Tundu Lissu ni muda wa kuanzisha chama chako

Hamna Tundu Lissu nje ya CHADEMA. Akitoka ndiyo amekwisha.

Na akiwa ndani ya Chadema aufyate kwa kuwa fahari wawili hawakai zizo moja. Ila asisahau kuwa Freeman Mbowe ndiyo alishikilia drip la Dextrose alilotundikiwa kwenye ndege kutoka Dodoma kwenda Nairobi

Achague moja kati ya hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…