Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jmc a. Ka jamaa mtoto wa chanika mtu Mwenye uthubutu wa kuweka jina lake jamii forumsLissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.
Kichaa ni yule aliyetuaminisha kuwa ni fisadiUchunguzi ndio unamsafisha mtu. Lissu ni kichaa
Mimi nilifikiri unaonya kuhusu uongo kuropoka na kama lissu ni kibaraka hatari kumbe unaonya kuhusu uchaguzi uwe huru? Mbona uchaguzi siku zote uko huru tu. Hao wanasheria wake waliyowekwa na mabwana zake wala hawatishi kitu. Sanasana wataaibika tuKuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu kumepatikana mwamko na amsha amsha za aina yake!
Kupitia Safu hii napenda nijadili haiba ya wagombea urais aina ya Lissu!
Kwa waliopita ktk system ya kusolve migogoro ya power corridors ndani na nje ya nchi mtakubaliana nami hiki ninachokwenda kuandika hapa.
Duniani kote wanaotumika kuleta mapinduzi au kuongoza mageuzi huwa ni watu ambao hawana cha kupoteza ktk maisha (lumpen)
Lissu amepitia Kitu tunaita’Near Death Experience’ Duniani kote wanasiasa au wanaharakati waliopitia the Near death Experience huwa majasiri na hatari sana! Wanaopanga njama dhidi yao huchagua kufa au kupona.
Spirit Yao huwa ni kali sana na hubadilisha upepo wa mambo kwa kasi sana!
Wanaomsikiliza Lissu wanaweza kuona anatania au anatishia but psychologically anachoongea Lissu kinatoka moyoni na anadhamiria.
Miaka mingi tumekuwa tukisema upinzani umepoa na hamna wa kukinukisha ni kwa sababu hapajawai tokea Mtu wa kuongoza aina ya Lissu ambaye kwa hatua aliyopo ni Kama hana tena cha kupoteza ktk maisha.
Hivyo kupitia safu hii nasema tena Lissu asipuuzwe!
Anayosema kihusu uchaguzi huru na haki iwe kweli vinginevyo dunia itashangazwa na Tanzania itaandika historia mpya!
Nashauri tuwe na uchaguzi huru na haki kweli kweli!
Mapambano ni jukwaani , sahau kumuengua LissuLissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.
Kwani we ukisingiziwa unatembea na mke wa mtu ukapigwa, mahakamani ukaonekana huna hatia, tatizo liko wapi?? Lissu ni Kichaa. Over.Kichaa ni yule aliyetuaminisha kuwa ni fisadi
Naku zoom tu kwa ufifirio wa Gwajima a.k.a mshengaLissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.
Usitufokee kwani JF kuna watu kutoka nchi gani unaongea as if hapa Jamii forums kuna makazi ya watu wanaishi humu, tulienda kumpokea airport ni sis watu unaowaita wa Jamii forums, tulikua tunajaza nyomi kwenye mikutano yake ni sisi watu wa Jamii forums ID sio hoja mbona wewe unatumia jina fakeLissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.
Mabashite bhana ndio zilezile akitua tu anapelekwa segerea patheticLissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.
Tanzania 🇹🇿 iko salama kuliko kipindi chochote hakuna atakayechezea amani ambayo imejengwa kwa kupoteza roho za baba zetu,kwa kuzikomboa nchi zilizo kusini mwa afrika,kwa kuondoa nduli iddi amini.Leo aje kichaa mmoja awake eti HAPATATOSHA!!!!! Sisi tunamwambia patatosha na kuzidi.Ajaribu ataonja utamu.Hakuna haki Duniani, haki ipo mbinguni tu. Na tumejiandaa JPM ashinde ngwe ya pili kwa njia yoyote. Wazungu wanasema By any means necessary. Watanzania walioamini Lowassa atawaletea mabadiliko mpaka wakadeki Lami sio wa kuwaacha waamue wenyewe,wanaweza mchagua hata Makonda awe Raisi ukiwaacha waamue. Ni ubabe ubabe tu. Kama mnaweza ingieni msituni vinginevyo subirini JPM aapishwe November mwaka huu.Mmezoea kuambiwa maneno ya kuwapa moyo, mi nawapa live. LISSU hawezi kuwa Raisi wa Tanzania,sio Leo sio 2025 . NEVER.
Mawazo yako ni ya kijinga sana yaliyojaa Ushetani wa IBILISI. Na mara nyingi mawazo ya namna hii huwapata Mafisadi na Majizi ya nchi kutoka CCMLissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.
Kama lile chizi linalogombea ccm LA kupiga mashangaziBinafsi nampuuza tu, ni sawa na chizi tu
Yani bora hata corona kuliko uyu kirus lisu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti tutashtakiwa migaKuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu kumepatikana mwamko na amsha amsha za aina yake!
Kupitia Safu hii napenda nijadili haiba ya wagombea urais aina ya Lissu!
Kwa waliopita ktk system ya kusolve migogoro ya power corridors ndani na nje ya nchi mtakubaliana nami hiki ninachokwenda kuandika hapa.
Duniani kote wanaotumika kuleta mapinduzi au kuongoza mageuzi huwa ni watu ambao hawana cha kupoteza ktk maisha (lumpen)
Lissu amepitia Kitu tunaita’Near Death Experience’ Duniani kote wanasiasa au wanaharakati waliopitia the Near death Experience huwa majasiri na hatari sana! Wanaopanga njama dhidi yao huchagua kufa au kupona.
Spirit Yao huwa ni kali sana na hubadilisha upepo wa mambo kwa kasi sana!
