Huyo mnyatukuru akili hana. Ile ni kampuni ya wachaga. Wenzake wenye akili walishakimbia sk nyingi na wanakula mema ya nchi
View: https://youtu.be/9fQix9XJ02E?si=PXWGv7CyfNLR-uQw
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mnyatukuru akili hana. Ile ni kampuni ya wachaga. Wenzake wenye akili walishakimbia sk nyingi na wanakula mema ya nchi
Hamna Tundu Lissu nje ya CHADEMA. Akitoka ndiyo amekwisha.Umefika muda wa Tundu Lissu kuanzisha chama chako maana inaonekana Chadema kuna viongozi wanaangalia maslahi yao bali siyo ya nchi.
Hawana tofauti na mafisadi wa CCM, naamini utaondoka na wanachama wengi, tumechoka na ukondoo wa Mbowe tunataka siasa ya uanaharakati vitendo, hata Mozambique wanatushinda?
kwani tundu lisdu hawezi kuwatapeli?Thubutu,yaani wanachama wengine watatoka CCM na wengine watatoka Chadema,tunataka chama ambacho hatutakubali kutapeliwa na Maccm kwa ahadi zao za uongo
Hana Roho ya utapelikwani tundu lisdu hawezi kuwatapeli?
jidanganyeHana Roho ya utapeli