Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Mtu hatari asipuuzwe!

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Mtu hatari asipuuzwe!

Hakuna haki Duniani, haki ipo mbinguni tu. Na tumejiandaa JPM ashinde ngwe ya pili kwa njia yoyote. Wazungu wanasema By any means necessary. Watanzania walioamini Lowassa atawaletea mabadiliko mpaka wakadeki Lami sio wa kuwaacha waamue wenyewe,wanaweza mchagua hata Makonda awe Raisi ukiwaacha waamue. Ni ubabe ubabe tu. Kama mnaweza ingieni msituni vinginevyo subirini JPM aapishwe November mwaka huu.Mmezoea kuambiwa maneno ya kuwapa moyo, mi nawapa live. LISSU hawezi kuwa Raisi wa Tanzania,sio Leo sio 2025 . NEVER.
Mali hawajaaingia msituni wamewakamata kama kuku tu. Na ndivyo itakavyokuwa. Kwani aliyemkamata Keita kule Mali ni CDF? Ni wale wenye njaa. Stay tuned
 
Sasa watu waelewe tunaposema Membe anajitambua na ni kiongozi, siyo hili galasha la chadema kila siku kujisifu eti HAPATATOSHA.

Kiongozi lazima uwe na watu, Membe ana watu gani, and at his age ni siasa zipi anaweza kuzifanya nje ya siasa alizojifunza ccm? Zito ndio kajichanganya kumpokea, yaani karudia makosa ya cdm ya 2015.
 
Lissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.
Kwanini ufanye mambo ya kuzinguana ndiyo ujihalalishe ?!. Mnakubalika basi wachieni wananchi waamue
 
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu kumepatikana mwamko na amsha amsha za aina yake!

Kupitia Safu hii napenda nijadili haiba ya wagombea urais aina ya Lissu!

Kwa waliopita ktk system ya kusolve migogoro ya power corridors ndani na nje ya nchi mtakubaliana nami hiki ninachokwenda kuandika hapa.

Duniani kote wanaotumika kuleta mapinduzi au kuongoza mageuzi huwa ni watu ambao hawana cha kupoteza ktk maisha (lumpen)

Lissu amepitia Kitu tunaita’Near Death Experience’ Duniani kote wanasiasa au wanaharakati waliopitia the Near death Experience huwa majasiri na hatari sana! Wanaopanga njama dhidi yao huchagua kufa au kupona.

Spirit Yao huwa ni kali sana na hubadilisha upepo wa mambo kwa kasi sana!

Wanaomsikiliza Lissu wanaweza kuona anatania au anatishia but psychologically anachoongea Lissu kinatoka moyoni na anadhamiria.

Miaka mingi tumekuwa tukisema upinzani umepoa na hamna wa kukinukisha ni kwa sababu hapajawai tokea Mtu wa kuongoza aina ya Lissu ambaye kwa hatua aliyopo ni Kama hana tena cha kupoteza ktk maisha.

Hivyo kupitia safu hii nasema tena Lissu asipuuzwe!

Anayosema kihusu uchaguzi huru na haki iwe kweli vinginevyo dunia itashangazwa na Tanzania itaandika historia mpya!

Nashauri tuwe na uchaguzi huru na haki kweli kweli!
Lissu ni mbwa tu
 
Hiyo ya near to death nakubaliana na wewe. Lakini pia wangemfuta machozi wale waliokuwa wamedhamiria kumuua. Hawajajificha na wameonekana live. Mm binafsi napenda ccm waharibu ili kinuke tupambane na ccm kwa mitutu tuone nani atapona. Maana tuna njaa, hatuna ajila, ajila zilizopo ni za makada wa ccm kwa mlango wa uteuzi alafu tanapuuzwa. Sasa kiwake tuone atakae baki, maana mpaka wakurugenzi sasa ni wateule tutaanza nao tuwamwage mavi then kieleweke.
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Hii imekaa poa. NEC na CCM wachochee haraka. kuna mazuzu ya ccm yandhani machafuko yakitolea yenyewe yatakuwa salama.

Hata huyo mwanajeshi atakuwa vitani lakini baba yake, mama yake, watoto wake na mke wake tutakuwa wote tunakula udongo huku kitaa.
Uzuzu hauchagui chama. Hata huko uliko pia kuna mazuzu, tena hatari.
 
Tatizo lako unadhani kila siku ni ijumaa
Lissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.
 
Hakuna haki Duniani, haki ipo mbinguni tu. Na tumejiandaa JPM ashinde ngwe ya pili kwa njia yoyote. Wazungu wanasema By any means necessary. Watanzania walioamini Lowassa atawaletea mabadiliko mpaka wakadeki Lami sio wa kuwaacha waamue wenyewe,wanaweza mchagua hata Makonda awe Raisi ukiwaacha waamue. Ni ubabe ubabe tu. Kama mnaweza ingieni msituni vinginevyo subirini JPM aapishwe November mwaka huu.Mmezoea kuambiwa maneno ya kuwapa moyo, mi nawapa live. LISSU hawezi kuwa Raisi wa Tanzania,sio Leo sio 2025 . NEVER.
Hakuna taifa lenye rais mlemavu! Lisu hawezi kuwa rais, time will tell
 
Hiyo ya near to death nakubaliana na wewe. Lakini pia wangemfuta machozi wale waliokuwa wamedhamiria kumuua. Hawajajificha na wameonekana live. Mm binafsi napenda ccm waharibu ili kinuke tupambane na ccm kwa mitutu tuone nani atapona. Maana tuna njaa, hatuna ajila, ajila zilizopo ni za makada wa ccm kwa mlango wa uteuzi alafu tanapuuzwa. Sasa kiwake tuone atakae baki, maana mpaka wakurugenzi sasa ni wateule tutaanza nao tuwamwage mavi then kieleweke.
Kijana kua jitambue ulipewa akil ili uish na sio kuwaza kuinuliwa na mtu
Tena usiombee vita kichaa wew kama unaona kwako itakupendeza nenda somalia huko
 
Mkuu Trust me

Lisu anaweza katwa and nothing will happen

Kinachoendelea kwa sasa ni ushabiki tu wa kawaida wa kisiasa, ila huko field jamaa wanamuona msaliti na hawatampigia kua za kutosha ashinde.

Chadema wenyewe wanafahamu hili, Urais ni habari nyingine kamanda.

Tulia uone namna Magufuli anarejea Ikulu Oktoba

Kama kawaida Tanzania ataibuka mshindi.
 
Lissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.
Msijitoe ufahamu, Lissu ni Makamu Mwenyekiti wa chama chake. Wakati wowote na muda wowote ule hakuna sheria inayomzuia kuwasiliana na Wanachama wake kama ilivyo kwa polepole, mangula, bashiru na wengineo wanavyofanya. CCM acheni bange.
 

Attachments

  • magu.jpeg
    magu.jpeg
    128.6 KB · Views: 1
Lissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.
Umeongea kama Magufuli kabisa!
Kiwango kidogo sana cha kufikiri kimetumika
 
Kijana kua jitambue ulipewa akil ili uish na sio kuwaza kuinuliwa na mtu
Tena usiombee vita kichaa wew kama unaona kwako itakupendeza nenda somalia huko

Kumbe mnaogopa tutawamwaga mavi hatuna cha kupoteza. Huamini mpaka uone na utaona sasa.
 
Back
Top Bottom