Hakuna haki Duniani, haki ipo mbinguni tu. Na tumejiandaa JPM ashinde ngwe ya pili kwa njia yoyote. Wazungu wanasema By any means necessary. Watanzania walioamini Lowassa atawaletea mabadiliko mpaka wakadeki Lami sio wa kuwaacha waamue wenyewe,wanaweza mchagua hata Makonda awe Raisi ukiwaacha waamue. Ni ubabe ubabe tu. Kama mnaweza ingieni msituni vinginevyo subirini JPM aapishwe November mwaka huu.Mmezoea kuambiwa maneno ya kuwapa moyo, mi nawapa live. LISSU hawezi kuwa Raisi wa Tanzania,sio Leo sio 2025 . NEVER.