Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Mtu hatari asipuuzwe!

Jmc a. Ka jamaa mtoto wa chanika mtu Mwenye uthubutu wa kuweka jina lake jamii forums
 
Mimi nilifikiri unaonya kuhusu uongo kuropoka na kama lissu ni kibaraka hatari kumbe unaonya kuhusu uchaguzi uwe huru? Mbona uchaguzi siku zote uko huru tu. Hao wanasheria wake waliyowekwa na mabwana zake wala hawatishi kitu. Sanasana wataaibika tu
 
Mapambano ni jukwaani , sahau kumuengua Lissu
 
Naku zoom tu kwa ufifirio wa Gwajima a.k.a mshenga
 
Usitufokee kwani JF kuna watu kutoka nchi gani unaongea as if hapa Jamii forums kuna makazi ya watu wanaishi humu, tulienda kumpokea airport ni sis watu unaowaita wa Jamii forums, tulikua tunajaza nyomi kwenye mikutano yake ni sisi watu wa Jamii forums ID sio hoja mbona wewe unatumia jina fake
 
Mabashite bhana ndio zilezile akitua tu anapelekwa segerea pathetic
 
Tanzania 🇹🇿 iko salama kuliko kipindi chochote hakuna atakayechezea amani ambayo imejengwa kwa kupoteza roho za baba zetu,kwa kuzikomboa nchi zilizo kusini mwa afrika,kwa kuondoa nduli iddi amini.Leo aje kichaa mmoja awake eti HAPATATOSHA!!!!! Sisi tunamwambia patatosha na kuzidi.Ajaribu ataonja utamu.
 
Mawazo yako ni ya kijinga sana yaliyojaa Ushetani wa IBILISI. Na mara nyingi mawazo ya namna hii huwapata Mafisadi na Majizi ya nchi kutoka CCM
 
Yani bora hata corona kuliko uyu kirus lisu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti tutashtakiwa miga

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kwani chaguzi zingine huwa si huru na haki?
 
Asante kwa kuendelea kutupa ushahidi muhimu!! Ubarikiwe sana. Jiandae kuwa na huyo Magufuli wako ICC hapo next year mkijibu mashtaka yenu
 
Watasema wana vyombo vya dola watamkontrol. Kumbe vyombo vyenyewe vimeshaona anaonewa.
 

NEC wanamkata huyo, haya ishu
 
Mimi nilifikiri unaonya kuhusu uongo kuropoka na kama lissu ni kibaraka hatari kumbe unaonya kuhusu uchaguzi uwe huru? Mbona uchaguzi siku zote uko huru tu. Hao wanasheria wake waliyowekwa na mabwana zake wala hawatishi kitu. Sanasana wataaibika tu
CCM fanyeni ujinga wenu mwaka huu. Majibu mtayapata
 
Angekua hana madhara yoyote basi ata media zingekua huru kutangaza hbr zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…