Tundu Lissu ni muoga, hana ujasiri, uthubutu wala mipango mikakati ya kupambana na rushwa

Tundu Lissu ni muoga, hana ujasiri, uthubutu wala mipango mikakati ya kupambana na rushwa

Samia must go!
jamaa alitoka kugonga nyagi akiwa chakari, akatangaza eti maandamano ya samia must go,

baada ya hangover kukata alfajiri akabadili gia angani, sijui akayaita maandamano nini huko 🤣
 
jamaa alitoka kugonga nyagi akiwa chakari, akatangaza eti maandamano ya samia must go,

baada ya hangover kukata alfajiri akabadili gia angani, sijui akayaita maandamano nini huko 🤣
Bibi Kizimkazi hatakiwi na wanaccm wote. 2025 hana lake.
 
🤣 Msumbufu huyuu,humjui tu
Huwa nasoma comments zake mara kwa mara. Ni CCM lialia huyo.

Sema umesababisha nimecheka sana kwa swali lako kwake.....eti, hukuwemo kwenye bus? šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜† daaaaaah!!!
 
Huwa nasoma comments zake mara kwa mara. Ni CCM lialia huyo.

Sema umesababisha nimecheka sana kwa swali lako kwake.....eti, hukuwemo kwenye bus? šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜† daaaaaah!!!
šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤ž
 
🤣 Msumbufu huyuu,humjui tu
sio wewe kweli ndio msumbufu?

acha kusumbua watu bana,

mambo mengine ni kuelewana tu na yakafanyika na yakaisha bila mbamabamaba yoyote, ama nasema vibaya? :pedroP:
 
Huwa nasoma comments zake mara kwa mara. Ni CCM lialia huyo.

Sema umesababisha nimecheka sana kwa swali lako kwake.....eti, hukuwemo kwenye bus? šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜† daaaaaah!!!
naona mnapeana moyo makamanda,
huenda ni kwasababu ya uzito wa hoja mahususi mezani. ila haina shida,

eeh,
hivi nyie ni makamanda kindakindaki wa chadema ee ndrugu zango?:pedroP:

mko upande wa chadema ya chairman mwamba wa kaskazini au ni chadema ile ya upande wa vice chairman anaepewa backup na mabwenyenye ya magharibi?

Lisu ana uwezo kweli wa kupambana na rushwa hata kwa kumuangalia tu sura?:pedroP:
 
naona mnapeana moyo makamanda,
huenda ni kwasababu ya uzito wa hoja mahususi mezani. ila haina shida,

eeh,
hivi nyie ni makamanda kindakindaki wa chadema ee ndrugu zango?:pedroP:

mko upande wa chadema ya chairman mwamba wa kaskazini au ni chadema ile ya upande wa vice chairman anaepewa backup na mabwenyenye ya magharibi?

Lisu ana uwezo kweli wa kupambana na rushwa hata kwa kumuangalia tu sura?:pedroP:
Wanasiasa wote ni walewale hakuna mwenye nafuu. Waongo waongo, propaganda kedekede, ahadi hewa, kupeana matumaini yasiyokuwepo, kula hela za walipa kodi, ufisadi, wizi, utapeli, roho mbaya, ushirikina na Kila aina ya ushetani. Hii ni kwa wanasiasa woooote
 
Wanasiasa wote ni walewale hakuna mwenye nafuu. Waongo waongo, propaganda kedekede, ahadi hewa, kupeana matumaini yasiyokuwepo, kula hela za walipa kodi, ufisadi, wizi, utapeli, roho mbaya, ushirikina na Kila aina ya ushetani. Hii ni kwa wanasiasa woooote
sasa kama ni hivyo,
tuwape wachungaji na watumishi wa Mungu uongozi kama walivyofanya Kenya, Zambia, Somalia na malawi?

na je kuna unafuu fulani wowote wanapata? :pulpTRAVOLTA:
 
sio wewe kweli ndio msumbufu?

acha kusumbua watu bana,

mambo mengine ni kuelewana tu na yakafanyika na yakaisha bila mbamabamaba yoyote, ama nasema vibaya? :pedroP:
🤣🤣🤣 Haya bhana, nimeelewa mkuu
 
🤣🤣🤣 Haya bhana, nimeelewa mkuu
ndiyo bana,
be a human tafadhali,
mnapokubaliana mambo, basi ya fanyike na sio kulaumiana tu. aliwahi kuyasema haya hayati E.N.Lowasa akiwa mbunge wa Monduli. :pulpTRAVOLTA:
 
sasa kama ni hivyo,
tuwape wachungaji na watumishi wa Mungu uongozi kama walivyofanya Kenya, Zambia, Somalia na malawi?

na je kuna unafuu fulani wowote wanapata? :pulpTRAVOLTA:
Siasa ni UCHAFU , ukiingia siasani lazima uchafuke kwa namna yyt ile. Kama kweli Kuna hukumu kwa Mungu wanasiasa woooote wanaenda motoni. Wacha maisha yaendelee
 
Siasa ni UCHAFU , ukiingia siasani lazima uchafuke kwa namna yyt ile. Kama kweli Kuna hukumu kwa Mungu wanasiasa woooote wanaenda motoni. Wacha maisha yaendelee
hiyo ni dhana potofu gentleman,

unamaanisha tangu awamu ya kwanza hadi sasa awamu ya sita wanasiasa wote walikua wanafanya siasa za uchafu na kuchafuana right?

hujui kwamba maisha ya mwanadamu ni siasa tupu?,
mathalani huyu mjamaa anaitwa Aristotle, believed man was a "political animal" because he is a social creature with the power of speech and moral reasoning,

kwamba nyumbani kwenye kila famlia kuana aina yake ya siasa, kwenye nyumba za ibada, kwenye michezo n.k kote huko ni siasa tupu...

unazungumziaje hili? :pulpTRAVOLTA:
 
hiyo ni dhana potofu gentleman,

unamaanisha tangu awamu ya kwanza hadi sasa awamu ya sita wanasiasa wote walikua wanafanya siasa za uchafu na kuchafuana right?

hujui kwamba maisha ya mwanadamu ni siasa tupu?,
mathalani huyu mjamaa anaitwa Aristotle, believed man was a "political animal" because he is a social creature with the power of speech and moral reasoning,

kwamba nyumbani kwenye kila famlia kuana aina yake ya siasa, kwenye nyumba za ibada, kwenye michezo n.k kote huko ni siasa tupu...

unazungumziaje hili? :pulpTRAVOLTA:
Siasa šŸ™ŒšŸ™Œ
 
Back
Top Bottom