Asipotumia ukanda na ukabila mbona atatoboa mapema tu?Kuanzisha chama leo, ategemee kuimarika baada ya miaka 10-20.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asipotumia ukanda na ukabila mbona atatoboa mapema tu?Kuanzisha chama leo, ategemee kuimarika baada ya miaka 10-20.
Kwa hili nakuunga mkono.nje ya Chadema Lisu is completely useless..
akijitoa chadema, atajikuta ni yeye na wewe pekeyake 🐒
Lema na Mdude wao sio wanaharakati?Tatizo lake yupo kiuharakati zaidi. Huwezi kuendesha Chama cha siasa kiuharakati kikabaki salama kwa Msajili wa vyama vya siasa
Hao pia wapo kiunaharakati afadhali Freeman Mbowe ana busara na muungwana kama Dr Nchimbi wa CCMLema na Mdude wao sio wanaharakati?
Kwa hiyo ndio maana mmeamua awe mwenyekiti wa kudumu?Hao pia wapo kiunaharakati afadhali Freeman Mbowe ana busara na muungwana kama Dr Nchimbi wa CCM
Msajili wa vyama anateuliwa na nani vile?nani atakisajiri?
Wazo zuri sana, Akienda ACT wengi tutamfata uko , Yani Lisu na usomi wake inamaana hajui lendo la mbowe???Umefika muda wa Tundu Lissu kuanzisha chama chako maana inaonekana Chadema kuna viongozi wanaangalia maslahi yao bali siyo ya nchi.
Hawana tofauti na mafisadi wa CCM, naamini utaondoka na wanachama wengi, tumechoka na ukondoo wa Mbowe tunataka siasa ya uanaharakati vitendo, hata Mozambique wanatushinda?
Nilishangaa Mbowe akitangaza church kule machame kuwa mama katoa michango wa mil 150. Juzi kanisani shoo naye kamwaga misifa kwa mamaUmefika muda wa Tundu Lissu kuanzisha chama chako maana inaonekana Chadema kuna viongozi wanaangalia maslahi yao bali siyo ya nchi.
Hawana tofauti na mafisadi wa CCM, naamini utaondoka na wanachama wengi, tumechoka na ukondoo wa Mbowe tunataka siasa ya uanaharakati vitendo, hata Mozambique wanatushinda?
Huko ndo kabisa!!! Bora ake nyumbani tu.ahamie ACT wazalendo
Siyo kweli.nje ya Chadema Lisu is completely useless..
akijitoa chadema, atajikuta ni yeye na wewe pekeyake [emoji205]
Yupo hapo kwa mujibu wa Katiba yao la sivyo Msajili wa vyama vya siasa angehoji.Kwa hiyo ndio maana mmeamua awe mwenyekiti wa kudumu?
ajaribu aone kivumbiSiyo kweli.

Mmmmmh ndo wale waleahamie ACT wazalendo
Kama tunaweza kukubaliana, kwamba CHADEMA ni chama cha waTanzania; kwa maana ya kwamba wanachama wa chama hicho ni waTanzania wenzetu; kwa nini tusiwasihi wao wafanye maamuzi ndani ya chama hicho kufuatana na jinsi wanavyo taka mwelekeo wake uwe?Umefika muda wa Tundu Lissu kuanzisha chama chako maana inaonekana Chadema kuna viongozi wanaangalia maslahi yao bali siyo ya nchi.
Hawana tofauti na mafisadi wa CCM, naamini utaondoka na wanachama wengi, tumechoka na ukondoo wa Mbowe tunataka siasa ya uanaharakati vitendo, hata Mozambique wanatushinda?
Nyerere mbona hakuanzisha? kwamba asionye maovu ndani ya CDM? huo utamaduni wa kipumbavu upo ndani ya CCM pekee wa kusifia wizi na ufisadiUmefika muda wa Tundu Lissu kuanzisha chama chako maana inaonekana Chadema kuna viongozi wanaangalia maslahi yao bali siyo ya nchi.
Hawana tofauti na mafisadi wa CCM, naamini utaondoka na wanachama wengi, tumechoka na ukondoo wa Mbowe tunataka siasa ya uanaharakati vitendo, hata Mozambique wanatushinda?
Mtasubiri snKama tunaweza kukubaliana, kwamba CHADEMA ni chama cha waTanzania; kwa maana ya kwamba wanachama wa chama hicho ni waTanzania wenzetu; kwa nini tusiwasihi wao wafanye maamuzi ndani ya chama hicho kufuatana na jinsi wanavyo taka mwelekeo wake uwe?
Kumwambia Tundu Lissu naye akaanzishe chama (kama Mbowe), maana yake ni kuwa hicho chama pia kitakuwa ni mali ya Lissu?
Mimi ningeomba sana hawa wanachama wa CHADEMA watuonyeshe mwelekeo wa chama chao ulipo. Kama Tundu Lissu hakubaliani na mwelekeo huo, aungane na wenzake wenye fikra kama zake kuunda chama kipya.
kivipiMmmmmh ndo wale wale
Alafu mi ndo nitakuja katibu wa hicho chama.Umefika muda wa Tundu Lissu kuanzisha chama chako maana inaonekana Chadema kuna viongozi wanaangalia maslahi yao bali siyo ya nchi.
Hawana tofauti na mafisadi wa CCM, naamini utaondoka na wanachama wengi, tumechoka na ukondoo wa Mbowe tunataka siasa ya uanaharakati vitendo, hata Mozambique wanatushinda?