Wanaomsikiliza Lissu wanaweza kuona anatania au anatishia but psychologically anachoongea Lissu kinatoka moyoni na anadhamiria.
Miaka mingi tumekuwa tukisema upinzani umepoa na hamna wa kukinukisha ni kwa sababu hapajawai tokea Mtu wa kuongoza aina ya Lissu ambaye kwa hatua aliyopo ni Kama hana tena cha kupoteza ktk maisha.
Hivyo kupitia safu hii nasema tena Lissu asipuuzwe!
Anayosema kihusu uchaguzi huru na haki iwe kweli vinginevyo dunia itashangazwa na Tanzania itaandika historia mpya!
Nashauri tuwe na uchaguzi huru na haki kweli kweli!
Mkateni sasa muoneLisu hana lolote, zaidi sana akikatwa ataishia kulalama tu basi!
Asante kwa kuendelea kutupa ushahidi muhimu!! Ubarikiwe sana. Jiandae kuwa na huyo Magufuli wako ICC hapo next year mkijibu mashtaka yenuHakuna haki Duniani, haki ipo mbinguni tu. Na tumejiandaa JPM ashinde ngwe ya pili kwa njia yoyote. Wazungu wanasema By any means necessary. Watanzania walioamini Lowassa atawaletea mabadiliko mpaka wakadeki Lami sio wa kuwaacha waamue wenyewe,wanaweza mchagua hata Makonda awe Raisi ukiwaacha waamue. Ni ubabe ubabe tu. Kama mnaweza ingieni msituni vinginevyo subirini JPM aapishwe November mwaka huu.Mmezoea kuambiwa maneno ya kuwapa moyo, mi nawapa live. LISSU hawezi kuwa Raisi wa Tanzania,sio Leo sio 2025 . NEVER.
Watasema wana vyombo vya dola watamkontrol. Kumbe vyombo vyenyewe vimeshaona anaonewa.Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu kumepatikana mwamko na amsha amsha za aina yake!
Kupitia Safu hii napenda nijadili haiba ya wagombea urais aina ya Lissu!
Kwa waliopita ktk system ya kusolve migogoro ya power corridors ndani na nje ya nchi mtakubaliana nami hiki ninachokwenda kuandika hapa.
Duniani kote wanaotumika kuleta mapinduzi au kuongoza mageuzi huwa ni watu ambao hawana cha kupoteza ktk maisha (lumpen)
Lissu amepitia Kitu tunaita’Near Death Experience’ Duniani kote wanasiasa au wanaharakati waliopitia the Near death Experience huwa majasiri na hatari sana! Wanaopanga njama dhidi yao huchagua kufa au kupona.
Spirit Yao huwa ni kali sana na hubadilisha upepo wa mambo kwa kasi sana!
Wanaomsikiliza Lissu wanaweza kuona anatania au anatishia but psychologically anachoongea Lissu kinatoka moyoni na anadhamiria.
Miaka mingi tumekuwa tukisema upinzani umepoa na hamna wa kukinukisha ni kwa sababu hapajawai tokea Mtu wa kuongoza aina ya Lissu ambaye kwa hatua aliyopo ni Kama hana tena cha kupoteza ktk maisha.
Hivyo kupitia safu hii nasema tena Lissu asipuuzwe!
Anayosema kihusu uchaguzi huru na haki iwe kweli vinginevyo dunia itashangazwa na Tanzania itaandika historia mpya!
Nashauri tuwe na uchaguzi huru na haki kweli kweli!
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu kumepatikana mwamko na amsha amsha za aina yake!
Kupitia Safu hii napenda nijadili haiba ya wagombea urais aina ya Lissu!
Kwa waliopita ktk system ya kusolve migogoro ya power corridors ndani na nje ya nchi mtakubaliana nami hiki ninachokwenda kuandika hapa.
Duniani kote wanaotumika kuleta mapinduzi au kuongoza mageuzi huwa ni watu ambao hawana cha kupoteza ktk maisha (lumpen)
Lissu amepitia Kitu tunaita’Near Death Experience’ Duniani kote wanasiasa au wanaharakati waliopitia the Near death Experience huwa majasiri na hatari sana! Wanaopanga njama dhidi yao huchagua kufa au kupona.
Spirit Yao huwa ni kali sana na hubadilisha upepo wa mambo kwa kasi sana!
Wanaomsikiliza Lissu wanaweza kuona anatania au anatishia but psychologically anachoongea Lissu kinatoka moyoni na anadhamiria.
Miaka mingi tumekuwa tukisema upinzani umepoa na hamna wa kukinukisha ni kwa sababu hapajawai tokea Mtu wa kuongoza aina ya Lissu ambaye kwa hatua aliyopo ni Kama hana tena cha kupoteza ktk maisha.
Hivyo kupitia safu hii nasema tena Lissu asipuuzwe!
Anayosema kihusu uchaguzi huru na haki iwe kweli vinginevyo dunia itashangazwa na Tanzania itaandika historia mpya!
Nashauri tuwe na uchaguzi huru na haki kweli kweli!
CCM fanyeni ujinga wenu mwaka huu. Majibu mtayapataMimi nilifikiri unaonya kuhusu uongo kuropoka na kama lissu ni kibaraka hatari kumbe unaonya kuhusu uchaguzi uwe huru? Mbona uchaguzi siku zote uko huru tu. Hao wanasheria wake waliyowekwa na mabwana zake wala hawatishi kitu. Sanasana wataaibika tu
Angekua hana madhara yoyote basi ata media zingekua huru kutangaza hbr zakeLissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.