Tundu Lissu ni muda wa kuanzisha chama chako

Tundu Lissu ni muda wa kuanzisha chama chako

Tatizo lake yupo kiuharakati zaidi. Huwezi kuendesha Chama cha siasa kiuharakati kikabaki salama kwa Msajili wa vyama vya siasa
 
Umefika muda wa Tundu Lissu kuanzisha chama chako maana inaonekana Chadema kuna viongozi wanaangalia maslahi yao bali siyo ya nchi.

Hawana tofauti na mafisadi wa CCM, naamini utaondoka na wanachama wengi, tumechoka na ukondoo wa Mbowe tunataka siasa ya uanaharakati vitendo, hata Mozambique wanatushinda?
Wazo zuri sana, Akienda ACT wengi tutamfata uko , Yani Lisu na usomi wake inamaana hajui lendo la mbowe???
 
Umefika muda wa Tundu Lissu kuanzisha chama chako maana inaonekana Chadema kuna viongozi wanaangalia maslahi yao bali siyo ya nchi.

Hawana tofauti na mafisadi wa CCM, naamini utaondoka na wanachama wengi, tumechoka na ukondoo wa Mbowe tunataka siasa ya uanaharakati vitendo, hata Mozambique wanatushinda?
Nilishangaa Mbowe akitangaza church kule machame kuwa mama katoa michango wa mil 150. Juzi kanisani shoo naye kamwaga misifa kwa mama

Hakika hakuna mwanasiasa asiye na bei ni muda tu
 
Tatizo siyo kuanzisha chama tatizo ni mindset ya watanzania hasa vijana - bado hawajitambui na wengi wao wamegeukia uchawa.

Unakutana na kijana kwa miaka 27 unamwambia kuhusu katiba mpya anakujibu - "kwani ntakula katiba."

Kazi ya ukombozi wa kifikra bado ni ngumu mno ila hakuna kukata tamaa.
 
Umefika muda wa Tundu Lissu kuanzisha chama chako maana inaonekana Chadema kuna viongozi wanaangalia maslahi yao bali siyo ya nchi.

Hawana tofauti na mafisadi wa CCM, naamini utaondoka na wanachama wengi, tumechoka na ukondoo wa Mbowe tunataka siasa ya uanaharakati vitendo, hata Mozambique wanatushinda?
Kama tunaweza kukubaliana, kwamba CHADEMA ni chama cha waTanzania; kwa maana ya kwamba wanachama wa chama hicho ni waTanzania wenzetu; kwa nini tusiwasihi wao wafanye maamuzi ndani ya chama hicho kufuatana na jinsi wanavyo taka mwelekeo wake uwe?

Kumwambia Tundu Lissu naye akaanzishe chama (kama Mbowe), maana yake ni kuwa hicho chama pia kitakuwa ni mali ya Lissu?

Mimi ningeomba sana hawa wanachama wa CHADEMA watuonyeshe mwelekeo wa chama chao ulipo. Kama Tundu Lissu hakubaliani na mwelekeo huo, aungane na wenzake wenye fikra kama zake kuunda chama kipya.
 
Umefika muda wa Tundu Lissu kuanzisha chama chako maana inaonekana Chadema kuna viongozi wanaangalia maslahi yao bali siyo ya nchi.

Hawana tofauti na mafisadi wa CCM, naamini utaondoka na wanachama wengi, tumechoka na ukondoo wa Mbowe tunataka siasa ya uanaharakati vitendo, hata Mozambique wanatushinda?
Nyerere mbona hakuanzisha? kwamba asionye maovu ndani ya CDM? huo utamaduni wa kipumbavu upo ndani ya CCM pekee wa kusifia wizi na ufisadi
 
Kama tunaweza kukubaliana, kwamba CHADEMA ni chama cha waTanzania; kwa maana ya kwamba wanachama wa chama hicho ni waTanzania wenzetu; kwa nini tusiwasihi wao wafanye maamuzi ndani ya chama hicho kufuatana na jinsi wanavyo taka mwelekeo wake uwe?

Kumwambia Tundu Lissu naye akaanzishe chama (kama Mbowe), maana yake ni kuwa hicho chama pia kitakuwa ni mali ya Lissu?

Mimi ningeomba sana hawa wanachama wa CHADEMA watuonyeshe mwelekeo wa chama chao ulipo. Kama Tundu Lissu hakubaliani na mwelekeo huo, aungane na wenzake wenye fikra kama zake kuunda chama kipya.
Mtasubiri sn
 
Umefika muda wa Tundu Lissu kuanzisha chama chako maana inaonekana Chadema kuna viongozi wanaangalia maslahi yao bali siyo ya nchi.

Hawana tofauti na mafisadi wa CCM, naamini utaondoka na wanachama wengi, tumechoka na ukondoo wa Mbowe tunataka siasa ya uanaharakati vitendo, hata Mozambique wanatushinda?
Alafu mi ndo nitakuja katibu wa hicho chama.
 
Back
Top Bottom