Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Mtu hatari asipuuzwe!

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Mtu hatari asipuuzwe!

Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu kumepatikana mwamko na amsha amsha za aina yake!

Kupitia Safu hii napenda nijadili haiba ya wagombea urais aina ya Lissu!

Kwa waliopita ktk system ya kusolve migogoro ya power corridors ndani na nje ya nchi mtakubaliana nami hiki ninachokwenda kuandika hapa.

Duniani kote wanaotumika kuleta mapinduzi au kuongoza mageuzi huwa ni watu ambao hawana cha kupoteza ktk maisha (lumpen)

Lissu amepitia Kitu tunaita’Near Death Experience’ Duniani kote wanasiasa au wanaharakati waliopitia the Near death Experience huwa majasiri na hatari sana! Wanaopanga njama dhidi yao huchagua kufa au kupona.

Spirit Yao huwa ni kali sana na hubadilisha upepo wa mambo kwa kasi sana!

Wanaomsikiliza Lissu wanaweza kuona anatania au anatishia but psychologically anachoongea Lissu kinatoka moyoni na anadhamiria.

Miaka mingi tumekuwa tukisema upinzani umepoa na hamna wa kukinukisha ni kwa sababu hapajawai tokea Mtu wa kuongoza aina ya Lissu ambaye kwa hatua aliyopo ni Kama hana tena cha kupoteza ktk maisha.

Hivyo kupitia safu hii nasema tena Lissu asipuuzwe!

Anayosema kihusu uchaguzi huru na haki iwe kweli vinginevyo dunia itashangazwa na Tanzania itaandika historia mpya!

Nashauri tuwe na uchaguzi huru na haki kweli kweli!
"Anayosema kihusu uchaguzi huru na haki iwe kweli vinginevyo dunia itashangazwa na Tanzania itaandika historia mpya!"
"Nashauri tuwe na uchaguzi huru na haki kweli kweli!"

Kwa mujibu wa sentensi hizo mbili labda niulize tu kwamba mtu hatari ni yule anae kubaliana na sentensi hizo, ama ni yule anae zikataa?
 
J3 au J4 itatoa Jibu kama Mh Rais Mtarajiwa Tundu Lissu amedhamiria au la
 
Atazimwa yeye asubuhi na watanzania wataendelea na mishe zao kama hakuna lilitokea.
Mwambieni hapa nchini siyo ubelgiji

Najua unaumia sana na haukutegemea ila ndo hivyo vumilia tu.
 
Tujipe muda,
Siku zote Lisemwalo lipo na halina taarifa huja ghafla kama kifo
 
Hakuna haki Duniani, haki ipo mbinguni tu. Na tumejiandaa JPM ashinde ngwe ya pili kwa njia yoyote. Wazungu wanasema By any means necessary. Watanzania walioamini Lowassa atawaletea mabadiliko mpaka wakadeki Lami sio wa kuwaacha waamue wenyewe,wanaweza mchagua hata Makonda awe Raisi ukiwaacha waamue. Ni ubabe ubabe tu. Kama mnaweza ingieni msituni vinginevyo subirini JPM aapishwe November mwaka huu.Mmezoea kuambiwa maneno ya kuwapa moyo, mi nawapa live. LISSU hawezi kuwa Raisi wa Tanzania,sio Leo sio 2025 . NEVER.
Msituni sio
 
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu kumepatikana mwamko na amsha amsha za aina yake!

Kupitia Safu hii napenda nijadili haiba ya wagombea urais aina ya Lissu!

Kwa waliopita ktk system ya kusolve migogoro ya power corridors ndani na nje ya nchi mtakubaliana nami hiki ninachokwenda kuandika hapa.

Duniani kote wanaotumika kuleta mapinduzi au kuongoza mageuzi huwa ni watu ambao hawana cha kupoteza ktk maisha (lumpen)

Lissu amepitia Kitu tunaita’Near Death Experience’ Duniani kote wanasiasa au wanaharakati waliopitia the Near death Experience huwa majasiri na hatari sana! Wanaopanga njama dhidi yao huchagua kufa au kupona.

Spirit Yao huwa ni kali sana na hubadilisha upepo wa mambo kwa kasi sana!

Wanaomsikiliza Lissu wanaweza kuona anatania au anatishia but psychologically anachoongea Lissu kinatoka moyoni na anadhamiria.

Miaka mingi tumekuwa tukisema upinzani umepoa na hamna wa kukinukisha ni kwa sababu hapajawai tokea Mtu wa kuongoza aina ya Lissu ambaye kwa hatua aliyopo ni Kama hana tena cha kupoteza ktk maisha.

Hivyo kupitia safu hii nasema tena Lissu asipuuzwe!

Anayosema kihusu uchaguzi huru na haki iwe kweli vinginevyo dunia itashangazwa na Tanzania itaandika historia mpya!

Nashauri tuwe na uchaguzi huru na haki kweli kweli!
hapa amekosekana tu mchungaji mtikila ili column itimie
 
Atakaye iponya nchi na atakayeiangamiza nchi ni Magufuli.
Hata kwa kikwete ngonjera zilikuwa hizihizi, mnabadilisha maneno tu tune ileile. Kwa maneno yako kuwa ni mtu hatari Basi huyu akipewa nchi ataharibu. Hatapewa.
 
Hata kwa kikwete ngonjera zilikuwa hizihizi, mnabadilisha maneno tu tune ileile. Kwa maneno yako kuwa ni mtu hatari Basi huyu akipewa nchi ataharibu. Hatapewa.
Umesoma wasifu wake hapo juu kabla ya ku comment?
 
Daaah,huku duniani bana,kuna watu walisema mpk 2020,upinzani utakua umefutika,ila naona imekua kinyume nyume.sio mchezo haya mambo
 
Hiyo ya near to death nakubaliana na wewe. Lakini pia wangemfuta machozi wale waliokuwa wamedhamiria kumuua. Hawajajificha na wameonekana live. Mm binafsi napenda ccm waharibu ili kinuke tupambane na ccm kwa mitutu tuone nani atapona. Maana tuna njaa, hatuna ajila, ajila zilizopo ni za makada wa ccm kwa mlango wa uteuzi alafu tanapuuzwa. Sasa kiwake tuone atakae baki, maana mpaka wakurugenzi sasa ni wateule tutaanza nao tuwamwage mavi then kieleweke.
haha yani kila mtu anangoja atokee mtu mwingine aanzishe ma keyboard warriors mna shida sana
 
Hiyo ya near to death nakubaliana na wewe. Lakini pia wangemfuta machozi wale waliokuwa wamedhamiria kumuua. Hawajajificha na wameonekana live. Mm binafsi napenda ccm waharibu ili kinuke tupambane na ccm kwa mitutu tuone nani atapona. Maana tuna njaa, hatuna ajila, ajila zilizopo ni za makada wa ccm kwa mlango wa uteuzi alafu tanapuuzwa. Sasa kiwake tuone atakae baki, maana mpaka wakurugenzi sasa ni wateule tutaanza nao tuwamwage mavi then kieleweke.
😀😀 mikwara mingi nyuma ya keyboard wakati live huwezi hata kutembea mwenyewe koridoni umeme ukikatika
 
Ni muhimu kujenga taifa la watu wanaoamini katika haki na kweli.
Maendeleo ya kweli na endelevu yatakuwepo pale tu raia wakiwa na Imani katika kweli, haki na usawa katika Mambo ya msingi kama uchaguzi.
Nchi zote zilizoendelea hazina udanganyifu wa wazi na ubabe katika Mambo ya msingi kama uchaguzi.
 
Back
Top Bottom