuu chadema taifa, ndiyo hasa wenye uchungu kwa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kutaka kuvuruga na kukipa sifa na sura mbaya chama chao kwa jamii,

wanadai kumaliza kazi Jan,22,2025
 
wajumbe wa mkutano mkuu chadema taifa, ndiyo hasa wenye uchungu kwa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kutaka kuvuruga na kukipa sifa na sura mbaya chama chao kwa jamii,

wanadai kumaliza kazi Jan,22,2025
Wewe ndiye mwenye uchungu na chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…